OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Matakataka mumewaotea viwete wenzenu hamuna timu nyie munaruka ruka tu🤣🤣🤣🤣
Overrated.Sema linapokuja suala la champions league liverpool wanajua namna ya kucheza michuano ile
51.4% of Liverpool’s goals this season against Rangers and Bournemouth.Mancity anaenda kupigwa kama ngoma.
hv Viktoria plzen wangemtoa kwenye hilo kundi wakatuweka sisi wana Liverpool tungekuwa na hali gani?View attachment 2386177
Wewe na hizo fainali zako 3 umepata makombe mangapiMkuu hao wote ukizungumzia uefa kwa Liverpool hawana cha kumzidi hao.
Baada ya makundi wanaishiaga wapi?
Ndani ya miaka saba tumecheza fainali za uefa mara 3 wao wamecheza mara ngapi? Hao kelele kwenye makundi tu kwenye mtoano wepesi tu hao.
Hahahaha jamani hizi takwimu zingine ebu mchune aisee tupo HDU lini tutatoka salama hatujui ndugu..51.4% of Liverpool’s goals this season against Rangers and Bournemouth.
51.4% of Liverpool’s goals this season against Rangers and Bournemouth.
Tafuta hiyo appNaomba app/link ya kuangalia EPL Tottenham Hotspur VS Everton
Wewe jamaa ,haya ,ila shughul ya Jesus unaijua Lkn?