Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,567
Hanaziada namuangalia sasaivi anajituma tu ila ziada hana anapambwa tu na magazetianakipaji kikubwa sana Jude, ukiona mpaka Pep amemsifia ujue ana kitu
Hanaziada namuangalia sasaivi anajituma tu ila ziada hana anapambwa tu na magazetianakipaji kikubwa sana Jude, ukiona mpaka Pep amemsifia ujue ana kitu
Mkuu hivi umeuona mkataba mpya wa Milner 🤓🤓ni kama vile lazima acheze kila gemu hata kama dakika 3...Niliwahi kusema hapa kuwa tunajificha kwenye kichaka cha JM na JH, kumbe kuna kina TAA, VVD na kina fabinho tunawaonea aibu + mbinu za klop zimeshaisha
Wanaongoza Ligi roho safi kabisa na kwa soka murwa sana.Hahahaa Wazee wa unbeaten isingekua Man u wamengukawa na point 24 mpaka sasa.
Ile omission ya timu ya Taifa na tetesi kwamba hayupo kwenye nafasi kwenda kombe la Dunia inazidi kumchanganya na pia ukizingatia kaanza msimu vimbaya ndio kabisa...Huyo anorld Sasa apelekwe Mido tu aisee. Huku nyuma ameshaamua kupauzA
Babu Milner natamani sana kujua vipengele vya mkataba wake mpya maana sio mahaba haya ya Klopp....Nunes bench halafu milner ndani dah
Ni Kijiwe cha wazee wa over 31 wenye uhakika wa namba...mna uhakika hii ni timu ya mpira
bonge la goli hili,Chombo ya pili hii
View attachment 2373930
Mkuu hivi umeuona mkataba mpya wa Milnerni kama vile lazima acheze kila gemu hata kama dakika 3...
Imagine being Nunez kwa benchi ukisubiri kuingia aafu unaona gaffer anasema call Millie this is Millie time yaaani...
Ukweli ni kwamba hii timu zaidi ya Allison wengine bado wapo pre season hatuna mwenye afadhali...
Nwa Klopp anajua mwenyewe wapi anatupeleka sie yetu kununua bado na kulipia vifurushi maana tumeipenda wenyewe....
YNWA

ila leo tusijesema chachote kuhusu Milner maana tumekandwa mbili akiwa hayupoHuyu Kocha ana roho ngumu sana ukitazama selection ya kikosi na anavyofanya sub ndio utaelewa hiki kinachoedelea Liverpool hata yeye kimemvuruga hana plan B wala plan C....Kuna watu bado wana imani na Klopp
Huyo Nunez ni famba mkuu...A one touch striker can not play in Klopp's Liverpool 433 system...Ingawa timu yote imepoteana but hata ningekuwa mimi siwezi kumpiga bench Firmino kwa ajili ya huyo NunezNunes bench halafu milner ndani dah