Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Gemu ishaanza ngoja tuone namna gani tunaanza Ligi.Ngoja tuone.
Msimu huu naona kama unatuendea kushoto kushoto
YNWA
Gemu ishaanza ngoja tuone namna gani tunaanza Ligi.Ngoja tuone.
Msimu huu naona kama unatuendea kushoto kushoto
Ngoja niangalieGemu ishaanza ngoja tuone namna gani tunaanza Ligi.
YNWA
Gemu iko powa Fulham hawajaja kupaki basi EPL wanapambana kubakiq EPL msimu huu.Ngoja niangalie
Aisee leo Thiago kafichwa mpaka mida hii.Ngoja niangalie
Duu wametupia...





majangaMitrovic![]()



Huyu mtoto kukaba bado hajuiAisee walichelewa kufunga kwa namna walivyoanza hii gemu naona wamejipanga kusaka pointi za kubakia Ligi Kuu maana kule Championship hamna mzaha..
TAA kwa mara nyingine tena anakosa instinct za kujua nini afanye na kwa muda gani.
YNWA
UltushapigwaAisee leo Thiago kafichwa mpaka mida hii.
Tupo pale pale pa miaka yote kwamba hatuna MF wa kuchana ukuta kama huu wa Fulham
Haooooo wamtupiaaaa
YNWA
Ngoja inyeshe tuone panapovujaKwa hiki kikosi cha Liverpool na aina ya wachezaji ninaowaona hapo benchi hii mechi itakuwa ngumu sana kutoboa.
Hawa washajua wakipaki watapigwabl na kujiweka pambaya kushuka daraka hivyo bora kukomaa mapema wapate ushindi ama sare maana kwao kila pointi aidha ushindi ama sare inawabeba.