But pep ameweza kwenye makombe ya ndani.Hata Babu Ferguson hakuweza hilo ndani ya misimu 7
Next match mid itakua Milner, Faby na ElliotMchezaji bora championship huyo ana balaa ila ndio hivyo klopp lazima amuanzishie bench
It's easy to play with us nowadays zuia TAA & ROBBO , Salah & Diaz. Its over.Msaidizi wa Klopp bwana Pep Lijnders alisema usajili wa dirisha hili ulikua muhimu pia sababu wanahitaji kuhama 4 3 3 na kwenda na mifumo mengine sababu ni dhahiri kabisa 4 3 3 tumeshajuliwa na timu wameshajipanga vyema sana namna ya kuzima hatari ambapo ni Robbo, Trent, Salah, Diaz hao wakidhibitiwa hua tunakua toothless kabisa hivyo kukosa wabunifu kati ama kuumia kwa Thiago ambae ni kazi yake kucheza pasi za kuwachana wapinzani ni pigo kwa Klopp....
Nwa ngoja tuone ndio kwanza mechi ya 5....wasiwasi wangu ni Salah kuwaza kiatu cha ufungaji bora kwa kutazama magoli ya Haaland hii kwa kweli asidhutu kabisa...
YNWA
Sasa hivi hawana pa kujifichia. Jamaa anawaumbua sana na mablanda yake, kukabia kwa macho na vidole.Mtu ana assist 2 Leo huko middle za kingereza hazina assist kabisa lakini lawama anapewa yeye..dah
Ushindi wa muchongo tuuuuu bebwa bebwa fc😂😂😂😂Haya OllaChuga Oc uko wapi?
Nilikwambia mapema sana,hao nyumbucasto watakuliza.
Umeona sasa!?
YNWA.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Timu nilianza kuliona la mchongo baada ya kuuza Mane na kwenda kununua magazeti..tumeliweka benchi gazeti tunalisoma.
Likawa la mchongo zaidi kwa kuanzisha mibabu iliyogandia timu miaka nenda miaka rudi.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app



Unamtoa captain Henderson unamuingiza super sub captain Milner. Et Fabio unamuingiza sub et milner anakuwa first eleven kweli?Timu nilianza kuliona la mchongo baada ya kuuza Mane na kwenda kununua magazeti..tumeliweka benchi gazeti tunalisoma.
Likawa la mchongo zaidi kwa kuanzisha mibabu iliyogandia timu miaka nenda miaka rudi.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ndio utaahira wenyewe huu wa hili timu.Et Fabio unamuingiza sub et milner anakuwa first eleven kweli?
Kwahiyo litimu lako umelikatia tamaa kabisa,unawategemea arse8😂Hii trend yenu liverkuku ..mukikutana na timu ndogo Kama arse8 aise ..mutakalishwa tu..
Mechi tuliyocheza na nyie nyumbu,,nlituambukiza unyumbu tukapanga mibabu yote..Unamtoa captain Henderson unamuingiza super sub captain Milner.
Kwa mpira mnaocheza sasa hivi nyie kuku mna hali mbaya, labda kila mechi muwe mnapangwa na Bournemouth.
Wewe wa kwako wa mchongo uko wapi?Ushindi wa muchongo tuuuuu bebwa bebwa fc😂😂😂😂
Nyumbucasto wako kiko wapi sasa?Hamna timu humu ..Bora Chelsea yetu ..tukitulia mutajuata kutufahamu...
Mbuzi nyieeeeee
Hayo manyucasto yamebebwa hadi mechi unaenda dakika 101Ushindi wa mchongo huu bebwa bebwa fc..