Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nunez is not a project player.

Mchezaji kuhitaji adjustment period/time kwenye his new club, haimaanishi kuwa ni "project" player, na adjustment period/time huwa inahitajika mara nyingi mchezaji anapokuja/sign kwenye team ambayo inacheza mfumo tofauti ambao aliuzoea, so either coach aamue kubadilisha mfumo ili ku-suit his playing style, au am-coach mchezaji na kumvuta katika style na mfumo wake, hence some playees takes a lot of time kuzoea new mazingira/mifumo na tactical variations.

Nunez amecheza in a 4231 career yake yote, Klopp ni muumini wa 433, so it was either ku-abandon 433 for the sake of Nunez, au kum-coach in a 433, and thats what Klopp was trying to do, play a wide/stretched 433, ili kumpa Nunez time/space ya ku-hurt opponent from central areas, kwa ku-build in a 2-1 shape kama kwenye 4231, ambapo hiyo tweak ilionekana kuwa ngumu kuwa implemented as it needed Salah ku-play so wide, Trent ku-invert, etc left us so open on our RHS.

Now, switching 442 inakuwa rahisi kwa Nunez, as anakuwa na uwezo wa ku-interchange na Salah/Firmino kwenye central areas/upfront, akitokea kushoto/kulia, depends Salah anakuwa wapi wakati tuna-attack.

Klopp had to coach an experienced player and Ligue 1 winner Fabinho how to play as a Lone DM, he had to coach one of the best MFs in the world Thiago how to time his runs & ball screening as a 2nd holding LCM, so coaching a 23 year-old ambaye 3 years ago alikuwa kwenye segunda division ya La Liga, kuhusu proper decision making, ni jambo la kawaida sana, unless kama unadhani kazi ya coach ni ku-instruct mchezaji kuingia uwanjani na ku-kick a ball.

Price tag ya Nunez ni justified, kutokana na inflated market ya sasa, last season he scored 26 goals out of 28 league games, scored plenty goals in the CL pia, player of the year & top scorer kwenye portugal league, top 5 league in europe, Benfica started a bidding war, considering they bought him for their club record fee of 24m, ni record signing ya Benfica, na tayari enquires zilikuwa nyingi after just 2 seasons kwenye club, so Benfica had to make sure wanapata profit kubwa, hence wakawa open for a bidding war, mnasahau kuwa Nunez alikuwa ni top 3 targets za Ten Hag at Utd, De Jong, Nunez and a CB, that was his spine, Utd matched our offer pia, but Nunez chose our project, sp theres no way Nunez angeuzwa for cheap.

And, kuwa na price tag kubwa, haimaanishi kuwa hutakiwi kupata nafasi ya ku-settle kwenye team, and kwa baadhi ya wachezaji huwa inawachukua muda ku-settle, na pia kuna makocha huwa wanachukua muda kuwa-adjust new players kwenye system yao.

As i said, Klopp tried to tweak baadhi ya vitu kwenye his system ili kumu-accomodate Nunez, while Guardiola changed the whole shape of his attacking patterns ili kumu-accomodate Haaland, na it showed against us, as Man city failed to to accumulate or interchange/try quick & penetrative passes kwenye final third because they had a target man, hence once we nullified KDB & Silva transitional threats, it became easier for us to minimize Haaland chances.

And, Nunez is a STARTER at Liverpool.
Unapata tabu bureee kumuelewesha mtu ambaye mpaka Partey (engine ya Arsenal) anamlalamikia kua ni Zero IQ.

Ila mwanangu Will Jr siku hizi umeanza kukua umepunguza sana matusi
 
Nini maoni yako kuhusu transfer policy ya City season hii?wameuza zaidi na wamenunua cheap Akanji...
Liverpool tumeanza kuzidiwa na hawa wanao Tu copy?
Pep Guardiola ana unlimited funds, na pia kitu cha ziada anajua ni wakati gani wa ku-let players go.

Sterling was already declining, and it was a perfect time to sell him, uzuri ni kuwa replacements tayari zilikuwepo kwenye club, na akama Sterling angebaki angeweza kuwa surplus kwa Pep, especially the way Pep alivyoi-shape attacking line yake kwasasa, and with Haaland and Alvarez at the club, hakukuwa na need ya kuwa na Gabriel Jesus, so they had to sell him.

