Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tayari..... tushapigwa.
Trassordddd. Liverpool 0-1 Brighton
Ifike muda Klopp avae miwani labda ataona wengine wanachokiona kuhusu Arnold dogo hawezi ku defend kabisa tazama goli la pili anatembea kama yupo mazoezini aisee.

Ndugu zangu tutulie hivyo hivyo na maji ya baridi sana kupoza joto huu mchezo hautaki hasira...

YNWA
 
End of an ERA

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Why on the world Brighton hawana goli nne yaaani...

Respect kwa timu pinzani imewachukua almost miaka 5 timu nyingi kumjulia Klopp regardless ya msimu huu tutaishia nafasi ya ngapi lakini we are caught pant down... Hatuna njaa hatuna mipango yaaani tumo tumo na tukumbushane ni Anfield hapa.

Klopp ameyataka mwenyewe kila akiambiwa MF ni dead n buried yeye anaona wamo kina Xavi na Inesta Hahaha.

YNWA
 
Why on the world Brighton hawana goli nne yaaani...

Respect kwa timu pinzani imewachukua almost miaka 5 timu nyingi kumjulia Klopp regardless ya msimu huu tutaishia nafasi ya ngapi lakini we are caught pant down... Hatuna njaa hatuna mipango yaaani tumo tumo na tukumbushane ni Anfield hapa.

Klopp ameyataka mwenyewe kila akiambiwa MF ni dead n buried yeye anaona wamo kina Xavi na Inesta Hahaha.

YNWA
Niliwahi kusema hapa kuwa tunajificha kwenye kichaka cha JM na JH, kumbe kuna kina TAA, VVD na kina fabinho tunawaonea aibu + mbinu za klop zimeshaisha
 
Chombo ya pili hii
1664634283025.gif
 
Maisha yanabadilika kwa kwa kasi sanaa yaaaaani Arsenal wana pointi 21 sisi Liverpool tuna pointi 9 jamani kweli never say never...

DullyJr na Aaron Arsenal hongereni sana kwa ma good times huko Emirates mpambane huyu Kipara msimu huu ubingwa aukose maana hii Ligi sasa ataifanya Farmers League...

YNWA
Hahahaa Wazee wa unbeaten isingekua Man u wamengukawa na point 24 mpaka sasa.
 
Mpira mbovu. Sijawahi kuona kwa miaka ya karibuni. Hakuna mipango, bi butuabutua tu. Brighton wangekuwa makini wangeshaimaliza hii game.

Tukiwa nyuma kwa goal 2 klopp akamwamsha mzee milner apige jaramba🤔🤔. Hii gane tukipata hata sare tushukuru mungu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom