Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Champion league.png
 
😂😂😂
Kama nimeshindwa kuhama na Mane sidhani kama naweza kuhama na mtu mwingine😂😂😂😂😂

Ila Joel anapelekaga sana Mpira mbele,na ile body yake ilivyojengeka hadi sasa sipati majibu kwanini anaumia.
Inabidi lipite fagio pale Liverpool wachezaji wote wasiocheza gemu 25 kwa msimu wauzwe tu kwani wanaturudisha nyuma 😂😂😂na Matip yumo humo.

YNWA
 
😂😂😂😂😂😂😂Ukiwaza haya mambo hii timu inaweza kukutoa jasho ujue yaaani...

Keita, Ox, Henderson, Milner walikua wanakula mshahara mkubwa kuliko Gini na Mane aafu ndio wa kwanza kuumwo na ku out form Liverpool yaaani hua nasema duniani bahati zipo.

YNWA
Uchawi upo akiyanani 🤣🤣🤣
 
Bora ya matip hata umesema msimu ulipita alikuwa fit muda mrefu lakini hao wengine keita na Ox yaani hapo hakuna msimu wamecheza hata mechi 25.wanakula mishaara ya bure kabisa.

Muda mwingi wako nje,halafu wanaumia kwenye mazoezi tu sio uwanjani ,

Ni failed project hizo wanatakiwa waondoke haraka sana ndio maana kila timu haziwataki yaani kuumia kila siku.
😂 😂 😂 Sijui huko mazoezi gani jamaa wanafanya mpaka kuumia vile yaaani haya mambo yakutegemea lady luck atupe ushindi tuseme hapana maana msimu huu tuna hali ngumu sana imagine tumetanguliwa kupigwa goli kila mechi yaaani mabeki hawana ushirikiano lini acheze offside trick yaaani tumo pambaya sana.

Kuhusu hawa wagonjwa kuuzwa naona mpaka sasa dirisha linakaribia kuishia na hakuna biashara japo Kieta anasemwa semwa kutaka kusepa RB Leipzig na Klopp anakomaa dogo abaki yaaani ndio ujiulize anamtaka wa nini.

YNWA
 
Sijui huko mazoezi gani jamaa wanafanya mpaka kuumia vile yaaani haya mambo yakutegemea lady luck atupe ushindi tuseme hapana maana msimu huu tuna hali ngumu sana imagine tumetanguliwa kupigwa goli kila mechi yaaani mabeki hawana ushirikiano lini acheze offside trick yaaani tumo pambaya sana.

Kuhusu hawa wagonjwa kuuzwa naona mpaka sasa dirisha linakaribia kuishia na hakuna biashara japo Kieta anasemwa semwa kutaka kusepa RB Leipzig na Klopp anakomaa dogo abaki yaaani ndio ujiulize anamtaka wa nini.

YNWA
Inasikitisha sana mkuu
 
😂😂😂😂😂Wakati Manchester City wanaachia wazee akina Kompany, Fernandidho, David Silva nk ambao ni kiwango kuliko Milner na Henderson huku Liverpool tunasema uzee mali

Liverpool ni kichaka cha wazee kupiga ela 🤓🤓🤓

YNWA
Huku tunamuongezea Milner mkataba huku tukimpa Le Captain Hendo mkataba wa maisha na kumuanzisha kila mechi.
 
Halafu kizazi kijacho tumekisahau kabisa yani cheki city anavyoandaa missiles
Klopp ni muumini wa kutumia wachezaji wale wale mpaka itokee majeruhi ndio utaona heee kumbe Phillips bado yupo Liverpool au Gomez nk...

Kizazi kijacho pale tuna Stefan Bajectic anacheza DM, beki na AM, pia tuna Gordon na kuna dogo anaitwa Musiolowsk ana balaa na mguu wa kushoto mkali sana.. Hawa mpaka sasa walitakiwa wasiwe mbali na kikosi cha kwanza...

Nwa ngoja tuone namna hali inavyosonga.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom