Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ningependa Firmino aendelee kuanzia kama mfumo utaendekea kuwa 4-3-3.Nunezi anafit zaidi kwenye mfumo wa mshambuliaji mmoja mbele hasa 4-2-3-1.Sasa kuendelea na 4-3-3 huku ukimtumia Nunez ni kuwapa Kazi zaidi hao midfielders kukimbiza kuelekea golini kwao kila muda mpira utakapopotea kwasababu Nunes does not offer much timu isipokuwa na mpira.

Firmino bado ndo mchezaji pekee anayeweza kucheza false 9 vizuri akiwasaidia wings wake kutengeneza nafasi na pia akiunganisha vizuri timu kuanzia katikati kuja kwenye final third timu inapokuwa kwenye build up.

Kwamba ameshuka kiwango kwakweli sio yeye pekee aliyedrop.Kuanzia Alison,VVD,Fabinho,Robertson nk viwango vyao vya msimu huu vipo chini ukilinganisga na misimu iliyopita.
Pia nikiwa mkweli tu Nunez sio aina ya wachezaji wananivutia kuwa kwenye timu niipendayo.Namba tisa wa kizamami ambaye hahusiki kwenye build up bali atengenezewe nafasi awe kwenye position afunge.

Najua Klopp ana lack creativity kwenye mids ndomana hachezi 4-2-3-1..Basi kana anaendekea na 4-3-3 acheze Firmino mbele sio Nunez.....
 
Hata Babu Ferguson hakuweza hilo ndani ya misimu 7

Ukitaka kufeli kwenye kila jambo basi jipime kwa aliyefeli.

Ukitaka kufanikiwa basi jipime kwa aliyefanikiwa.

Mfano:
Tumepoteza mechi ya UCL fainali dhidi ya Real Madrid mara mbili mfululizo, sasa dalili ya kufeli ni kusema mbona Arsenal hana UCL hata moja? Hatutakiwi kujipima kwa aliyefeli bali tunachopaswa kujipima naye ni kusema kwanini na sisi tunashindwa kufikia mafanikio ya Real Madrid ya kubeba UCL 14?

So, si busara kujipima kwa Ferguson kuchukua EPL 1 kwa miaka 7 bali ni busara kujipima kwa Pep kubeba EPL 4 ndani ya Miaka 5.

Nawasilisha.
 
Ukitaka kufeli kwenye kila jambo basi jipime kwa aliyefeli.

Ukitaka kufanikiwa basi jipime kwa aliyefanikiwa.

Mfano:
Tumepoteza mechi ya UCL fainali dhidi ya Real Madrid mara mbili mfululizo, sasa dalili ya kufeli ni kusema mbona Arsenal hana UCL hata moja? Hatutakiwi kujipima kwa aliyefeli bali tunachopaswa kujipima naye ni kusema kwanini na sisi tunashindwa kufikia mafanikio ya Real Madrid ya kubeba UCL 14?

So, si busara kujipima kwa Ferguson kuchukua EPL 1 kwa miaka 7 bali ni busara kujipima kwa Pep kubeba EPL 4 ndani ya Miaka 5.

Nawasilisha.
Naunga mkono hoja. Ukitaka kufanikiwa tembea na aliefanikiwa.
Ingekua amri yangu ingekua tunakwenda jino kwa jino kwa Pep kwenye upana na uimara wa kikosi ili kuleta matokeo tunayohitaji lakini kila nikiwaza ni kama vile ma bosi wetu wana ridhika na ushiriki wa UCL kwa sababu hata kufika fainali mpunga wa maana upo...

Inakua hivi Liverpool kimahesabu pesa za TV msimu uliopita watakaua wamepata mapesa ya kutosha tena wakiwazidi hata Pep kwa kuweza kufika fainali UCL... Mapato haya naona kwa FSG wanaona sawa kwa kusajili kiduchu na kuingiza ela kama hizi inakua ahueni kwao sababu hata mishahara wanalipa kiasi...

Kimsingi FSG wananufaika zaidi na Liverpool kuliko Liverpool anavyonufaika na FSG... Pep aliwai kusema kama ela ipo Manchester City kwa nini asinunue wachezaji anaowataka? Kwa hio Pep kua na kikosi kipana na kushinda EPL zote hizi ni sababu sapoti anapewa...

Klopp kwa mara ya kwanza hili swali la usajili wa Midfielder lilimtoa kwenye comfort zone yake akapaniki balaa na kusema yeye sio mtu sahihi kuulizwa mambo ya usajili...

Mpira sasa umekua ni ishu ya pesa hakuna kingine zaidi ya smart buying, zile zama za kutengeza wachezaji kupitia academy zimeisha hivyo ni kununua kununua kununua,.. Kuna maswali mengi hua hayana majibu tazama ishu kama ya Ox huyu alitakiwa dirisha linafunguliwa awe wa kwanza kuondoka...

Pep alimwachia David Silva akiwa kwenye peak kwa kuona Foden anaweza kucheza vyema nafasi yake. Ingekua Liverpool naamini mpaka sasa Silva angekua Liverpool tungekua nae bado... Kazi ipo.

Kama ni ku aim lets topple Pep kwanza kwenye EPL aafu tujitzamaze kwenye UCL kukomaa na Real Madrid.

YNWA
 

Huyu dogo anatakiwa apewe namba 10 haraka sana na sio namba hiyo 28.

Huyo me namfananisha na coutinho .

Mkuu vipi kocha wako Steve naona hali mbaya aisee na mechi ijayo yupo na man city anaweza kufukuzwa aisee.

Kama ukipewa matokeo za mechi unaweza kudharau ila timu inacheza vizuri sana ila sasa matokeo ndio kitu cha muhimu kwanza.

Coutihno aisee tumesahau kama alikuwa Mchezaji ghali duniani.
 
Ladder49..png
 
Huyu dogo anatakiwa apewe namba 10 haraka sana na sio namba hiyo 28.

Huyo me namfananisha na coutinho .

Mkuu vipi kocha wako Steve naona hali mbaya aisee na mechi ijayo yupo na man city anaweza kufukuzwa aisee.

Kama ukipewa matokeo za mechi unaweza kudharau ila timu inacheza vizuri sana ila sasa matokeo ndio kitu cha muhimu kwanza.

Coutihno aisee tumesahau kama alikuwa Mchezaji ghali duniani.
Duuh Steve alikuta kikosi powa sana especially mabeki ajabu yeye kufika akaanza uza nunua akina Chambers nk ambae hata Arsenal hajawai kua chaguo la tatu matokeo yake kila kukicha kuanzia January wanashinda kwa kubahatisha... Tazama Mings hata kumpokonya Ucaptain... Sasa morali ya timu imekufa wapo wapo tu. Angebakisha akina Target nk mbona mambo yalikua mazuri sana.

Coutinho is just Coutinho haja recover mpaka leo yupo yupo.

Fabio sasa ni kuanzishwa lakini utamshangaa Klopp kukomaa nae benchi... Unleash the boy aone mambo yake.

YNWA
 
Wolves will offer Ruben Neves a new contract, Bruno Lage confirms: "We need time to sort Ruben a new contract". 🟠 #WWFC

Liverpool have never approached Wolves for Neves on Deadline Day as they only wanted a loan deal.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom