Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu mpira sio vita lazima ujue maadui zako wana panga nini kila uzi lazima nichungulie nijue kinaendelea nini.

Kuhusu ku like mimi kila sehemu nayo soma lazima ni like kama kuacha alama kwamba hapa nishasoma.
Ni jambo jema.
Ila season hii mtabadilika.
 
Washindi wa Ngao Ya Jamii tangu 2003 ni hawa 👇 👇
Screenshot_20220730_090622_com.huawei.intelligent_edit_316994871175587.jpg


Mshindi wa mwaka huu kujulikana leo baadae leo saa moja usiku.

Ni Liverpool vs Manchester City, mechi ni pale Kings Power Stadium.

Hili kombe Klopp hajashinda hivyo ni jambo njema akiwa mshindi wa 2022.

YNWA
 
Depth yenu ya kikos kwenye mid akiumia Thiago au fabinho kazi mnayo
Klopp hua ana makengeza akitazama pale MF naona mpaka mtoto pendwa Henderson na Milner wastaafu ndio atakaa sawa...

Tazama mbaya wetu Citeh MF ya Phillips na Rodri mbele yao yupo Debruyne noma sanaaa....

Haya ngoja tusubiri ndugu.

Thiago na Fabinho mpaka sasa kukupa gemu 36 kwa msimu itakua ishu...

Kwa Liverpool DMF labda kwa ma kinda wa academy lakini tunae mmoja tu Fabinho ambae anaejielewa.

YNWA
 
Kwangu huyu ndio mchezaji bora kabisa wa Kiingereza, kama si thierry Henry basi ningekuwa shabiki wa Liverpool kwa sababu yake.
Midfield kkishet,
Mido njaa
Mido mpambanaji
Mzee wa mawe,
Mzee wa kukichafua, kukiwasha na kukizima kwa wakati mmoja.

Juzi nilikkuwa nacheki fainali ya FA 2006 ile full time 3-3. Stevie G ni KIBOKO
 
Kwangu huyu ndio mchezaji bora kabisa wa Kiingereza, kama si thierry Henry basi ningekuwa shabiki wa Liverpool kwa sababu yake.
Midfield kkishet,
Mido njaa
Mido mpambanaji
Mzee wa mawe,
Mzee wa kukichafua, kukiwasha na kukizima kwa wakati mmoja.

Juzi nilikkuwa nacheki fainali ya FA 2006 ile full time 3-3. Stevie G ni KIBOKO
Thierry Henry aka Chogo atakua ndio usajili bora wa Mzee Wenger pale Arsenal.

Steve alikua habari nyingine kabisa pale Westham walitukamata vyema sana lakini kwa mara nyingine tena mwenye timu yake Captain wa Millennium akafanya jambo lake mpaka leo hua naona Sky Sport wanarusha ile gemu mara moja moja..

Hakua na mzaha kazini.

YNWA
 
Thierry Henry aka Chogo atakua ndio usajili bora wa Mzee Wenger pale Arsenal.

Steve alikua habari nyingine kabisa pale Westham walitukamata vyema sana lakini kwa mara nyingine tena mwenye timu yake Captain wa Millennium akafanya jambo lake mpaka leo hua naona Sky Sport wanarusha ile gemu mara moja moja..

Hakua na mzaha kazini.

YNWA
Kwanza stevie G pamoja na kuujua mpira alikuwa ana spirit ya kupambana, si mtu wa kukata tamaa, anajua kuibambania beji ya timu kama ni ya baba yake mzazi, akifungwa unaona huyu kafungwa..
Kwake machozi, jasho na damu, kuleta furaha kwa mashabiki.

Yes, Henry was the best, ila angekuwa na roho ya GERRARD angekuwa zaidi ya pale. Gerrard ni mchezaji ambae angecheza kwa kila mwalimu mzuri, si PEP si Wenger, si fergie, mourinho ndio kabisaa alishajaribu kumsaini, hata kwa EL CHOLO angepata nafasi ya kudumu, kwa KLOP ndio kabisaa.

Nikiwa na mchezaji aina ya GERRARD kwenye timu yangu naanza kumpanga yeye kabla ya golikipa
 
Kwanza stevie G pamoja na kuujua mpira alikuwa ana spirit ya kupambana, si mtu wa kukata tamaa, anajua kuibambania beji ya timu kama ni ya baba yake mzazi, akifungwa unaona huyu kafungwa..
Kwake machozi, jasho na damu, kuleta furaha kwa mashabiki.

Yes, Henry was the best, ila angekuwa na roho ya GERRARD angekuwa zaidi ya pale. Gerrard ni mchezaji ambae angecheza kwa kila mwalimu mzuri, si PEP si Wenger, si fergie, mourinho ndio kabisaa alishajaribu kumsaini, hata kwa EL CHOLO angepata nafasi ya kudumu, kwa KLOP ndio kabisaa.

Nikiwa na mchezaji aina ya GERRARD kwenye timu yangu naanza kumpanga yeye kabla ya golikipa
Nimependa hapo mwisho *naanza kumpanga yeye ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom