Kaka everton wakitangulia watafanya Time Wasting ambazo nadhani huwa zinatutoa sana mchezoni bora tuanzee tuwapige goli wafunguke zaidi tuwapige la pili tumalize mechiNa Leo kama kawaida lazima tuanze kufungwa kwanza,halafu ndio turudishe
Umeona usajili tulofanya? Wewe huyiogopi Chelsea wewe? Ninyi liverkuku sioni kama unayo timu ya kutufunga msimu huu.? Huyu Diaz na Nunez watapita wapi mbele ya ukuta wa Koulibaly, Fofana na Silva? Labda watingishe wowowo akina Silva na Fofana wajisaau😂😂😂😂😂🤣🤣Muda huo mnajipanga, unadhani tutakuwa tumelala?
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Wengine atujuagi aise afu Ni ma fans wa mpira ..ongera Sana dogo😎😎😎
Utakoma mkuu ..Hawa kuku lazzima wachane mukeka😂😂😂😂🤣🤣Nyie kuku kuweni serious basi watu tume bet
Nyie nani ataenda kuwafungia mabao??Umeona usajili tulofanya? Wewe huyiogopi Chelsea wewe? Ninyi liverkuku sioni kama unayo timu ya kutufunga msimu huu.? Huyu Diaz na Nunez watapita wapi mbele ya ukuta wa Koulibaly, Fofana na Silva? Labda watingishe wowowo akina Silva na Fofana wajisaau![]()


Ndo maana sioni cheche zako humu.....umeisha huoNyie kuku kuweni serious basi watu tume bet