Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jamani mwenzenu mshabiki wa chelsea, kama kuna mtu anaona huruma aje anipe kampani maana moyo unauma mno
Tuliwaambia wachaneni na hilo shit njooni chama kubwa LFC..
Ona sasa Tuchel anazidi kukonda tu.

Mnafungwa na timu inakuwaga ya mwisho kwenye ligi😂😂😂😂😂😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom