Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nunez tuliwaambia toka preseason hamsikii ,mnadai Klopp anabadilishaga wachezaji average kuwa world class

Mbona alimshindwa Minamino


Nunez niliwawekea had takwimu zake humu amefluke msimu mmoja tu ,then kanunuliwa Liverpool kwa €80m Cha ajabu mnadai Klopp atamfanya awe hatari

Wakati Ni mbahatishaji

Kituko kingine mlidai atashindana na halland , Cha ajabu mnamfananisha na G.Jesus

Jesus hata Bei inambeba Ni £45m tu
Nunez mbovu mkuu hana skills zozote zile ni kama kateguka miguu

Ila tulmnunua kwa e60m hela inayoniuma kama yangu vile bora tungemwongeza mane mshahara na kuchukua mid ya uhakika

Yaani liva ujanja ujanja nyingi kama utopolo hamna team pale.

YNWA
 
Aseno will win this league Liverpool we are down
Finally
Klopp era imefika mwisho nlsema humu mkaniona chizi

YNWA.
Go Arsenal Go Arsenal...

Kwa kushinda EPL nipo na jamaa zangu wa Gunners.

Ishu hapa ni kipara huyu mwamba kumshusha awe 1st Runner Up sio jambo jepesi Klopp kamkimbiza kaishia kuchoka balaa na sasa hata uhakika wa Big 4 kila kukicha unazidi kutukimbia kwa mwendo wa 5G.

Klopp yanayotukuta kayataka mwenyewe wala hakuna mwingine, wachezaji wa bei chee tangu 2020 wapo sokoni lakini mzee baba anakomaa na wachezaji wale wale. Ukisoma vyema historia ya Bill Shankly utaona haya ya sasa Klopp yalimkuta kwa kukomaa kikosi cha wazee kwa kuchelewa kusajili damu changa wakati sahihi, Liverpool kwa sasa ni ya nafasi ya tatu kwa kua na kikosi chenye wazee wengi maanake ubora wao umechuja parefu sana na hili limepelekea hakuna timu inatuogopa aidha tuwe ugenini au tuwe nyumbani.

YNWA
 
Go Arsenal Go Arsenal...

Kwa kushinda EPL nipo na jamaa zangu wa Gunners.

Ishu hapa ni kipara huyu mwamba kumshusha awe 1st Runner Up sio jambo jepesi Klopp kamkimbiza kaishia kuchoka balaa na sasa hata uhakika wa Big 4 kila kukicha unazidi kutukimbia kwa mwendo wa 5G.

Klopp yanayotukuta kayataka mwenyewe wala hakuna mwingine, wachezaji wa bei chee tangu 2020 wapo sokoni lakini mzee baba anakomaa na wachezaji wale wale. Ukisoma vyema historia ya Bill Shankly utaona haya ya sasa Klopp yalimkuta kwa kukomaa kikosi cha wazee kwa kuchelewa kusajili damu changa wakati sahihi, Liverpool kwa sasa ni ya nafasi ya tatu kwa kua na kikosi chenye wazee wengi maanake ubora wao umechuja parefu sana na hili limepelekea hakuna timu inatuogopa aidha tuwe ugenini au tuwe nyumbani.

YNWA
HÀTUTOKUANGUSHA,YAANI KIPARA ANAPAMBANA NA KIVULI CHAKE,HATOBOI KWA MIKEL.....KINYAGO KACHONGA MWENYEWE....
 
Vvd anajua kutuma tu,

Thiago ndio nguzo pekee na Beker zimebaki

Salah hawez Tena kurejea kiwango Cha miaka miwili

Fabinho fatigue ishamfikia

Msimu huu hata top 6 Europa mpambane sana
Nasema World Cup ije tu kwanza tupumzike vipigo hivi aisee timu ipo ipo ni lini itakupa sapraizi ni ngumu kuelewa... Kila tukiona mwanga fulani tunachapwa KO sio haoooo...

Klopp almost nusu ya msimu na hana mfumo unaeleweka utaona 4 4 2 au 4 1 4 1 ama 4 3 3 yaaani hatuna identity mpaka sasa matokeo yake hatuna main threat pale mbele kila mmoja anakljipambania kusaka namna ya kumpata Halland kwenye ufungaji bora.

Nitoe Big Up kwa kipa wa Leeds hakika anastahili MOTM leo kapambana sana lakini hii inaonyesha tulivushuka kiwango cha umaliziaji pale mbele maana mechi ya pili EPL tuna shot on target zaidi ya 10 kwa kupata goli 1 ni aibu ya karne.

Kwa sas matarjio ni tutaishia kucheza Europa msimu ujao.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom