Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahaha Klopp bana cv yake kaichelewesha mwenyewe tu.

Hata tukiandika tutarudia yale yale tu. Tuendelee kujionea nini kinakuja.
Huyu mzee anatutafutia nywele ziote mvi mapema hivi maana pale tu ubao unasoma MF Elliott Fabinho Jones unajua hapa leo ni kuhenyeshwa balaa....

Kuna dogo hua anabeti hapa kitaa wakati mwingine hua anaomba ushauri nikamwambia kama kweli Thiago hayupo na Klopp kaanza na ile MF basi Liverpool tunachapika akaniambia sio rahisi kwa vile tumetoka kumfunga Manchester City eti winning attitude imerejea basi bhana akakomaa na Liverpool leo nakutakana nae ananiambia Liverpool imemnyima laki 4... Nikamwambia Liverpool hii ya sasa sio ya kubetia haitabiriki na bila Thiago hatuna stability pale kati...

Kimsingi mtaani Liverpool sasa imekua adui kwa wazee wa ku beti maana hawaelewi lini atashinda lini atapigika yaaani kazi ipo.

Klopp kama Klopp anakomaa anavyojua yeye.

I admire Pep hua hana huruma ikija ishu ya out of form player nakumbuka kuna kipindi Mahrez alisugua benchi sana basi Pep akaulizwa vipi mbona huyu umenunua £60m aafu anasugua benchi akajibu kwamba yeye anaangalia mchezaji anavyojituma mazoezini na gemu ya mwisho ali offer nini uwanjani hapo ndio anajua kama huyo mchezaji anafaa kupangwa mechi ijayo na kweli dogo Mahrez alisugua benchi haswa mpaka pale Pep aliona kama amejiimarisha kua starter... Hii inakupa picha Pep ana utajiri wa talent za kutosha lakini pia anahitaji workhorse players sio bla bla... Huku Klopp kajaza quantity wanacheza wanavyotaka they care less kuhusu kupangwa kesho maana wanajua benchi haina ubora kabisa..

Tuna safari ndefu sana. Hii 4 4 2 ya Klopp inatoa some new hope lakini bila wachezaji sahihi kuitekeleza basi tutajikuta kila wakati tupo pale pale ni sare ama kipigo..

Mechi ya juzi tuseme ukweli bila ubora wa kipa Dean Henderson ilikua ushindi upo.. Wakati mwingine tulifanya maamuzi ya hovyo kama pale VVD badala afunge alitaka kutoa assist utaona namna gani confidence iko chini sana kwa baadhi ya hawa wachezaji...

So here we are...
.. Out of form
.. Low confidence
.. Injuries
.. Poor team selection
.. Aging squad tupo nafasi ya 3 bora kwa kua na kikosi kilicho sheheni wazeee.

We need a miracle.

YNWA
 
Mkuu keita ana kaswende? Yaani gono lile gonjwa. Wachezaji wa kiafrica ni hovyo.
😅😅😅Hii alitumegea MosDef kwamba kuna hio tetesi...

Huyu dogo mi naona asepe zake huko RB Leipzig ili watupe best of the best aka beast Konrad Laimer na hizi kelele zitaisha kabisa na Klopp out kutoka kwa Saint Anne zitaaisha kabisa...

Keita anaweza akawa wa msaada kumnasa huyo dogo kutoka RB Liepzig ana mapafu ya chui box to box player we need him dearly.

YNWA
 
Unashauri nini kifanyike Mkuu?
Tumekwisha
Nendeni Ujerumani mkapige goti na mtubu.
Yule mtu wa Mungu ameondoka huku moyo wake umejaa mafundo.
Yule jamaa hata simu mpya alikua anashindwa kununua, pesa yake yote alikua anaitumia kuwasaidia mayatima na wajane.
Ogopa sana mtu wa namna hio mkimuudhi mpaka akaamua kunyanyua mikono juu na kumshtakia Mungu.
 
😅😅😅Hii alitumegea MosDef kwamba kuna hio tetesi...

Huyu dogo mi naona asepe zake huko RB Leipzig ili watupe best of the best aka beast Konrad Laimer na hizi kelele zitaisha kabisa na Klopp out kutoka kwa Saint Anne zitaaisha kabisa...

