Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Aisee kweli wachezaji wamekua adimu sokoni yaaani Casmiro miaka 30 anauzwa Euro 70m duuh... Ina maana Klopp yupo sahihi kusema hajaona mchezaji exceptional wa kununua ama namna gani.
YNWA
YNWA
