kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,175
- 15,878
Huu ndo ukubwa wenyewe Sasa!
Ndio maana man Utd inatizamwa Sana na Ni club yenye presha kubwa,,,, tuna miaka karbia kumia hatujashinda kombe kubwa like EPL/UEFA lakini still tupo on top financially kuanzia tv rights, matangazo, bonuses, mauzo ya jez n.k !!!!!
Jezi ya utd Ni nzito Sana kuivaa, wachezaji wanaosajiliwa pale wanalielewa hilo,,,,
City walitoa 100m kwa grealish, performance yake na thaman yake Amna anaeongea ,,,,
Lukaku kwa Chelsea, Amna alieongea,
Pepe kwa arsenal, same story
Soon Nunez kwa Liverpool,,,
Mifano Ni mingi, ila utd mchezaji asipo-perfom mapema kelele zitasikika kila mahali , huu ndio ukubwa ninaouzungumzia ,,,,
Timu inaspend hela nyingi na mishahara mikubwa na still ipo stable financially,,,, !!!
Uwanjani, ? ETH anaisuka timu, tusubiri walau misimu miwili !
Trust the process