Man City wanatupita sisi, kwasababu transfer policy yao inawaruhusu ku-take risks kwenye market, Laporte & Stones wamekuwa na matatizo ya injuries ya mara kwa mara, ni kama sisi kwa Matip & Gomez, sasa wenzetu huwa hawasubirii mpaka maji yamwagike, signing ya Akanji ilikuwa ni ku-cover void za Laporte/Stones, na sometimes kuruhusu Dias kupumzika kwa kiasi kikubwa, sisi hii starehe hatuna as our main CB VVD huwa anapata nafasi chache sana za kupumzika kwenye league/CL, mara nyingi huwa anapumzika kwenye FA/EFL games, but at City, ukiwa na a fit Ake, Akanji or even Laporte & Stones, inakuwa rahisi sana kumpumzisha Dias, na Pep ni mzuri kwenye fitness management.

But, again yote hii inakuja kwenye suala la kuwa na good owners, ambao wanaelewa essence ya football, on paper our CB department inaonekana iko full sana, but now unaona injuries to Konate & Matip, we are left with VVD, Gomez & Nat who is not good at all, so huwezi kumpa VVD nafasi ya kupumzika au kum-rotate na Nat, na kwasasa kama VVD akiumia, we will be lining up na partneship ya Gomez + Nat.

Pia, tutoe credit to kwa Manchester City, wanajua ile art ya kupitia/kuangalia ni jinsi gani wanaweza ku-cover gaps kabla ya msimu kuanza, ndiyo maana unakuwa team yao ipo full kwenye kila idara, unless itokee injury crisis kubwa sana.
 
Suala la muda kwa Nunez.

Sijaacha kumuamini. Bahati kwake amekuja wakati timu haipo form hata kidogo.
Timu iki click namgurantee kufikisha 15+ goals this season.
Atleast sasa Klopp kafungua macho na masikio vyema ameona 433 ilivyokuwa chungu season hii.
Best of luck to us, ile 1-7 ya rangers na city it has to be our wake up call yetu
 
View attachment 2392345

Tazama hizo namba za huyu dogo Nunez ana EPL highest stat kwa na forward pale EPL ... Hii inaonyesha yupo kwenye laiti track ni suala la muda tu kabla hajaanza kufumania nyavu balaa.

Sijawai kukosa imani na huyu dogo regardless ya anacho deliva sasa naamini anaedelea pazuri sana ni suala la muda tu.

Klopp kwa kuwanoa ukali hawa ma dogo yupo vizuri tazama Auba, Lewandoski, Mane, Salah, Marco Reus, Mario Gotez nk th list is endless... Sasa kwa huyu dogo Nunez ni suala la muda maana movement akiwa na mpira na akiwa hana mpira zinaonyesha vyema sana anakoelekea ni pazuri. Nina subira nina imani boy will come big. Kingine ni mpaka Surez anawatonya Barcelona wamsajili huyu dogo kipindi anakipiga Almeria Spain na walivutiwa sana ishu ikawa Barcelona hawana ela ndio Benfica wakamnunua knowing ni suala la muda tu kabla hawajauza ela nyingi tu....

Kukosa KDB kind of player kutoa ma assist fulani amazing pia imechangia sana kukosa new dimension pale mbele lakini dogo Nunez ana instinct fulani hivi za Street football he is looking for opportunities left, right hasubiri fursa zimkute anazisaka mwenyewe...

In Nunez i trust na leo huyooo katuletea pointi muhimu sana,tulipo na kushinda back to back games ni ishara njema kujijenga upya kimkakati. Vijana wanapambana makosa ni mengi lakini winning attitude imeanza kurudi mdogo mdogo....

YNWA
People are doubting Klopp talent ID kwa attackers? developing attackers ni moja kati ya eneo ambalo analimudu sana, Jota wa sasa ni tofauti kabisa na yule Wolves, Klopp huwa ana-find it so easy kufanya kazi na rapid attackers, na being rapid ni moja kati ya best traits alizonazo Nunez.

Nunez is GOOD, na i didnt even flinch, fee yake ilivyokuwa reported, because i knew kile anachoenda ku-offer.

Tatizo, football fans are so spoiled, wanataka kila mchezaji adjust kwa haraka zaidi even if system iliyopo haimpi confidence, LIverpool ambao wapo on Nunez ears, ndiyo waliokuwa wanam-bash na kumuita Fabinho a FLOP during his early days at the club, bila ku-factor kuwa anachezeshwa kwenye mfumo ambao hajawahi kucheza kabisa.

