Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ila MosDef hii ishu ya Keita hilo gonjwa atakua kapewa na demu shabiki wa Chelsea tena ametumwo na OllaChuga Oc ili tuzidi kupoteana ili huyu Chugga man ateke huu uzi auteke na vimaneno vyake vya mkosaji...

Keita katutia aibu ya mwaka yaaani tuna hali mbaya hivi aafu anaedekeza gono zembe namna hii duuh kweli we are so doomed...

YNWA
Keita majeruhi anapata wapi ujasiri wa kufanya ngono zembe🤣🤣🤣🤣
 
View attachment 2396941

Hii habari sio powa kabisa. Nimesikitika sana maana wakati dogo anaumia ilionekana kawaida sana kumbe ni jeraha la kumfanya mpaka akose world cup.

Ni pigo baada ya pigo. Ma jembe wetu Diaz, Konate na Jota kua nje kwa muda mrefu kutatugharimu.

YNWA
Na bado Salah keshakuwa butu🤣🤣🤣 firmino ndio amna kabisa kapigeni goti kwa Mane na Origi mumewa dump sasa ni mwendo wa kukung’utwa tu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna nini kwenye fitness magement ya timu, injury after injury.

Kuna muda mechi ya nott ikiendelea Salah alizungukwa na wachezaji wanne hahah nikajisemea hii imeisha. Nikategemea atatoka Jones aingie Le capitano maweeee akatolewa bobby. Kosa kubwa ilikuwa kumuacha Jones ndani.

Ndio tumeipenda wenyewe ituning’inize tu
 
Na bado Salah keshakuwa butu🤣🤣🤣 firmino ndio amna kabisa kapigeni goti kwa Mane na Origi mumewa dump sasa ni mwendo wa kukung’utwa tu🤣🤣🤣🤣🤣
Yaaani tuna hali isiyoelezeka aisee mara unaona uhai huu hapa mara kipigo mara ushindi mara sare yaaani tupo tupo....

Tuna subira hakuna namna

YNWA
 
Katika pitapita zangu za kufanya analysis kwa ajili ya jamvi langu, si nikaangukia kwenye pre match press conference ya JK.
Am not a Liverpool fan ila mpaka nimemuonea huruma Klopp kama mwanaume mwenzangu. Kikosi kipo very depleted, out of form but yet anatakiwa ku deliver🙌
Screenshot_20221026-062937_FotMob.jpg
 
Jones can't nail down a regular spot sababu hana consistency he is better of aingie kama sub lakini huyu sio starter bila kua na Keita ama Thiago pale kati ili wamsaidie lakini kumpanga na tired Fabinho is suicidal as Fabby can't do whats makes him best HM in previous seasons.. This MF combination ya jana couldn't even dismantle Nottingham Forest of all teams in the league that a bad one as when when th big boys are fit and Jones is sent back to the bench kwa kweli atulie, if Klopp really see him as potential then a loan away this January would be good move for the boy sababu he aint helping where we need him the most...

Keita kaswende jamani for real mbona huyu dogo ana nuksi hivi yaaani uwanjani majeruhi kitandani nako majeruhi hii haijakaa powa. Binafsi huyu Keita nishanyanyua mikono kwake kama ikitokea ofa asepe tu. Kwa FSG uwepo wa Keita pale watakua wanasingizia kwa Klopp MF ipo full kumbe imejaa wagonjwa...

January sioni tukiwa salama endapo tutakosa kununua mchezaji mmoja pale kati, Caicedo is a perfect match kwetu asadiane na Fabinho.

Thiago will never play 10 games in a row bila injury scare ya hapa na pale hivyo we need like for like player. If Klopp wonna switch to 4 4 2 then he need a really working unit of Midfielders sio hawa wa kuunga unga kama jana.

YNWA
Haya ya Keita ndio yale ya Essien sishangai kwa wachezaji wa Kiafrika.....
 
Katika pitapita zangu za kufanya analysis kwa ajili ya jamvi langu, si nikaangukia kwenye pre match press conference ya JK.
Am not a Liverpool fan ila mpaka nimemuonea huruma Klopp kama mwanaume mwenzangu. Kikosi kipo very depleted, out of form but yet anatakiwa ku deliver🙌
View attachment 2398053
Kulopu analialia nini acha abondwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom