Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kosa Kubwa tulilofanya ni kumuongezea mkataba mnono salah na wakati tuliona dalili mbaya Feb to May last season. Na Leo anatembea tu uwanjani.
Muache Mwarabu ale good time... Tuna MF dhaifu sana kua na consistency ya mashambulizi na pia kupoza mashambulizi kwetu mpaka pale Klopp ataacha kusaka sifa na pride tutakua salama.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom