Herzog
JF-Expert Member
- Jul 26, 2022
- 4,129
- 4,859
Alisikika mlevi mmojaHata kama ameondoka ,mpira lazima uendelee..kwani hakuwa akicheza pekeyake.
Juhudi za wote kwa pamoja ndizo zilizoisukuma timu kufika ilipo.
Tunaye Diaz... Salah bila Mane anahangaika,ila pia Mane bila Salah naye atammiss tu.
YNWA



