Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,559
- 6,557
Imagine 😀😀😀😀😀Kwamba na nyie timu yenu ilivyo mbovu mnapata wapi nguvu za kuongea haya😁
Imagine 😀😀😀😀😀Kwamba na nyie timu yenu ilivyo mbovu mnapata wapi nguvu za kuongea haya😁
NimeshangaaImagine 😀😀😀😀😀
Kocha mwenyewe sijui kama atamaliza season.Nimeshangaa
Eti wangeingia Cha kike!
Kwa timu gani waliyonayo? 🤣
Yule wa Morocco,Amrabat vip?wameachana na mpango wa kumsajili?
No worries.... Liverpool na Manchester United ni sleeping giant hivi tuliruhusu vipi akina OllaChuga Oc na Pain Killer waingilie huu uflame maana siijui hata walitokea wapi na timu zao za 2003 onwards na imekua balaa soon hata hii rekodi ya Epl 20 haina miaka 15 mbele hawa Manchester City wataipiku tu wanakuja mdogo mdogo sasa wana 8 bado 12 tu aisee itabidi kwa kweli hizi timu ziuzwe tu hakuna namna Kipara na Mansour hawatanii kwenye ubora wanatoa mishahara ambayo hatuwezani dogo Erling Haaland anakula 400k kwa wiki ukiweka bonus zake zote tetesi ni kwamba dogo anakula 865k kwa wiki usione hii smile yake uakdhani ni kufunga tuHao ipo siku yao tutawatuliza tu saiv tunamalizana wenyewe kwa wenyewe kwanza.
Asante kwa mualiko
Bhana hii Liverpool mambo ni chini ya kapeti, Klopp alishasema wanaingia sokoni kuimarisha kikosi, huu usajili wa Cody haukua kwenye mpango lakini kwa sasa tuna forward wawili tu wazima Salah na Nunez hivyo Klopp akalazimika kuingia sokoni kwa kua Diaz, Jota, Firmino ni wagonjwa... Hii inaonyesha mwalimu hana imani na uzima wa Chamberlain ambae ni RW "mzuri" tu nwa usajili sasa tusubiri dirisha lifunguliwe ndio tutaona ni vipi nani atatua wapo wengi wanatajwa MF ni dirisha fupi hivyo tutajua tu kama FSG watafanya kweli ama watafanya uhuni maana hawatabiriki.Yule wa Morocco,Amrabat vip?wameachana na mpango wa kumsajili?
No worries.... Liverpool na Manchester United ni sleeping giant hivi tuliruhusu vipi akina OllaChuga Oc na Pain Killer waingilie huu uflame maana siijui hata walitokea wapi na timu zao za 2003 onwards na imekua balaa soon hata hii rekodi ya Epl 20 haina miaka 15 mbele hawa Manchester City wataipiku tu wanakuja mdogo mdogo sasa wana 8 bado 12 tu aisee itabidi kwa kweli hizi timu ziuzwe tu hakuna namna Kipara na Mansour hawatanii kwenye ubora wanatoa mishahara ambayo hatuwezani dogo Erling Haaland anakula 400k kwa wiki ukiweka bonus zake zote tetesi ni kwamba dogo anakula 865k kwa wiki usione hii smile yake uakdhani ni kufunga tu
View attachment 2462487
Bila hawa wakongwe kuuzwa hakuna namna huyu Pep kwa kweli tunyanyue mikono maana ana balaa sio la dunia hii unaweza kulipa mshahara huo kwa mchezaji mmoja tetesi mwaka huu dogo Haaland atafikisha £45m kwa mshahara na marupurupu yake😀😀 kwa dunia yupo nambari 3 kwa mshahara akitanguliwa na namba moja Mbappe na namba mbili Messi .. Kwa sasa piga maombi Glazer wapate mteja wasepe ndio utakuwenda sawa na Kipara aisee.
YNWA
Ubora wa wamiliki Waarabu ni kwamba wao kununua timu ni kama kununua toy tu sio kama Yankees kama Glazer, Kroanke, FSG nk ambao Klabu inawanufaisha wao zaidi na zaidi kuliko klabu kunufaika na uwekezaji uchwara kutoka kwao.Football ina hela sana hasa hao mabosi wa man city na psq si wa mchezo. Si ndo hawa hawa wametumamishia mbuga zet kitu kopirait kule dubai. Pesa ni kila kitu aiseee. Hapo city kabisa kikombe cha UCL tu.
Timu zetu kasi imepungua sababu ya ubahili,wakifungua mifuko hasa ligi itakua kali sana
Wamchukue tu huyoChelsea ready to trigger Enzo RC
Newcastle, Man Utd & LFC in the mix.
Chelsea wameamua kukaza zaidi.
Wameona bora mapema wakichelewa Liverpool twapita mazimaaaaa.Chelsea ready to trigger Enzo RC
Newcastle, Man Utd & LFC in the mix.
Chelsea wameamua kukaza zaidi.