Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

100% kijana mdogo na atajifunza ana muda ila unamuona anajuwa mpira ana vitu ni muda tu ayakuwa key player tukumbuke hata kina Gomez wamewahi kuwa na mechi mbaya sana na tukawa tunasema huyu hatufai lakini leo tunampa sifa tumesahau ya nyuma hata Mo tulishaanza kumsema lakini leo tunabadili mawazo. Nunez naamini kabisa kama sio msimu huu huko mbele ni asset kubwa tu najuwa watu wanaongelea bei lakini siku hizi hizo ndio bei hata Man u wamenunua wachezaji wa kawaida tu hawamfikii kabisa Nunez kwa bei kubwa sana tu lakini mambo ya bei sio muhimu hapa kikubwa je mchezaji ni ana potential? yes na atakuwa na team ana miaka 22 tu mdogo na yuko nchi lugha tu bado anajifunza na kujuwa mazingira mwaka mmoja atakuwa level kubwa tu mimi na muamini sana tu na kuthibitisha hilo UEFA na Benfica hata Jota wakati tunamnunua hakuna aliyetegemea hata Firminho alipokuja lakini leo wako wapi.
Ila jana katenda dhambi isiyosameheka
 
Trust me Nunez sio mbovu kiasi hicho, he is quick na ana nafasi ya kufanya vizuri, msimu huu 15+ goals atafunga...

NB: Arsenal fan kindakindaki
Ukiondoa urefu wake,labda na jinsi anavyofunga nywele zake,Nunez ni famba mkuu.Completely not a typical Liverpool striker in Klopp era....Trust me
 
Ishu inayonistua kwa mbali nii hii ya Klopp kua risk taker na usajili kwa mfano huyu dogo Konate ilikua well documented ana goti lenye shinda same case Ox na Thiago matatizo yao ya majeruhi yalijulikana.

Nadhani kwenda mbele kuwe na mabadiliko namna gani ya ku profile hawa wachezaji kama wanakuja kua tegemezi klabuni... Otherwise tutazidi kua wasidikizaji kwa wengine kua bora sie tukijichungulia waleee... Hivyo ni rasmi June 2024 itakua dirisha la kufanya clearing ya nguvu sana maana haya maisha ya nafasi ya 8 tulisahau long time hatuhitaji kurejea huko kamwe...

Pale mbele nina imani tupo kwenye mikono salama kabisa Salah, Nunez, Jota, Lucho, Fabio, 'Muloswki', Elliott na Bobby.

Ishu inayotugharimu sasa ni hatutumii ile front line kama 1st line of defence lakini pia Mfs wanachelewa ku track vyema mashambulizi especially kwenye kaunta.

Wengi wamejaribu kutoa picha haswa nini kimetukuta Liverpool.
*umri unatajwa kua kikwazo kucheza pressing game.
*majeruhi pia.
*kutosajili MF muda sahihi.
*wachezaji kuchoka akili kwa kukosa ubingwa wa EPL na UCL msimu uliopita. Msimu uliopita Liverpool ilicheza gemu 63 bila kuhesabu mechi za Kimataifa kwa wachezaji hivyo hawa jamaa wapo hoi sana na kwa kuzingatia kulikua na mapumziko mafupi nk zimechangia parefu.

* kumwachia Mane nayo inasemwa imechangia sababu kaodoka akiwa na mpira mwingi tu.

*lakini pia usajili safi kabisa kutoka kwa Arsenal, Manchester City na Tottenham imechangia kuimarisha ushindani wa ligi kule top.

*nk nk nk nk.

YNWA
Nyota namba 4 na 6 naona kwangu ni sahihi ndio maana mi naamini rotation itafanya wengine wapumzike wapya wapate nafasi ..

Suala la usajili pia nadhan kuangalia ukota na Mfs mmoja au wawili wa maana ..
Hata tukipata Kama wakina Coutinho vile fresh ..
 
Sina shaka na Nunez. Kwa umri wake na chini ya Klopp atakaa sawa tu.

Klopp amwamini na language barrier kadri anavyozidi kujua kingereza atazidi elewa ni muda tu huyu dogo ana goli 15+ msimu huu.

YNWA
Klop alihojiwa siku moja akasema yule dogo bado Kama anajistukia tu labda presha kubwa ya kufanya vizuri ndo inamzonga Ila mazoezini anapiga magoli mpaka ye mwenyewe anashangaa inakuaje kuaje ..
Pamoja na hivyo lakini anafunga japo nafasi zengine anakosa Ila movement zake dogo hata magoli aliyofunga unaweza ona Ni mtu hatari..
Magoli Kama ya F.Torres vile yule ya Liver.
 