You see, football fans thinks football is easy, kwamba ni kama kucheza draft, kila mchezaji ana style yake ya uchezaji, na ndiyo maana unapokuwa unafanya profling lazima ung'amue kuwa style ya huyu mchezaji inaingia kwenye set up/mfumo upi, maana kama mfumo/set up itapingana na aina ya uchezaji wake, basi unahatarisha career yake, na ndiyo maana mara nyingi unakuta talented players wana-flop kama kocha na his tactical bench wasipokuwa makini, na ndiyo maana WC coach huwa wanakuwa tayari ku-tweak shapes za team zao ili kuhakikisha mchezaji anafanikiwa, japokuwa siyo wote wanafanikiwa katika hilo, mfano tu at Utd, Ten Hag didnt want Casemiro, his first choice was De Jong, possessional oriented CDM, different kabisa na Casemiro, so ili Casemiro a-prove his worth, Ten Hag anatakiwa a-tweak his fast paced & direct football ili kumu-accomodate Casemiro? so yupo tayari kupunguza threats za Eriksen, Bruno kwenye MF kwaajili ya Casemiro? because kama ukikata threats za his 2 8s, unaua kabisa direct pattern ya his attack, so its either Casemiro a-adjust au Ten Hag a-tweak his shape, is it worth it? for Haaland? yes, for Nunez? yes? but for a 30 year old Casemiro ambaye ni one dimentional DM?

Pia kuna players ambao wakiwa available on the market, hutakiwi kuwaacha, when Nunez became available, ilikuwa ni no brainer, you grab that chance, especially kipindi ambacho Mane alikuwa anaondoka and Firmino ku-turn 31 year-old, we NEEDED Nunez, no way club ingeacha hii nafasi ipite, na worse case scenario aende United.

Nunez ni proper number 9, na nilisema kila game atayoanza atafunga na ku-create a lot of chances, people should be happy, that we have got ourselves a gem, top class number 9, ambaye tukakuwa naye for years, only 23 na he is determined to prove all his doubters wrong, you can see it in his eyes, we have got a fighter and a winner in our hands.
 
We have started poor, the season is still open, ningekuwa slightly worried kama Manchester City wangekuwa wanaongoza kwa 27 points in october, but its Arsenal.

Us, beating City ilikuwa ni so important for our season, and where we want to finish.

The season is still open, labda tujipe ugumu tena wa kuto-sign MF in january.

We are still competing in the league, CL, FA, EFL, beating City was IMPORTANT, win against Westham, we will jump to 5th, the theme is to stay around/near top 4 places mpaka january.

Being 14 points off the top in october is NOTHING, last season we were 15 points off the top in January tena kwa Manchester City, and ilipofika May, City had to beat Aston Villa to win the league in the LAST DAY, so its still early, so early in the season, and its Arsenal who are on the top of the table, i pray they dont slip and let City overtake them before WC.

The target is Manchester City, we're 10 points apart now, so the goal is to try to reduce that gap by any means, they have HAALAND now, so the task will be a bit harder, but we need to TRY.

Diaz, Jota, Matip, Kostas, Keita, Ox, Carvalho, Elliott, Salah, Robertson Hawaendi World Cup.

Thiago, Gomez, Konate, wana 80% ya kutokwenda.

Trent, Fabinho & Firmino hata wakienda hawatapata game-time ya kutosha kwasababu siyo starters.

Alisson, Nunez & VVD ndiyo main starters kwenye team zao.

So ile WC burnout itatupitia mbali kidogo, unlike City ambapo KDB, Cancelo, Dias, B. Silva, Rodri, Gundogan, Foden, Akanji, Ake etc wanaenda WC na pia ni starters kwenye team zao.
The past doesnot play now.
 
Ladder49…..png
 
Do you think trent will be converted to a RM?

I watched him vs Westham again yesterday, tracking back has been a problem for him now

Mkuu mbona iko wazi kabisa ni kwamba TAA anakuwa anaenda mbele na hayo ni maelezo ya klopp.akikaa nyuma tu yote hayawezi kutokea kama milner alivyofanya kwa foden dhidi ya man city alikuwa muda mwingi yuko nyuma tu mipira yote anayopata foden milner huyu hapa anakuwa achelewi kurudi.