Keita anaweza akawa wa msaada kumnasa huyo dogo kutoka RB Liepzig ana mapafu ya chui box to box player we need him dearly.

YNWA
Poor Keita.
Mtaalam MosDef alipoandika hizo tetesi kuhusu hili zigo likeita ,aibu niliona Mimi.
 
Nendeni Ujerumani mkapige goti na mtubu.
Yule mtu wa Mungu ameondoka huku moyo wake umejaa mafundo.
Yule jamaa hata simu mpya alikua anashindwa kununua, pesa yake yote alikua anaitumia kuwasaidia mayatima na wajane.
Ogopa sana mtu wa namna hio mkimuudhi mpaka akaamua kunyanyua mikono juu na kumshtakia Mungu.
Nyie nyumbu nguvu za kuongea mnatoa wapi??
Tulivyopiga na Real Madrid Final msimu uliopita,huyo Mane wako alikuwepo uwanjani.
 
Huyu mzee anatutafutia nywele ziote mvi mapema hivi maana pale tu ubao unasoma MF Elliott Fabinho Jones unajua hapa leo ni kuhenyeshwa balaa....

Kuna dogo hua anabeti hapa kitaa wakati mwingine hua anaomba ushauri nikamwambia kama kweli Thiago hayupo na Klopp kaanza na ile MF basi Liverpool tunachapika akaniambia sio rahisi kwa vile tumetoka kumfunga Manchester City eti winning attitude imerejea basi bhana akakomaa na Liverpool leo nakutakana nae ananiambia Liverpool imemnyima laki 4... Nikamwambia Liverpool hii ya sasa sio ya kubetia haitabiriki na bila Thiago hatuna stability pale kati...

Kimsingi mtaani Liverpool sasa imekua adui kwa wazee wa ku beti maana hawaelewi lini atashinda lini atapigika yaaani kazi ipo.

Klopp kama Klopp anakomaa anavyojua yeye.

I admire Pep hua hana huruma ikija ishu ya out of form player nakumbuka kuna kipindi Mahrez alisugua benchi sana basi Pep akaulizwa vipi mbona huyu umenunua £60m aafu anasugua benchi akajibu kwamba yeye anaangalia mchezaji anavyojituma mazoezini na gemu ya mwisho ali offer nini uwanjani hapo ndio anajua kama huyo mchezaji anafaa kupangwa mechi ijayo na kweli dogo Mahrez alisugua benchi haswa mpaka pale Pep aliona kama amejiimarisha kua starter... Hii inakupa picha Pep ana utajiri wa talent za kutosha lakini pia anahitaji workhorse players sio bla bla... Huku Klopp kajaza quantity wanacheza wanavyotaka they care less kuhusu kupangwa kesho maana wanajua benchi haina ubora kabisa..

Tuna safari ndefu sana. Hii 4 4 2 ya Klopp inatoa some new hope lakini bila wachezaji sahihi kuitekeleza basi tutajikuta kila wakati tupo pale pale ni sare ama kipigo..

Mechi ya juzi tuseme ukweli bila ubora wa kipa Dean Henderson ilikua ushindi upo.. Wakati mwingine tulifanya maamuzi ya hovyo kama pale VVD badala afunge alitaka kutoa assist utaona namna gani confidence iko chini sana kwa baadhi ya hawa wachezaji...

So here we are...
.. Out of form
.. Low confidence
.. Injuries
.. Poor team selection
.. Aging squad tupo nafasi ya 3 bora kwa kua na kikosi kilicho sheheni wazeee.

We need a miracle.

YNWA
Milner alale,aamke,afanye zoezi, asifanye,namba anayo.

Akina nani hao wana kiherehere cha kumbetia Liver timu la mchongo lililoangamizwa na Klopp😂
 
Shamba LA bibi......tena bibi mwenyewe kilema.....sijui tuliwakosakosaje tu videri nyie
Kwa hizi teke unatupataje Kwa mfano😁
 

Attachments

  • JamiiForums-843861516_310x388.jpeg
    JamiiForums-843861516_310x388.jpeg
    29.4 KB · Views: 8
Milner alale,aamke,afanye zoezi, asifanye,namba anayo.

