Anyway Klopp knows better than me when it comes on tactics. But kuna vitu hauhitaji degree kuving'amua. MF its too weak (injury prone & aging) hendo na thiago wameshapuliziwa vispray not a good sign. Atleast walipoingia damu changa Elliot,Nunez, Carvalho tukaona kampira flani. Vipo vitu ni udhaifu na kuvisolve ni kupata two quality and young MF ( DM & CM).Leo mpaka Fabinho kala sub.
Kutokua na MF za kazi kazi ni kikwazo kwa Klopp kufikia malengo yake Liverpool.
YNWA





Bhanaaa wala sio bure.Maboss zetu fsg nadhani wana undugu na wachaga sio bure.
Kuku mwenye kideri hana tofauti na teja.Piga hao![]()
64
81
108