Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Grandpa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tumeshamkosa Aisee.Wameona bora mapema wakichelewa Liverpool twapita mazimaaaaa.
YNWA
Kuna watu wanafia na tai shingoni, mpaka sasa wana amini Keita anaweza kuja kuwa bora. Tulimsubiri msimu kabla halafu tukapigwa kitu kizito
Release Clause ya Jude inaongelewa design kama ya Haaland na kama ni kweli nae hatumpati kwa sababu Manchester United, Chelsea na Real Madrid wanaomsaka wote wanaweza kulipa mshahara na bonus kubwa zaidi ya sisi...Tumeshamkosa Aisee.
All the ground work iliyofanywa na Ward, ime-amount to nothing.
Tumsubirie Jude & tusubirie kuona kama tutapata a good MF this January.
Dahh 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leicester City leo tuna jambo letu,
Dewsbury-Hall, Maddison, Tielemans, Jamie Richard Vardy, Wilfred Ndidi na Mzambia Patson Daka ndio wanamalizia kutafuna kiroba cha mwisho cha karanga mbichi huku wakiisubiria liverpussy kwa hamu. View attachment 2463769
Kuna watu wanafia na tai shingoni, mpaka sasa wana amini Keita anaweza kuja kuwa bora. Tulimsubiri msimu kabla halafu tukapigwa kitu kizito
Maddison yupo huyo.Leicester City leo tuna jambo letu,
Dewsbury-Hall, Maddison, Tielemans, Jamie Richard Vardy, Wilfred Ndidi na Mzambia Patson Daka ndio wanamalizia kutafuna kiroba cha mwisho cha karanga mbichi huku wakiisubiria liverpussy kwa hamu. View attachment 2463769
Keita huyu huyu mwenye miaka 27 ama yupi.Tatizo la keita ni UMRI.
Sioni dalili ya chura hapa