Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,559
- 6,557
27 ya makaratasi.Keita huyu huyu mwenye miaka 27 ama yupi.
YNWA
27 ya makaratasi.Keita huyu huyu mwenye miaka 27 ama yupi.
YNWA
27 ya passportKeita huyu huyu mwenye miaka 27 ama yupi.
YNWA
Piga hao livepoor sema apo ni anfield livepoor anaweza kushinda game
Poleni sana majogoo,imekuwa mapema sana.
Watoto wamekaza kinoma ndidi apo kati kama iniestaNyie LiverPussy kazeni basi hayo makalio, yaani dakika ya 3 tu mnamruhusu Madson amwagie ndani?
If tunampata Enzo sidhan kama tutaenda kwa Jude tena, probably tutaenda kwa Koudao Kone au mid mwingine ambae price yake sio kubwa.Release Clause ya Jude inaongelewa design kama ya Haaland na kama ni kweli nae hatumpati kwa sababu Manchester United, Chelsea na Real Madrid wanaomsaka wote wanaweza kulipa mshahara na bonus kubwa zaidi ya sisi...
Hii ishu ya Ward kuachia ngazi June 2023 inafikirika yaaani kuanzia kuwa convince wamchukue Enzo enzi yupo Argentina na FSG wakampa za uso na akaedelea kumfanyoa profiling mpaka akiwa Benfica na baadae ya kua na Kombe la Dunia powa huyu bei sasa nje ya uwezo wetu kwa kua naona eti release clause ni over 100m na kwa vile kuna uhaba wa all round MF kama dogo Benfica watapata ela nzuri tu.
Ngoja tusubiri watasajili nani Klopp kashasema ana uhakika wa wachezaji kununuliwa dirisha hili muda utasema ni nani.
YNWA
ili beki jinga sana limeamua limalize lenyeweWameona wawasaidie kufunga haya pokeen hako kamoja ka upendo![]()
Nyie LiverPussy kazeni basi hayo makalio, yaani dakika ya 3 tu mnamruhusu Maddison amwagie ndani?
Tena yote ya kupewaHaaaa majogoo mnaongoza mbili moja
Hamna beki umo yashuke daraja tuHuyu foes ana shda gan???
Wivuu😀😀😀Tena yote ya kupewa
Msipende msesereko watt wa kiumeWivuu![]()
Sec half anatolewa,kwanza namuonea huruma huko changing room sjui atazodolowaje maanaHamna beki umo yashuke daraja tu