Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mtulie jamaa yangu tunakwenda na Melo sasa...

Huyu hapa kafika ana jambo lake baada ya kua flop Barcelona na Juventus anapata tena bahati adimu sana kutua Anfield wakati sahihi tukiwa tumeelemewa na majeruhi pale kati..

Huu usajili kwangu naona ni safii kabisa kwa wakati huu na pia ukizingatia ni mkopo bila ulazima wa kumnunua....

Anacheza box to box na holding midfielder hivyo ni 2 in 1 mzee baba.

YNWA

Henderson jana itakuwa aliumia na yeye ndio maana klopp kaamua kusajiri bila kuumia asingesajiri.

Wameongezewa mtu hapo wenyeji wataanza kujituma hapo.

Atatusaidi huyo maana klopp anajua kufundisha mpira
 
Ladder49 01.png
 
Henderson jana itakuwa aliumia na yeye ndio maana klopp kaamua kusajiri bila kuumia asingesajiri.

Wameongezewa mtu hapo wenyeji wataanza kujituma hapo.

Atatusaidi huyo maana klopp anajua kufundisha mpira
Klopp hua mbishi sana. Kwanza EPL, UCL, Carabao zinakwenda marathon sababu ya Kombe la Dunia aafu anakomaa na hawa wagonjwa wake yaaani mbona lipo wazi msimu huu majeruhi yatakua mengi sanaaa.

Henderson hamstring kaumia hapo hesabu wiki 2 au 3.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom