AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,319
- 4,146
Umeona eeeh ubora WA mane ndo ulimfanya salah awe bora.... Mane was about the team not selfish..... Anateseka wengine wasaidie team ishinde and now Hakuna kitu hiko. Firminho tayari mda WA kurudi Brazil umefika.Salah bila Mane hana nguvu yoyote.
Timu imegeuka ya kishenzi sana.
Yale mababu ameywng'ang'ania Klopp
Yaani ilibidi watupige hata matano ..ni uzembe wao tu.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
CL pekee????Wachezaji waliopo hawana fighting spirit Tena. Na mane aliliona hilo na ndio maana kakimbia. Kama ulimsikiliza interview ya salah juzi ni kuwa anachowaza now ni kuwa mfungaji bora WA muda wote WA Liverpool..... It's not about the team winning anymore.... Na ndio sababu ya kutaka kuongeza mkataba..... It's about him and not the club..... Chambo Milner should not be there msimu huu even keita.. Watu majeruhi kila sekunde but unawabeba WA nini Sasa.
Firminho should have gone and find another striker..... Tutafute watu wapya wenye njaa. Hawa waliopo wameshinda kila kitu wameshiba ndo maana wamebaki kutafuta individuals prize zaidi.
Labda wanachosema ni kweli "Klopp ni bora kwa kutengeneza Timu but RE-BUILD the Team ndio kitu kinamshindaga everytme. Kwa jinsi ligi ya epl ilivyo Sasa kushinda LIGI ni ndoto Sasa hivi. Tutabaki na CL pekee.
Mkuu wanazidiwa wewe mwenyewe unajua fika middle zikipwaya lazima nyuma pataelemewa,hii ni simple logic kabisa.kila dakika timu pinzani wanafika kwenu-lazima wachoke.Watu wanalaumu viungo tu lakini mlna hii mibeki siku hizi yamekuwa Nyavu kwelikweli
Klopp kiburi hata uboronge kila game hawezi kukuwek pembeni.Numbisa hongera sana kwa ushindi wa jana. Hakika mlistahili tena magoli zaidi ya hayo ya jana.
Jana kocha wenu kaweka mizgo pembeni Maguire na Ronaldo na reaction mmeiona vyema sana.
YNWA
Paundi 70m ya Chelsea wameikataa wanataka paund 85mRonaldo akiwa na 33 aliuzwa 100m! Plus mkataba mnono,,,, football imebadilika Sana ,,,,,
Fofana kwa kumuangalia ana 70m? Chelsea wanataka kupigwa hapo,,,, !!
Football means business,,,,,
Numbisa hongera sana kwa ushindi wa jana. Hakika mlistahili tena magoli zaidi ya hayo ya jana.
Jana kocha wenu kaweka mizgo pembeni Maguire na Ronaldo na reaction mmeiona vyema sana.
YNWA
Avery single game Trent made error leading to goal.
He's a serious threat now kwenye lango letu.
Becker must've more hofu against his own Trent kuliko opponents/attackers.
Tena wakae kwa kutulia mbuzi hawa.Kweli malipo huwa ni hapa hapa dunian aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2331993
Numbisa hongera sana kwa ushindi wa jana. Hakika mlistahili tena magoli zaidi ya hayo ya jana.
Jana kocha wenu kaweka mizgo pembeni Maguire na Ronaldo na reaction mmeiona vyema sana.
YNWA
Kenge hizo hazisikii mpaka damu imtoke.
Arsenal kigenge cha wahuni hicho...Acha kukariri eti Manchester City wewe unajitambua kweli?Arsenal itafanya kama Leicester City 2016 utabaki unashangaa na kutoa mimacho yako Ligi bado mbichi na Arsenal pekee ndiye mwenye 9 points kwa kuwin games zote up to now
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Basi buana tusamehe bure. Tumejua na wewe ni shabiki wa haya majogoo yenye utitiri.ndio maana.tumekushukia vikali.Mimi nimehoji kama free person maana timu yangu ni arsenal.
Team lako la ovyo Sana umekuwa mpole gaflaWatu wanalaumu viungo tu lakini mlna hii mibeki siku hizi yamekuwa Nyavu kwelikweli
Nyingi bado Sana ubingwa nafasi yenu ni kugombea big 4 nyingi mpo kama umeme wa TanescoAcha kukariri eti Manchester City wewe unajitambua kweli?Arsenal itafanya kama Leicester City 2016 utabaki unashangaa na kutoa mimacho yako Ligi bado mbichi na Arsenal pekee ndiye mwenye 9 points kwa kuwin games zote up to now
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
He wasn’t here when we won the premier league ,and he wasn’t with this group when we beat Barcelona remember...we have to play those that help us achieve all this ,sometimes you have to forget footballing reasons and human with sentiment mindset of an elite manager [emoji1] crazy. Klopp will say this if cant this kid against Bournemoth
Sasa si upumbavu Kwa Klopp umetucost[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na laana ya Mane ipo kututafuna..angekuwepo angefunga Kwa gharama yoyote.
Tunauza Mane tunaweka Milner acheze Pumbavu sana.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app