Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Hata GerrardUnataka aje Nani? Walioko sokoni Klopp is far ahead of them
Kuwa kwake far ahead kunatusaidia nini kama tunafungwa kila siku?
Hata GerrardUnataka aje Nani? Walioko sokoni Klopp is far ahead of them
Mtashuka daraja nyie livakukuHata Gerrard
Tushuke mara ngapiMtashuka daraja nyie livakuku
Hahaha his German pride won't let him say i have seen enough...Tumemchoka sasahivi
Akapambane na jeuri yake kwake
Mi nafurahi sana nikikuona na sonona! Ndio sababu pekee inayonipa nguvu ya kuendelea kuishiTushuke mara ngapi
Wakati ndio tunakoenda
Yeye aliona kabisa wamechoka kwanini asikomae kubadili?Hahaha his German pride won't let him say i have seen enough...
Kuna mambo matatu hapa
1) wachezaji wamefika mwisho.
2) Klopp amefika mwisho.
3)👆 au yote kwa pamoja.
Kivyovyote vile we are screwed big time.
Klopp anajua lipo tatizo maana tofauti na msimu ulewa 2020 2021 tulipoteana na tulivyokwama kutetea ubingwa wetu kwa kua ma beki amateur(Kabak, Phillips nk) msimu huu sasa timu ipo kamili maana hata majeruhi wanaotajwa sio wote ma starter muda mwingi wakiwa wazima wa afya hivyo Klopp kikosi chake cha kwanza ni wazima wa afya asijifiche kwenye kichaka cha majeruhi. Pale tunawahitaji Diaz na Jota angalau hao wana impact kwa work rate matata kutoka kwao.
Wachezaji nguli VVD, Trent, Salah, Matip, Robertson wamechuja sana msimu huu maana hawa ni ma role model pale klabuni kwa kua na consistency kwa karibu miaka 5 wakiwa top level muda mwingi ndio maana leo hii wenyewe wapo kama ni kopi zao ndio wanacheza sasa.
YNWA
Khaaa 😂Mi nafurahi sana nikikuona na sonona! Ndio sababu pekee inayonipa nguvu ya kuendelea kuishi






Klopp pamoja na wamiliki wametuangusha kutosajili wachezaji kwenye nafasi ya kiungo ambapo ndio Engine room,its a major failure
No VVD replacement
No Salah replacement
No TAA replacement
Hivi kwanini tusiwashitaki Juventus Kwa kutuuzia mchezaji ana jeraha wakaficha? Why tusimchukue Dennis Zakaria January Kwa mikopo?




Unawadhalilisha wazazi wako kwa kuandika uchafu kama huu halafu humu Kuna watu wenye heshima zao wanapita wanakuta umeandika lugha chafu badirika Kijana wewe ni Mzee wa baadae Anza kutengeneza hekima yako sasa. Though wapenzi wa huu uzi huwa Wana ignore watu kama nyie mnaopost maneno yasiyo kuwa na stahaNapoli funga livapunyeto