Klop alihojiwa siku moja akasema yule dogo bado Kama anajistukia tu labda presha kubwa ya kufanya vizuri ndo inamzonga Ila mazoezini anapiga magoli mpaka ye mwenyewe anashangaa inakuaje kuaje ..
Pamoja na hivyo lakini anafunga japo nafasi zengine anakosa Ila movement zake dogo hata magoli aliyofunga unaweza ona Ni mtu hatari..
Magoli Kama ya F.Torres vile yule ya Liver.
El Nino alikua mtu na nusu hatari sana.. Liverpool has been blessed kua na ma strika hatari balaa tazama Torres El Nino, Surez, Salah na sasa Nunez...

Kwa umri wake na ile price tag sijashangaa sana alipo sasa na ile kadi yake vs Crystal Palace ilimchanganya sana kiasi fulani...

Atakaa sawa na pia kingine wakati yeye hapati dakika mwenzie anaefananishwa nae anapewa dakika za kutosha lakini Nunez dakika kwake ni adimu sana na lazima tukumbali game time itampa zaidi kujiamini case study alivyo hit ground Fabinho alivyotua Liverpool baada nae kusugua bechi mwishowe akapewa namba ilikua one way ticket hakarudi nyuma tena.

YNWA
 
El Nino alikua mtu na nusu hatari sana.. Liverpool has been blessed kua na ma strika hatari balaa tazama Torres El Nino, Surez, Salah na sasa Nunez...

Kwa umri wake na ile price tag sijashangaa sana alipo sasa na ile kadi yake vs Crystal Palace ilimchanganya sana kiasi fulani...

Atakaa sawa na pia kingine wakati yeye hapati dakika mwenzie anaefananishwa nae anapewa dakika za kutosha lakini Nunez dakika kwake ni adimu sana na lazima tukumbali game time itampa zaidi kujiamini case study alivyo hit ground Fabinho alivyotua Liverpool baada nae kusugua bechi mwishowe akapewa namba ilikua one way ticket hakarudi nyuma tena.

YNWA
Daah kweli umenikumbusha Fabinho Game ya mbili za mwanzo Arsenal na Napoli mpaka wengine tulimkataa mazima yani
 
Daah kweli umenikumbusha Fabinho Game ya mbili za mwanzo Arsenal na Napoli mpaka wengine tulimkataa mazima yani
Fabinho kama sijasahau zile gemu za Bayern Munich alicheza one of the bsst of his Liverpool story tena ni kama alicheza markshift CB kwa sababu VVD alikua na kadi so dogo alivyopewa nafasi hajawai kurudi nyuma tena na gemu nyingine akicheza pale kati alipamiliki balaaa. Players improve kwa filed sio kusugua benchi ndugu yangu. Give the boy real test kwenye real games na hatatuangusha.

YNWA
 
Safari bado ndefu lakini tumo tupo nyuma ya timu tumeipenda wenyewe hii hakuna namna kwa mara ya kwanza msimu hui nimeona Liverpool ninayoijua mimi...wachezaji jana hawakua wazitoooo aisee walikwenda na mpira muda wote walirejea nyuma kusaidia beki na hakuna hata kona au mpira wa adhabu ulileta hatari...

Hii performance ilihitajika kurudisha monster mentality klabuni...

Tupo nafasi ya 8 sasa. Tusonge mbele kuisaka big 5 aafu hio big 4 tutajua huko mbeleni.

View attachment 2389701

YNWA
Liverpool mshusheni Nyumbu hapo namba tano, afu Kumbe Bournemouth mliyempiga tisa leo mpo sawa point
 
Ladder49...png
 
Ila jana katenda dhambi isiyosameheka
Tutamsamehe tu kafanya kweli makosa lakini mpira huwa hatuangalii mechi iliyopita ni mechi ijayo kumbuka Gomez alichofanya mechi ya Napoli leo wanasema kwa mpira huu aende Qatar. Mpira ni kujifunza makosa ndio maana kila siku wako training na ni kazi ya walimu kurekebisha haya bahati nzuri tulishinda goal moja lakini ingekuwa wamerudisha wale leo angekuwa hana amani lakini kwa kuwa 3 point tulichukuwa makosa atajirekebisha tu.
 
Tutamsamehe tu kafanya kweli makosa lakini mpira huwa hatuangalii mechi iliyopita ni mechi ijayo kumbuka Gomez alichofanya mechi ya Napoli leo wanasema kwa mpira huu aende Qatar. Mpira ni kujifunza makosa ndio maana kila siku wako training na ni kazi ya walimu kurekebisha haya bahati nzuri tulishinda goal moja lakini ingekuwa wamerudisha wale leo angekuwa hana amani lakini kwa kuwa 3 point tulichukuwa makosa atajirekebisha tu.
Haya mkuu umeshinda, hata hivyo umri wake unamlinda, anao muda mwingi wa kumiprove
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom