Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Usimfananishe Jesus na Huyo lukaku mweupe

They were comparing him haland but he lost that debate in first 5 matches so they are comparing him to Jesus just wait few more days he will compared with Sancho .
IMG_20221015_205820.jpg
 
Mkishaona hadi united wanafikia hatua hii ya kulinganisha Nunez na Martial...basi LiVER mjue hamna washambuliaji bali mnaungaunga tu.
#UkweliMchunguHuu 😂😂😂😂😂

20221015_224234.jpg
 
Screenshot_20221016_080139_com.android.chrome_edit_74298295045433.jpg

Kazi ipo. Japo hii ina ukweli fulani lakini mambo mengine tunajiangusha wenyewe kwani wapo wachezaji wa bei chee ambao naamini wangetuweka pazuri ki ushindani lakini unavyokua na matajiri wa kukomaa na capping ya mishahara na sell to buy policy ndio tumejikuta hapa.
Timu imejaa wagonjwa aafu ma pundits wanaonaga mapesa ya Mansour tu kama inawapa nafuu Citizens sisikiagi wakisema idara ya scouting pale Manchester City ipo vzuri sana ukitazama wanavyonunua utaona they rarely make mistakes kwenye usajili wao...Pep ni combination ya finance na proper scouting imemfanya kung'aa.

Sasa unajiuliza Ox, Keita, Milner, Matip walimshikia bastola Klopp wasiuzwe... Kua na squad depth ambao wengi wanakua wodini haisaidii kamwe kama leo haijulikani nani patna wa VVD.

Lady luck kindly shine on us.

YNWA
 
Milner vvd Gomez Robo

Vs

Foden halland benardo
Yupo Phillips hatuhitaji Milner babu atulie huko huko.

Mara pap Klopp aje 3 4 2 1
3 Gomez VVD Tsimikas
4 Henderson Fabinho Jota Fabio
2 Firmino Salah
1 Nunez
mambo yanakua mambo.

Kazi ipo.

Its scary facing Manchester City when we are this deep shit man.

YNWA
 
Oil Money noma sana. Hivi si waje wainunue na Liverpool tule ma good tymz

Net spend ya Manchester City £ni 481m tangu 2016. Awesome. Ela tamu sana.

Screenshot_20221016_150701_com.android.chrome_edit_81222659054793.jpg



Net spend = manunuzi ya wachezaji - mauzo ya wachezaji.


Net spend ya Liverpool ni £170.3m from 2016 mpaka sasa.

Screenshot_20221016_151710.jpg



YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom