


kibandulio kinawahusu LeoNi aibu kubwa sana. Alivyotemwa kikosi cha kushiriki Uefa nilidhani Klopp kamwonea lakini kumbe nyuma ya pazia kuna mengi..Haya ya Keita ndio yale ya Essien sishangai kwa wachezaji wa Kiafrika.....
Ajax tunacheza kama Nottingham forest Leokibandulio kinawahusu Leo
PSG.. MADRID... BAYERN... CLUB BRUGGE... Sporting..... KAMA TUKIPITIA KAMA NAMBA 2 MAKUNDI
Tatizo timu yangu siku hizi ni kama mwezi mchanga. Utashangaa Leo tumeshinda then weekend na leeds majanga. Ndo maana naionea huruma bora ngekewa itudondokee Porto aongoze kundi watupe tutambae nae. Maana Porto ni njia panda ya fainali.Mkuu uefa hakuna janja janja,ukifanya janja janja mwisho wako inakuwa nusu fainali.
Kikubwa timu iwe vizuri kushinda tu na sio kusubiria mteremko.yoyote yule tukutane nae kama tuko vizuri tutaenda tu mbele na sio janja janja unataka upangiwe timu hazieleweki,ila nusu fainali ndio mwisho wa janja janja.
Aisee tutue kwa Bayern ama PSG... Uefa hua hiana mwenyewe zaidi ya Real Madrid hawa wengine wanapogika tuTatizo timu yangu siku hizi ni kama mwezi mchanga. Utashangaa Leo tumeshinda then weekend na leeds majanga. Ndo maana naionea huruma bora ngekewa itudondokee Porto aongoze kundi watupe tutambae nae. Maana Porto ni njia panda ya fainali.
Maana kuongoza kundi ni mitihani kweli Napoli alishatupiga 4-1 Kwao. So kuwa piga nyingi sio kazi rahisi. Na Wana 15+ magoli sisi tuna 9. So inabidi tuwafunge kuanzia 3 bila na kuendelea. So tu jiandae tu kukutana na Akina Messi au mane na bayern yake. Hakuna namna au dodo litudondokee.
Aisee tutue kwa Bayern ama PSG... Uefa hua hiana mwenyewe zaidi ya Real Madrid hawa wengine wanapogika tu
YNWA
Historically bayern simuogopi. PSG hawa ni 50/50. MADRID hawana sinaga uhakika.Nawatamani Sana Beyern
Bayern nao kama sie tu wapo wapo msimu huu hawajawa moto sana.Nawatamani Sana Beyern
Aisee kumbe Mo anakimbizana na bilionea mtarajiwa kijana wa Le Blues.Mo salah anzungumzwi lakini yupo