Ngapi ukoTutajipigia bao za kutosha
Na bdo game inaendelea9 na hatrick 2...

Wamechoka wanatumika mnokuna majeruhi sawa ila hata waliopo uwanjani wameflop



Utitiri ushawaingia tayari hawa kuku
Ndo zake we ngoja akokwe la pili huwa anatamani hata kurusha ngumi![]()
![]()
Klopp mbona kama ana paniki sana.
YNWA



Sidhani kama ana on target hata moja mpaka dakika hii ya 58.Ndo zake we ngoja akokwe la pili huwa anatamani hata kurusha ngumi![]()
Kosa Kubwa tulilofanya ni kumuongezea mkataba mnono salah na wakati tuliona dalili mbaya Feb to May last season. Na Leo anatembea tu uwanjani.