Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ladder49..png
 
hv Viktoria plzen wangemtoa kwenye hilo kundi wakatuweka sisi wana Liverpool tungekuwa na hali gani?View attachment 2386177

Mkuu hao wote ukizungumzia uefa kwa Liverpool hawana cha kumzidi hao.

Baada ya makundi wanaishiaga wapi?

Ndani ya miaka saba tumecheza fainali za uefa mara 3 wao wamecheza mara ngapi? Hao kelele kwenye makundi tu kwenye mtoano wepesi tu hao.
 
Mkuu hao wote ukizungumzia uefa kwa Liverpool hawana cha kumzidi hao.

Baada ya makundi wanaishiaga wapi?

Ndani ya miaka saba tumecheza fainali za uefa mara 3 wao wamecheza mara ngapi? Hao kelele kwenye makundi tu kwenye mtoano wepesi tu hao.
Wewe na hizo fainali zako 3 umepata makombe mangapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom