Hapo ni Bobby, Calvalho aingie sub. Ataingia kwenye mfumo taratibu. Uzoefu wa Bobby sio wa kuuacha kizembe. Though Klopp hapangiwi 😂😂😂View attachment 2286131
Mambo ndio kama hivi.
Inakua vipi bila Henderson, Keita, Milner kua kwa kikosi 🤣🤣🤣haya ngoja tuone maana Klopp hapangiwi
YNWA
Anamtaka Klopp aisee binafsi bado najiuliza ana maajabu gani ya kufanya Klopp kusema ni yeye tu na hanunui mwingine na yupo tayari kusubiri mpaka June 2023.Huyo Bilgham ana nini hasa
Tetesi ni kwamba Bobby atasema mwenyewe anahitaji kubaki ama kusaka challenge mpya kama alivyo Mane ni highly respected klabuni hivyo akisema anabaki naamini Klopp atamtumia vyema tu kwenye new formation na kwa sababu ni pressing beast the better.Hapo ni Bobby, Calvalho aingie sub. Ataingia kwenye mfumo taratibu. Uzoefu wa Bobby sio wa kuuacha kizembe. Though Klopp hapangiwi 😂😂😂
Inanikumbusha kipindi cha VVD, Klopp hakumtaka beki mwingine wa kati zaidi yake. Akakubali kumsubiri mpaka msimu uliofuata. Ila january ikachangwa karata wakamleta and the defence problem solved.Anamtaka Klopp aisee binafsi bado najiuliza ana maajabu gani ya kufanya Klopp kusema ni yeye tu na hanunui mwingine na yupo tayari kusubiri mpaka June 2023.
YNWA
Yaani kwanza umeona hizo pesa wanazotaja kwa huyu dogo eti £90m+ sasa najiuliza kwa mpira gani mbona wa kawaida sana kuuzwa hio ela.Inanikumbusha kipindi cha VVD, Klopp hakumtaka beki mwingine wa kati zaidi yake. Akakubali kumsubiri mpaka msimu uliofuata. Ila january ikachangwa karata wakamleta and the defence problem solved.
Lets see kwa Belligham maana wengi wa english players kama homa za masaa.
Exactly muda wake wa kupiga No. 10 hata No. 8 tutamfaidi vizuri ubora wa ukubwani.
Ndio ushangae ndugu yaaani hawa Waingereza siwaamini hata kwa lipi imajini Declan Rise anauzwa £150m msimu huu hahaha sasa kwa mpira upi hua namuona kama ni Henderson aliechangamka 😂😂😂Captain Marvelous.
Hiyo pesa ni ndefu kwake. Hapo ukienda Brazil/Uruguay/Argentina/Spain/Italy/France mbona wa £45m wapo wenye uwezo kuliko Belligham. Mf. Kina Zaniola, Barella, Asensio they are good na ni cheap. Utashangaa anakua kama Sancho.
Duuh Bobby wa Hoffenheim akicheza 10 alikua balaa mno yaani motoo 🔥 🔥 🔥 🔥 hata Liverpool walimuona akiwa hio 10 lakini sio false 9 ya Klopp.Exactly muda wake wa kupiga No. 10 hata No. 8 tutamfaidi vizuri ubora wa ukubwani.
DView attachment 2287442
Kabisa acheze namba 10 na jezi apewe yenye namba 10. Maana alivaa jezi namba 11 akamuachia Salah na Yeye apewe jezi namba 10na acheze namba 10 😂😂😂
So mnasema aje acheze namba 10 ama namna gani.
He is back.
YNWA
Ndio ushangae ndugu yaaani hawa Waingereza siwaamini hata kwa lipi imajini Declan Rise anauzwa £150m msimu huu hahaha sasa kwa mpira upi hua namuona kama ni Henderson aliechangamka
And injured already