Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Benfica president Rui Costa on Darwin Nunez transfer:

"When we heard Liverpool were interested we were hoping to get 40-45 million as Darwin had a good season.

Two days later we received a official faxed bid of €80m with add-ons from Liverpool. The room erupted into laughter. I told my assistant to fax back asking for €100m with add-ons. Next morning a new bid worth €100m in total arrived.

The world has gone crazy, we had better strikers in our youth team. I ordered my assistant to open a bottle of champagne, it felt like we had won the lottery"

[Via @pedromsepulveda]
Kumbe yamepigwa bhna

Yaani hata ligi haijaanza, tunampima baada ya ligi kuanza sio kabla ya ligi kuanza.

Nilichokiona kwa sasa Liverpool inachukiwa sana.

Tutawaziba midomo yenu msimu huu mtabaki mnashangaa
 
kiukweli dogo Nunez kanunuliwa bei kubwa kuliko uwezo wake, sera ya FSG ni ya kiboya, walishindwa hata kumrudisha Sterling mwenye uzoefu tayari na EPL
Sterling aliwataka Chelsea ndugu na sio Liverpool....

Na kingine uelewe pia Pep anajua fika mshindani wake ni Liverpool hivyo hawezi kutuuzia mchezaji kutufanya tuwe imara zaidi...

Nina imani kubwa sana na Nunez bila kutazama bei yake atafanya vyema tu ni suala la muda baada ya ligi kuanza mtamwelewa tu wenzetu Barcelona wanajilaumu wenyewe maana wakati anacheza Spain walitonywa na Surez wamsajili tena kwa ela ndogo tu ya £20m wakagoma matokeo yake akinunuliwa Benfica na sasa ni hot property kwa kiwango na bei pia ambayo kwa Barcelona hawana huo uwezo tena...

YNWA
 
Salah tangu atue Liverpool anapiga goli 20+ kila msimu EPL sasa unadhani huyu babu mtarajiwa ataweza kumzuia Salah...

Niseme tu pale K kama ataleta mpira wake wa Napoli basi pengo la kisiki Rudiger wala hamtakiona maana dogo anajua sana kusoma gemu kwa utulivu sana.. Kuna kipindi Klopp alimtupia macho lakini bei ikawa kikwazo kabla ya corona.

YNWA

Nasi tunaliombea liwe ivo. K ni mtulivu kama VVD hana papara anapokuwa na mpira au anapomfes adui
 
Sterling aliwataka Chelsea ndugu na sio Liverpool....

Na kingine uelewe pia Pep anajua fika mshindani wake ni Liverpool hivyo hawezi kutuuzia mchezaji kutufanya tuwe imara zaidi...

Nina imani kubwa sana na Nunez bila kutazama bei yake atafanya vyema tu ni suala la muda baada ya ligi kuanza mtamwelewa tu wenzetu Barcelona wanajilaumu wenyewe maana wakati anacheza Spain walitonywa na Surez wamsajili tena kwa ela ndogo tu ya £20m wakagoma matokeo yake akinunuliwa Benfica na sasa ni hot property kwa kiwango na bei pia ambayo kwa Barcelona hawana huo uwezo tena...

YNWA

Tumeanza kuwa Mashabiki wa hovyo sana Aisee,(tumeanza kuwa kama Mashabiki wa Manyumbu),mara nyingi tumekuwa watu waelewa sana ila sasa hivi tumeanza kuwa Mashabiki wa hovyo kuwahikutokea kisa tu tumerudi tu kwenye ubora wetu, hapo ni dhahili kuwa watu wanachuki binafsi mechi moja tu eti tumepigwa?.

Me naimani na Nunez 100%, sasa hivi tumekuwa kama wehu vile Mashabiki wa Liverpool ,Nunez atawaprove wrong tu.

Salah kunakipindi alicheza mechi 7 bila kufunga lakini bado tulimpenda lakini sasa kwa Nunez washabiki hovyo wa Liverpool watakuja kumlaumu,navyojua mimi Mashabiki wa Liverpool hatuko hivyo.


Wapinzani nashangaa kama tumepigwa sisi kuhusu Nunez sijui kwanini wanaumia?maana sisi hatujajisifia kama Nunez noma sana,sisi tumekuwa kimya tu wao ndio wanaongeA.

Hizo kelele zao zisije kutufanya sisi kujiona tumekosea wala kujiona timu ya kawaida,sasa hivi wapinzani wanaumia sana tunavyopata matokeo.

Sasa hivi tumeanza kuchukiwa sana na Mashabiki wa timu zingine zote.
 
Tumeanza kuwa Mashabiki wa hovyo sana Aisee,(tumeanza kuwa kama Mashabiki wa Manyumbu),mara nyingi tumekuwa watu waelewa sana ila sasa hivi tumeanza kuwa Mashabiki wa hovyo kuwahikutokea kisa tu tumerudi tu kwenye ubora wetu, hapo ni dhahili kuwa watu wanachuki binafsi mechi moja tu eti tumepigwa?.

