Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Real Madrid Vs Liverpool,,,, possible draw round of 16 CL .....

Hiyo itakuwa nzuri sana aisee.

Ila uefa hakuna janja janja ukileta janja janja mwisho wako nusu fainali tu.

Kama tuna uwezo tupite kama hatuna huwezo tutolewe tu kieleweke sio unataka upangiwe na Porto halafu mbele huko unaenda kugawa points za bure
 
Klopp has awarded FREEDOM OF THE CITY OF LIVERPOOL.

Anastahili.
Captain Justine Mimi naona hii tuzo wala haina maana kabisa yaani ina maana anakuwa huru na matokeo ya aina yoyote hata kama atakuwa anapigwa 5-0
 
Man u anaenda mwaka wa 6 bila taji lolote ,Kuna dalili wakagonga miaka 10 bila taji lolote
Hawa hata wagonge miaka 20 ni powa sana... Upepo ulishabadilika sasa hakuna cha Man U bingwa wenyewe wamepoa kabisa wanaisaka kwa nguvu big 4 yaaani maisha yanabadilikaga chap sanani ngumu kuamini kwamba leo hii Manchester United wanapambana play off ya Europa... Siwacheki maana na sisi hali tunayokwena nayo hiana utulivu aisee Klopp na vijana wana kibarua kigumu sana.

YNWA
 
Hawa hata wagonge miaka 20 ni powa sana... Upepo ulishabadilika sasa hakuna cha Man U bingwa wenyewe wamepoa kabisa wanaisaka kwa nguvu big 4 yaaani maisha yanabadilikaga chap sanani ngumu kuamini kwamba leo hii Manchester United wanapambana play off ya Europa... Siwacheki maana na sisi hali tunayokwena nayo hiana utulivu aisee Klopp na vijana wana kibarua kigumu sana.

YNWA
Kwasasa Ukweli Ni kwamba Man u ,Arsenal hazipo mbali kurudi kwenye ushindan haswa wakiungana na city , man u sababu ya pesa Wana madirisha mawili watakuwa washindani haswa.


Chelsea nao haitawachukua muda, ila nionavyo project za Arsenal na man u zipo karibu kushindana Kama zaman miaka ya 2000s,

Liverpool mnahitaji reshuffle ya Hali ya juu, most of players wenu Ni 29yrs na kuendelea

Mnahitaji ujenzi mpya
 
Kwasasa Ukweli Ni kwamba Man u ,Arsenal hazipo mbali kurudi kwenye ushindan haswa wakiungana na city , man u sababu ya pesa Wana madirisha mawili watakuwa washindani haswa.


Chelsea nao haitawachukua muda, ila nionavyo project za Arsenal na man u zipo karibu kushindana Kama zaman miaka ya 2000s,

Liverpool mnahitaji reshuffle ya Hali ya juu, most of players wenu Ni 29yrs na kuendelea

Mnahitaji ujenzi mpya
Ubishi wa Klopp ambae hataki kuambiwa timu imejaa wazee na wagonjwa ndio imetufikisha hapa.
Kingine tuna wamiliki wasiokua na idea na transition ya project imefika mwisho na sasa ni ku inject damu changa wakati sahihi. Liverpool haikuhitaji major overhaul ya wakati mmoja mbali ni kila dirisha tangu 2019 Klopp alitakiwa anauza kadhaa bench warmers na kununua hata mchezaji mmoja kiwango... Matokeo yake timu sasa ingekua imesheheni vipaji kila idara kuliko sasa timu ina quantity wengi vs quality.

Ishu za kuchuja EPL hua ni progressive yaaani hesabu zakununua zikigoma basi kazi ipo...

Manchester United, Arsenal wapo kwenye laiti trak kwa sasa hata mipango inaonekana kabisa. Na kwa timu zote sasa hakuna hati miliki ya namba tazama Arteta alivyo dili na Auba na Ozil brutal n lethal hakuna maneno matamu kama ya Klopp, pia tazama Tenhag anavyodili na Ronaldo na Maguire utaona sasa hizi timu wameelewa somo wapi maslahi ya timu ni zaidi ya mchezaji mmoja.

Liverpool naona yametukuta ya Dortmund msimu wa mwisho chini ya Klopp alivyoodoka Lewandoski ndio kama sasa alivyoodoka Mane.

Kazi ipo.

YNWA
 
Liverpussy kesho mnaenda kukutana na Spurs, ushari wangu anzeni kuipiga maji kabisa itakate pia msisahau kuifukiza udi.
 
Hili lipo wazi lakini wenye maamuzi wana makengeza sio bure
Screenshot_20221105_172237_com.android.chrome_edit_375993306353564.jpg


YNWA
 
Screenshot_20221105_172757_com.android.chrome_edit_375961384568673.jpg


Mnasema aje Bobby apewe mkataba au asepe zake bure June 2023.

Binafsi nasema asepe tupate damu changa kwa kua tuna wenye wanaomini kikosi kiduchu bora na ma dead woods kibao hivyo kwa mshahara wa Bobby bora asepe hio nafasi yake aje below 27 dogo aamshe mambo.. Somebody like Trosard au Nkunku.

YNWA
 
Screenshot_20221105_173249_com.android.chrome_edit_375944415165029.jpg

Hivi kweli Klopp anadhani huyu dogo atatua Liverpool kirahisi hivyo... Hapa kwanza Dortmund hawachelewi kusema ni higher bidder labda kama ana makumbaliano kama Hallaand kwamba tulia msimu huu then msimu ujao utachagua timu ya kwenda....

Nwa ngoja tusubiri.

Kama akitua na kiwango alichonacho kwa sasa angalau ila kama atatua kama Sancho pale Trafford then we are doomed.

YNWA
 
View attachment 2407696

Mnasema aje Bobby apewe mkataba au asepe zake bure June 2023.

Binafsi nasema asepe tupate damu changa kwa kua tuna wenye wanaomini kikosi kiduchu bora na ma dead woods kibao hivyo kwa mshahara wa Bobby bora asepe hio nafasi yake aje below 27 dogo aamshe mambo.. Somebody like Trosard au Nkunku.

YNWA
Kama libabu Milner na Handerson hawataondoka basi naye abaki.

Haiwezekani tumuondoe baba Halafu mibabu ipo inadunda tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom