Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
Ama kweli wewe ni mbuzi unasema ratiba kupendelea timu,Palace kapigwa na Arsenal akaja kudraw na Liverpool,Fulham kadraw na Liver anaenda kukutana na arsenal...acheni kukariri nyie
Mkuu tusubirie baada ya mechi 19 kama arsenal atakuwa juu pale kama sasa hivi?
Umeanza kuangalia mpira lini wewe? Miaka yote tu hamjifunzi?
Hata mwaka jana arsenal baada ya mechi 3 mlikuwa na points ngapi kama sio zero kwa nini? Kwasababu mlipewa ratiba ngumu lakini mwisho wa msimu mmemaliza nafasi ya 5, kitu ambacho watu hata kwenye hiyo nafasi ya 5 watu waliwatoa.
sina wasiwasi na Liverpool kabisa ila arsenal kuchukua ubingwa hapana eti kisa mechi tatu hizo kuongoza ligi yaani ataongoza ligi kuanzia sasa hivi mpaka mwisho wa ligi yaani hata hamuwazi vitu kama hivyo.
Jesus akiumia tu hapo mtaanza kuwa wapole hizo ni mbio ndefu

,
Heavy wind