Hakuna haja ya kumraumu.
 
Do you think trent will be converted to a RM?

I watched him vs Westham again yesterday, tracking back has been a problem for him now
Mkuu, its tempting, kutokana na traits alizonazo Trent, ana kila aina ya tactical trait ya kucheza as RM in a 442

  • Chance(s) creating merchant
  • World Class Passer
  • Standard & effective Pace
  • Strong ball carrier
  • World Class Vision (Line breaker)
  • etc

Traits zote hizi anazimiliki Trent, but my worry ni kuwa he's so short of confidence now, for the past few years Trent alikuwa ame-improve a lot katika suala la ku-defend, though he had prime Wijnaldum, Henderson & Fabinho in the MF, so it was so easy kwa yeye ku-build, kujifunza na kujiimarisha zaidi katika kuzuia, last season ambayo imeisha few months ago, alikuwa ni one of the top DEFENDERS in the world, na alikuwa ni one of our most consistent player throughout the season, hence amemaliza nafasi ya 22 kwenye BDO rankings, so hii bad patch anayopitia sasa ni ya muda tu, huwa inatokea kwa kila mchezaji, tumeshuhudia kwa kina Salah, Mane, Robertson, Firmino, Matip, VVD, Fabinho etc, tena Fabinho now is really struggling na hii siyo mara ya kwanza kwa Fabinho, so kama ni real football fan, huwezi kupata shida kuhusu hili, though huwa tunaombea tu hizi bad patches zisiwe zinatokea kwa wachezaji muhimu sana, na ukiangalia, ukiachana na Trent kuwa out of form, ni wazi kuwa shape tuliyoanza nayo msimu huu ilikuwa haimpi uhuru au kuwa comfortable (tumeelezea sana), it happens.

He was good in a 442 against rangers, na pia he was good in a 442 against Westham kwenye kipindi cha kwanza, though alitoka mchezoni tena baada ya sub ya Thiago & Nunez kwenye dakika ya 60, as Klopp reverted back to 433 na tukapoteza control yote ya game.

So its up to Klopp, kuangalia anaweza kumrudisha vipi kwenye form, ku-change set up na formation ni good start.

Mkuu, naona kwa Trent kucheza as RM, tutahitaji two good & strong defenders on our RHS, ili kutoa burden kwa Trent ya ku-defend na kucheza as a free creator from the right side, so utamuhitaji Gomez at RB na Konate at RCB, both ni strong & pacey defenders na good katika counter-pressing, so maybe, i mean MAYBE, akirudi Konate, Klopp anaweza kuwa tempted.

But for the meantime, OX amerudi, RM is his bread & butter, kama unavyojua a fit and firing OX is our best RCM, he knows how to play that right side, ana attribute zote za ku-shine at RM, and for the first time in a long period tunacheza mfumo ambao unam-favour to a tea, so i pray Klopp, alione hili, kumchezesha OX at RM, kutabadilisha msimu wetu wote, because that is his position, problem ni kuwa he got frozen out last season, so hatujui kama uhusiano wake na Klopp umerudi kuwa sawa, maana last season uliharibika. But its time kuweka personal feelings pembeni na kujaribu kurudisha msimu on the track, play Ox at RM and Carvalho at LM in a 442, and we will cruise games.