Akina nani hao wana kiherehere cha kumbetia Liver timu la mchongo lililoangamizwa na Klopp😂
King Milner owns Klopp Hahaha kazi sanaaaa.. We are so doomed.

Liverpool inachana sana mikeka ya vijana kwa sasa wakiniona wananuna wanasema wanapishana na ela ya ku beti kisa tu wana imani na Klopp eti anaweza kuwa sapraizi yaaani...

YNWA
 
Poor Keita.
Mtaalam MosDef alipoandika hizo tetesi kuhusu hili zigo likeita ,aibu niliona Mimi.
Ila MosDef hii ishu ya Keita hilo gonjwa atakua kapewa na demu shabiki wa Chelsea tena ametumwo na OllaChuga Oc ili tuzidi kupoteana ili huyu Chugga man ateke huu uzi auteke na vimaneno vyake vya mkosaji...

Keita katutia aibu ya mwaka yaaani tuna hali mbaya hivi aafu anaedekeza gono zembe namna hii duuh kweli we are so doomed...

YNWA
 
Nendeni Ujerumani mkapige goti na mtubu.
Yule mtu wa Mungu ameondoka huku moyo wake umejaa mafundo.
Yule jamaa hata simu mpya alikua anashindwa kununua, pesa yake yote alikua anaitumia kuwasaidia mayatima na wajane.
Ogopa sana mtu wa namna hio mkimuudhi mpaka akaamua kunyanyua mikono juu na kumshtakia Mungu.
Mane kwa sasa muacheni ale mazuri ya kujituma hakika anastahili sana alipo ni kwa juhudi zake mwenyewe...

Down to earth..

Hana kashfa yeye ni kazi kazi muda wote.

Ukitazama heatmap ya huyu dogo utaelewa nini tunakosa pale Liverpool na tazama upande wake sasa umepwaya sana hauna mishe mishe kama enzi yupooo...

Let bygones be bygones...

Mpaka turejee top top mna sisi mna kila haki maana tumewaburuza haswa kwa miaka 6 iliyopita.

Kutesa kwa zamu.

Future is bright

YNWA
 
Ndugu zangu liverpool najua mnachopitia, mim ni man utd lia lia ila nawashauri umsimfukuze klopp kwasasa, dirisha lijalo apewe support atasajiri wachezaji bora wenye umri mdogo

Kama klopp atafukuzwa mtakua mmefanya kosa kubwa sana na hili hajalishi atamaliza nafasi ya ngap

Nimesikia wengne wanatamani Gerald apewe timu... hii ni big no, sisi man utd tulifanya kamari kwa OGS kila mtu ni shahidi kilichotukuta, hizi timu kubwa sio za majaribio
 
Ndugu zangu liverpool najua mnachopitia, mim ni man utd lia lia ila nawashauri umsimfukuze klopp kwasasa, dirisha lijalo apewe support atasajiri wachezaji bora wenye umri mdogo

Kama klopp atafukuzwa mtakua mmefanya kosa kubwa sana na hili hajalishi atamaliza nafasi ya ngap

Nimesikia wengne wanatamani Gerald apewe timu... hii ni big no, sisi man utd tulifanya kamari kwa OGS kila mtu ni shahidi kilichotukuta, hizi timu kubwa sio za majaribio
Watu wanatofautiana Mkuu,
Gerrard anaweza kuwa tofauti na Ole.
 
Screenshot_20221024_224005_com.android.chrome_edit_366118736749339.jpg


Hii habari sio powa kabisa. Nimesikitika sana maana wakati dogo anaumia ilionekana kawaida sana kumbe ni jeraha la kumfanya mpaka akose world cup.

Ni pigo baada ya pigo. Ma jembe wetu Diaz, Konate na Jota kua nje kwa muda mrefu kutatugharimu.

YNWA
 
Nilivyosoma comment ya Brother MosDef,nikadhani labda wanaume mna misemo yenu hiyo kaswende nikajua itakuwa msemo tu

Dah
Jamaa anatoa wapi muda wa kuzoa hayo mavitu??
Ndio maana kanaumia kila siku.
😂😂😂😂😂😂😂Habari za Keita usizotegmea kuzisoma ndio unakutana nazo kama vile 🤔🤔😅😅

Nachoka kabisa.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom