OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Hii arse8 hii ata siiwazii kabisa ..nampiga kata funua apo tayari namtuliza wenge EPL ina wenyewe🤣🤣🤣Arsenal anaenda kuwala mablauzi November 6 ili kidomodomo kikuishe.
Hii arse8 hii ata siiwazii kabisa ..nampiga kata funua apo tayari namtuliza wenge EPL ina wenyewe🤣🤣🤣Arsenal anaenda kuwala mablauzi November 6 ili kidomodomo kikuishe.
Kwa hiyo ile assists ni ya Alisson
Tutasimama Tena vizuri muda upo bado

Safari bado ndefu lakini tumo tupo nyuma ya timu tumeipenda wenyewe hii hakuna namna kwa mara ya kwanza msimu hui nimeona Liverpool ninayoijua mimi...wachezaji jana hawakua wazitoooo aisee walikwenda na mpira muda wote walirejea nyuma kusaidia beki na hakuna hata kona au mpira wa adhabu ulileta hatari...Tutasimama Tena vizuri muda upo bado
Fresh fresh Sana
YNWA
Kwahiyo Nunez tayar Ni flop..Sijasema mbovu nimesema ni mchezaji wa kawaida
Top player leo angeisaidia Liverpool kushinda hata Goli 4
Nafas ya 3vs 1 kaleta uchoyo
1vs 1 kachop kama Nchimbi
Ni mchezaji wa kawaida ,na hapo yupo sehemu wanayotengeneza chances kibao
Angekuwa man u tayari tungeshamuweka kundi la kina Sancho , Magwaya ,ambao Ni flop
Narudia Ni mchezaji wa kawaida ,
Tutafika tu angalau rotation inayofanyika inatusaidia hivyo hvyo kibishi ..Safari bado ndefu lakini tumo tupo nyuma ya timu tumeipenda wenyewe hii hakuna namna kwa mara ya kwanza msimu hui nimeona Liverpool ninayoijua mimi...wachezaji jana hawakua wazitoooo aisee walikwenda na mpira muda wote walirejea nyuma kusaidia beki na hakuna hata kona au mpira wa adhabu ulileta hatari...
Hii performance ilihitajika kurudisha monster mentality klabuni...
Tupo nafasi ya 8 sasa. Tusonge mbele kuisaka big 5 aafu hio big 4 tutajua huko mbeleni.
View attachment 2389701
YNWA

Kubwa jinga la MwakaMan shitye kubwa jinga tu ..na mkosi wote ule alonao eti anapigwa na hii liverpool yenye najeeuhi wa kutosha. Kweli klopp mkehuri huyu jamaa.
🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
YNWA
Tutafika tu angalau rotation inayofanyika inatusaidia hivyo hvyo kibishi ..
Muda wa kuchanganya nasi tutachanganya tu..
Ni Klop kumuweka sawa Nunez na Salah wakielewana tu vizuri huko mbeleni ni balaa..Maana Boby tunaijua shughuli yake!..tuna Diaz na Jota wote wapambanaji..
Wanaopangwa winger ndo wanakazi ya kutokoa kwenye msimu huu manake mdogo wetu ndo kashasema hivyoView attachment 2389728
Tupo madonge kuinamaSafari bado ndefu lakini tumo tupo nyuma ya timu tumeipenda wenyewe hii hakuna namna kwa mara ya kwanza msimu hui nimeona Liverpool ninayoijua mimi...wachezaji jana hawakua wazitoooo aisee walikwenda na mpira muda wote walirejea nyuma kusaidia beki na hakuna hata kona au mpira wa adhabu ulileta hatari...
Hii performance ilihitajika kurudisha monster mentality klabuni...
Tupo nafasi ya 8 sasa. Tusonge mbele kuisaka big 5 aafu hio big 4 tutajua huko mbeleni.
View attachment 2389701
YNWA
100% kijana mdogo na atajifunza ana muda ila unamuona anajuwa mpira ana vitu ni muda tu ayakuwa key player tukumbuke hata kina Gomez wamewahi kuwa na mechi mbaya sana na tukawa tunasema huyu hatufai lakini leo tunampa sifa tumesahau ya nyuma hata Mo tulishaanza kumsema lakini leo tunabadili mawazo. Nunez naamini kabisa kama sio msimu huu huko mbele ni asset kubwa tu najuwa watu wanaongelea bei lakini siku hizi hizo ndio bei hata Man u wamenunua wachezaji wa kawaida tu hawamfikii kabisa Nunez kwa bei kubwa sana tu lakini mambo ya bei sio muhimu hapa kikubwa je mchezaji ni ana potential? yes na atakuwa na team ana miaka 22 tu mdogo na yuko nchi lugha tu bado anajifunza na kujuwa mazingira mwaka mmoja atakuwa level kubwa tu mimi na muamini sana tu na kuthibitisha hilo UEFA na Benfica hata Jota wakati tunamnunua hakuna aliyetegemea hata Firminho alipokuja lakini leo wako wapi.Trust me Nunez sio mbovu kiasi hicho, he is quick na ana nafasi ya kufanya vizuri, msimu huu 15+ goals atafunga...
NB: Arsenal fan kindakindaki
Sasa kma nyie kuku muna kideri mumeshinda ..sisi tukiweka fulu mkoko hakuna kima atachomoka.😂😂😂Kubwa jinga la Mwaka
Kikosini yupo Milner ila tumewatandika.
Ila sisi ni wanaume..Kama huamini nendeni na nyie chelshit mkajaribu kumfunga City
Ishu inayonistua kwa mbali nii hii ya Klopp kua risk taker na usajili kwa mfano huyu dogo Konate ilikua well documented ana goti lenye shinda same case Ox na Thiago matatizo yao ya majeruhi yalijulikana.Tutafika tu angalau rotation inayofanyika inatusaidia hivyo hvyo kibishi ..
Muda wa kuchanganya nasi tutachanganya tu..
Ni Klop kumuweka sawa Nunez na Salah wakielewana tu vizuri huko mbeleni ni balaa..Maana Boby tunaijua shughuli yake!..tuna Diaz na Jota wote wapambanaji..
Wanaopangwa winger ndo wanakazi ya kutokoa kwenye msimu huu manake mdogo wetu ndo kashasema hivyoView attachment 2389728
Sina shaka na Nunez. Kwa umri wake na chini ya Klopp atakaa sawa tu.Kwahiyo Nunez tayar Ni flop..
Kwahiyo kusaidia Liverpool kushinda goli nyingi ameshindwa Halaand kuifunga Liver Mara 2 Sasa kwenye game muhimu na beki zilizochoka naye tumuite mchezaji wa kawaida !?
Kuna timu EPL inatengeneza chance nying za kufunga zaidi kila game zaidi ya Man City!?
View attachment 2389714