Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Napoli bwana msimu huu wanataka kwenda mbali sana ligi ya nyumbani na Uefa...Napoli wametufanyia uhuni sana kwenye group stage, unexpected things. Tuwapige Anfield tuweke heshima
Khvicha Kvaratskhelia na Piotr Zielinski hawa wachezaji wawili itakua ngumu kubakia pale Stadio Maradona msimu ujao...
Huyo Khvicha tetesi ni kwamba Manchester City washaanza kutupia jicho la usajili.
YNWA
