Kwanza stevie G pamoja na kuujua mpira alikuwa ana spirit ya kupambana, si mtu wa kukata tamaa, anajua kuibambania beji ya timu kama ni ya baba yake mzazi, akifungwa unaona huyu kafungwa..
Kwake machozi, jasho na damu, kuleta furaha kwa mashabiki.
Yes, Henry was the best, ila angekuwa na roho ya GERRARD angekuwa zaidi ya pale. Gerrard ni mchezaji ambae angecheza kwa kila mwalimu mzuri, si PEP si Wenger, si fergie, mourinho ndio kabisaa alishajaribu kumsaini, hata kwa EL CHOLO angepata nafasi ya kudumu, kwa KLOP ndio kabisaa.
Nikiwa na mchezaji aina ya GERRARD kwenye timu yangu naanza kumpanga yeye kabla ya golikipa