Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Class act
Alstadhi katulia tuliiiii
YNWA
Alstadhi katulia tuliiiii
YNWA
Na kuna dogo mwingine wa moroco upande wa pili na yeye kakaza hivyo hivyo
😂 😂 😂 😂 Yupo kama ndio katoka Bambali leo yaaani hana makuu wala nini.
Hivi hapa nipo napita uzi wa ChelseaOllaChuga Oc pole sana naona msimu huu ndio mambo kwako yanazidi kua sio kabisaa maana ulijitapa kuleta ushindani mkali sana EPL lakini dalili sio powa kabisa kwako.
Saint Anne mpe pole Chugga man ana hali mbaya.
YNWA












![]()
![]()
![]()
Yupo kama ndio katoka Bambali leo yaaani hana makuu wala nini.
YNWA










😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Mviziaji 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓Jamani si walisema walikua hawashindi sababu ya Lukaku na Werner sasa mbona wanaanza kumsema Tuchel wakati yeye hachezi....Hivi hapa nipo napita uzi wa Chelsea
Wanamwita Tuchel mviziaji
Nipo nacheka kwa raha zangu
Akina OllaChuga Oc na 42774277
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hard work
Jamaa hahangaishwi kabisa na dunia
Ila mimi nampendaga sana kwa misimamo yake.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hard work
Down to earth
Firm solid staunch Muslim
Humble
Endurance
Perseverance
Whats a guy.
YNWA
Hawa ni wale waislam wa kweli wanaomjua Mungu.Hard work
Down to earth
Firm solid staunch Muslim
Humble
Endurance
Perseverance
Whats a guy.
YNWA
Ati wanasema Tuchel ni "kubwa jinger"😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Mviziaji 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓Jamani si walisema walikua hawashindi sababu ya Lukaku na Werner sasa mbona wanaanza kumsema Tuchel wakati yeye hachezi....
Wanipe Mount na Gallagher waone kama March hatujatangaza ubingwa..
YNWA
Mane MkuuHuyu Tuchel?
😂 😂 😂 😂 Naonq nilichanganya madawa... I meant Mane.Huyu Tuchel?
Kwani huyu ameshawapa UCL, CWC, Super Cup mbona wanaleta dharau sasa.... Ile fukuza fukuza ya RA haipo tena watulie tuliiii.Ati wanasema Tuchel ni "kubwa jinger"