Trent should stay at RB, he has a legacy to proctect & build, we need to support him now, its the first time in his career anaingia kwenye bad patch, na pia bado hana uhakika wa kwenda WC, so hayupo good mentally, unajua dogo kakulia maisha marahisi sana, hajapata rabsha zozote, kakulia kwenye LFC academy, kakulia kwenye family inayojiweza, he's making a lot of money now but bado anakaa kwa wazazi, free time yake anatumia ku-DM kila mwanamke instagram, and funny thing is, you cant fault him, he's human afterall, na he's turning 24 soon, wote tumefanya stupid mistakes tukiwa around hiyo age, so its not suprising, na ule umayai wake unafanya iwe ngumu zaidi kukabiliana na bad patch yake because kila pundit, rival fans, jornos etc wapo on his ears, and on top of all, Southgate dissed him hadharani (kwenye media), so he's struggling mentally, tofauti na kina Fabinho ambao wamekulia favela, dangerous and rough places ni kama useme Manzese au Buguruni ya Bongo, so ni lazima atakuwa strong sana mentally, hawezi kuwa phased out na small bad patches, same kwa Firmino, same kwa Nunez, Diaz, Mane, Salah, Keita etc, ambao they had to rise, they had to dig deeper ili kutoka kwenye slums, kutoka kwenye kucheza peku, kutokuwa na hela ya gozi, hela ya nauli ya kwenda uwanjani, hela ya viatu, hela ya nguo, kushindia mlo mmoja, kulala chumba kimoja na dada & brothers, etc, mpaka kufika Anfield, Liverpool, so hawawezi kuwa phased na stupid jornos, stupid pundits, stupid LFC & rival fans, VVD alikuwa anaosha masufuria, sahani etc kwenye migahawa, Robertson was at one point jobless, na ana relegation on his football CV, huwezi kum-phase au kumtingisha akiwa na bad patch, so Trent kalelewa tofauti na hata kupokea negative reaction inakuwa ni ngumu sana kwake ku-process.

So acha tumlee kimayai, tumpe muda, ana watu kwenye dressing room ambao watamsaidia, kina Thiago, Alisson, VVD and Uncle Milner, so i think atarudi, na mimi siku zote huwa sikatii tamaa TALENTS, kwasababu ni moja tu, they will always PROVE you wrong.
 
Looking at our fixtures now, mpaka WC, i think game ngumu on paper ni Spurs tu.

so i'd be tempted to give Fabinho a big rest, he's fatigued, he needs to sit down for a minute, kabla hajapata a long term hamstring injury, and you dont want him to stay out for that long.

With Ox and Keita back in training, nadhanu its time Henderson apate a run as a 6 in a pivot, then rotate Keita & Thiago at LCM mpaka WC, maybe give Fabinho minutes kwenye CL games na game ya Spurs, but sioni ulazima wa kumpa minutes kwenye game ya saturday na ile leeds, unless kama ni 15-20 minutes, because he needs a rest, because ukiachana na umuhimu wake, akiwa kwenye bad form huwa anakuwa ni m-bovu haswa. so rest him, let him get a full rest, give him few minutes here and there mpaka atakapokaa sawa, though Spurs away is a must start.

Surely Henderson can provide a good cover at 6 kwenye hizi easy fixtures? he was good against Rangers, and was good against Westham, so i cant see why ashindwe ku-deliver against Nott & Leeds, two struggling teams at the moment, na kama akishindwa ku-step up, whats the point then? he's a Liverpool captain and even for his standard, he should be able to deliver kwenye hizi next two fixtures.

But, again, akicheza na tukifungwa/draw kwenye hizi fixtures, nitakuwepo hapa kujenga kibanda kwaajili ya kum-scapegoat, thats how we do baby.
 
Keita back, means we are safe with Thiago.

Msimu uliopita, tuli-manage ku-compete kwenye kila trophy kwasababu tuliweza kuwa-keep Thiago & Keita fit for longer periods.

You can hate on Keita, but he's the closet thing to Thiago, ndiyo mchezaji pekee at the Club anaweza ku-replicate kile anacho-offer Thiago at LCM.

So ni good news.
 
Captain Marvelous nini maana ya RHS ? maana naona kwangu kama terminology mpya toka jana Mkuu MosDef alikuwa anaabdika
RHS - Right Hand Side

LHS - Left Hand Side.

At Liverpool.

Our RHS ni;

Trent/Ramsay/Gomez (kama akicheza RB)-Henderson/Elliot/Ox- Salah/Nunez kama akicheza at RW.


Our LHS

Robertson/Kostas-Thiago/Keita/Carvalho-Diaz/Jota kama akicheza LW/Nunez kama akicheza LW

so ukiangalia hapo utaona ni side gani ambayo inahitaji maboresho.

We need RCM & another RW, but RCM is a Must this January.
 
Captain Marvelous nini maana ya RHS ? maana naona kwangu kama terminology mpya toka jana Mkuu MosDef alikuwa anaabdika
RhS ni yafuatayo..

~ Interchange of Positions

+Defenders stepping into midfield

+Penetrating runs from midfield

+Forwards dropping into midfield

Ukitazama our link of play utaona kwa mfano Trent plays defence cum mf cum winger interchanging position with flow of th balls..

MosDef can elaborate more on this.


YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom