DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Clear penalty sijui hujui mpira ww?
Stress free hahaha sasa ni rasmi Klopp kwa pale Uingereza kashamaliza makombe yote available kushinda....Captain Marvelous leo braza naona moyo unasita sita kabisa
Mkuu vp matokeo njoo utupe mrejesho 🤣🤣🤣🤣Hawa jogoo tunaenda kuwatafuna saa moja jion
Liverkuku leo kichapo kinawahusu....
haland kasimama tu aletewe mipiraWazee nimemuona Halland alipokosa tu goli la wazi. Dakika zote 90 sikumuona
Uingereza pagumu mkuu yule atachezea viatu mpka akili imkae sawa🤣Wazee nimemuona Halland alipokosa tu goli la wazi. Dakika zote 90 sikuuona
Liverpool ilikua Gerrard na Gerrard alikua Liverpool kimsingi tangu mwaka 2004 dogo alikua anaibeba hii timu kama mali yake, alicheza kwa kuchomwo sidano ili mradi awe uwanjani kuwaamshaamsha wachezaji wenzie na mashabiki kusaka ushindi...Kwanza stevie G pamoja na kuujua mpira alikuwa ana spirit ya kupambana, si mtu wa kukata tamaa, anajua kuibambania beji ya timu kama ni ya baba yake mzazi, akifungwa unaona huyu kafungwa..
Kwake machozi, jasho na damu, kuleta furaha kwa mashabiki.
Yes, Henry was the best, ila angekuwa na roho ya GERRARD angekuwa zaidi ya pale. Gerrard ni mchezaji ambae angecheza kwa kila mwalimu mzuri, si PEP si Wenger, si fergie, mourinho ndio kabisaa alishajaribu kumsaini, hata kwa EL CHOLO angepata nafasi ya kudumu, kwa KLOP ndio kabisaa.
Nikiwa na mchezaji aina ya GERRARD kwenye timu yangu naanza kumpanga yeye kabla ya golikipa
In your dreams... Jogoo yupi huyo?Hawa jogoo tunaenda kuwatafuna saa moja jion
Waulize Nunez wamemuona?Uingereza pagumu mkuu yule atachezea viatu mpka akili imkae sawa🤣
Nunez anapiga header kali sanaKusema Kwamba Nunez Kaanza Na Kombe.
One Kiss Is All it takes.