King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Nilimpenda sana TAA lakini msimu huu sijui kasibiwa na nini? Yani ni sawa na Kibwana Shomari tu.
Atafutwe mbadala wake haraka sana.
Atafutwe mbadala wake haraka sana.
Tunaruhusu sana magoli hii sio ishara powaa kabisa.
YNWA
Muache Mwarabu ale good time... Tuna MF dhaifu sana kua na consistency ya mashambulizi na pia kupoza mashambulizi kwetu mpaka pale Klopp ataacha kusaka sifa na pride tutakua salama.
YNWA
Muache Mwarabu ale good time... Tuna MF dhaifu sana kua na consistency ya mashambulizi na pia kupoza mashambulizi kwetu mpaka pale Klopp ataacha kusaka sifa na pride tutakua salama.
YNWA
50 minutes shots on target ni 0, hapa hamna timu. Msimu huu mtawafunga wagonjwa
Peleka uchawi wako hukoGoal la kimasihara 🤣
Nilimpenda sana TAA lakini msimu huu sijui kasibiwa na nini? Yani ni sawa na Kibwana Shomari tu.
Atafutwe mbadala wake haraka sana.
Kumbe Leo Fabio carvalo ndo anafikisha miaka 20...dah. happy birthday Fabio carvalo
Timu nilianza kuliona la mchongo baada ya kuuza Mane na kwenda kununua magazeti..tumeliweka benchi gazeti tunalisoma.Hili li tim limeanza kua lamchongo sasa, japo tumelichagua wenyewe hamna namna.
Dogo mpaka sasa ni contender wa 1st 11 lakini Klopp alivyo mbishi utaona hata mechi ijayo hataanza.Mchezaji bora championship huyo ana balaa ila ndio hivyo klopp lazima amuanzishie bench
Mtihani sana ndugu...Tunaanza kuwa Mashabiki wa hovyo na wakati matatizo yetu mkuu yanajulikana.
Pale kati wao kila wakati wao ndio wanaongoza kukaa nje.
Msaidizi wa Klopp bwana Pep Lijnders alisema usajili wa dirisha hili ulikua muhimu pia sababu wanahitaji kuhama 4 3 3 na kwenda na mifumo mengine sababu ni dhahiri kabisa 4 3 3 tumeshajuliwa na timu wameshajipanga vyema sana namna ya kuzima hatari ambapo ni Robbo, Trent, Salah, Diaz hao wakidhibitiwa hua tunakua toothless kabisa hivyo kukosa wabunifu kati ama kuumia kwa Thiago ambae ni kazi yake kucheza pasi za kuwachana wapinzani ni pigo kwa Klopp....Mtu ana assist 2 Leo huko middle za kingereza hazina assist kabisa lakini lawama anapewa yeye..dah
Bwana hili jambo hapana na almost magoli yote yanatokana na wachezaji kuto react kwa wakati sahihi kwa kuangalia movement ya timu pinzani ndani ya 18 yetu...Lazima tuanze kwanza kufungwa ndio tufunge,kama tulivyomaliza msimu
Mabango yausike sasa naona akili itamkaa sawa huyu kochaHili li tim limeanza kua lamchongo sasa, japo tumelichagua wenyewe hamna namna.