The MoNA
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 4,264
- 10,509
Ni jambo jema.Mkuu mpira sio vita lazima ujue maadui zako wana panga nini[emoji1787][emoji1787] kila uzi lazima nichungulie nijue kinaendelea nini.
Kuhusu ku like mimi kila sehemu nayo soma lazima ni like kama kuacha alama kwamba hapa nishasoma.
Ila season hii mtabadilika.