Muache Mwarabu ale good time... Tuna MF dhaifu sana kua na consistency ya mashambulizi na pia kupoza mashambulizi kwetu mpaka pale Klopp ataacha kusaka sifa na pride tutakua salama.Kosa Kubwa tulilofanya ni kumuongezea mkataba mnono salah na wakati tuliona dalili mbaya Feb to May last season. Na Leo anatembea tu uwanjani.
Siku nakushika!!!
Anatafuta sympathy. Yupo confused na magoli ya Haaland ujue😂😂😂😂😂 boss wenu anafoka nini eti
Mkuu hata top 6 tusahau kabisaSeason hii tuna tafuta nafasi ya pili na tukiipata tujione tumefanikiwa
Arsenal mnaubavu wa kuwaweka kando nyie acheni basi kutudanganya mkifikiri tumesinzia, pambaneni msishuke darajaSeason hii tuna tafuta nafasi ya pili na tukiipata tujione tumefanikiwa
Nafasi ya pili ama nafasi ya kucheza UCL msimu ujao.....Season hii tuna tafuta nafasi ya pili na tukiipata tujione tumefanikiwa
Tunaruhusu sana magoli hii sio ishara powaa kabisa.Daaa. Miaka ya shida Imerudi na kloop hajui afannye nn
Klopp hapangiwi kununua na pia hapangiwi kikosi...Fabio carvalo anatakiwa Ku start mechi zote