Me naimani na Nunez 100%, sasa hivi tumekuwa kama wehu vile Mashabiki wa Liverpool ,Nunez atawaprove wrong tu.

Salah kunakipindi alicheza mechi 7 bila kufunga lakini bado tulimpenda lakini sasa kwa Nunez washabiki hovyo wa Liverpool watakuja kumlaumu,navyojua mimi Mashabiki wa Liverpool hatuko hivyo.


Wapinzani nashangaa kama tumepigwa sisi kuhusu Nunez sijui kwanini wanaumia?maana sisi hatujajisifia kama Nunez noma sana,sisi tumekuwa kimya tu wao ndio wanaongeA.

Hizo kelele zao zisije kutufanya sisi kujiona tumekosea wala kujiona timu ya kawaida,sasa hivi wapinzani wanaumia sana tunavyopata matokeo.

Sasa hivi tumeanza kuchukiwa sana na Mashabiki wa timu zingine zote.
kwa Allison, VVD hatukusema hivo sababu uwezo wao ulikua unaonekana kabisa , wakati Barca wanavunja benk kwa suarez unaona kabisa bei sahihi, kwa Keita tulisema tumepigwa na kweli tumepigwa, hata Nunez pia tumepigwa kwa hiyo bei,
 
Mkuu acha hasira Klopp atamuweka sawa tu in Klopp we trust labda hakose kujiamini kama wachezaji wengine,lakini kama anajiamini atakuwa vizuri sana tu.

Mapema sana hata ligi haijaanza?hata vvd ,allisson wanazinguaga kwenye mechi moja halafu tunabaki tuna walaumu tu.

Sema Mkuu ujazoea ukiona tukisajiri wachezaji wa gharama sana, lakini ni sisi wenyewe tulikuwa tunataka tuwe tuna sajiri na sio kuwa wabahili na wakati sasa hivi sisi tuna hela.

Kikubwa kupata matokeo pale tunApo hitaji .


Hatutakiwi kabisa kuwa na wasiwasi.
Dah! Kiukweli nilicho kiona mimi tumemnunua kwa lesa kubwa lakin sidhani kama atakuja kuwa mchezaji bora ukilinganiaha na pesa tuliyo toa, Darwin Nunez ni mchezaji wa kawaida sana na huyo ilitakiwa anunuliwe kwa £40-£50 sasa kwa £100m hapo tumepigwa.
 
Tumeanza kuwa Mashabiki wa hovyo sana Aisee,(tumeanza kuwa kama Mashabiki wa Manyumbu),mara nyingi tumekuwa watu waelewa sana ila sasa hivi tumeanza kuwa Mashabiki wa hovyo kuwahikutokea kisa tu tumerudi tu kwenye ubora wetu, hapo ni dhahili kuwa watu wanachuki binafsi mechi moja tu eti tumepigwa?.

Me naimani na Nunez 100%, sasa hivi tumekuwa kama wehu vile Mashabiki wa Liverpool ,Nunez atawaprove wrong tu.

Salah kunakipindi alicheza mechi 7 bila kufunga lakini bado tulimpenda lakini sasa kwa Nunez washabiki hovyo wa Liverpool watakuja kumlaumu,navyojua mimi Mashabiki wa Liverpool hatuko hivyo.


Wapinzani nashangaa kama tumepigwa sisi kuhusu Nunez sijui kwanini wanaumia?maana sisi hatujajisifia kama Nunez noma sana,sisi tumekuwa kimya tu wao ndio wanaongeA.

Hizo kelele zao zisije kutufanya sisi kujiona tumekosea wala kujiona timu ya kawaida,sasa hivi wapinzani wanaumia sana tunavyopata matokeo.

Sasa hivi tumeanza kuchukiwa sana na Mashabiki wa timu zingine zote.

Acha kujitetea bana, Jesus kaweka kambani goli 3 na assist moja katika Only 2 games tena kwa £45M ila sio huyo Manunu wenu wa £90+M ila ni useless
 
Dah! Kiukweli nilicho kiona mimi tumemnunua kwa lesa kubwa lakin sidhani kama atakuja kuwa mchezaji bora ukilinganiaha na pesa tuliyo toa, Darwin Nunez ni mchezaji wa kawaida sana na huyo ilitakiwa anunuliwe kwa £40-£50 sasa kwa £100m hapo tumepigwa.
Nyie halafu tutofautishe...Nunez hajanunuliwa kwa £100....Kanunuliwa kwa €85+adds on €15...ambazo hizi zinalipwa kulingana na performance yake....hizo €85..ni sawa na £68.

By the way kama mnaangalia mpira vizur pre season hii huwezi mkosoa Nunez kisa hajafunga ...bnafsi nmeona ni mchezaji mzur ukiangalia movement zake.

Liverpool sisi hatujazoea kucheza na pure striker namba 9...na hicho klopp kakisema. Aliko toka Nunez stail yao ilikua ya kucheza na pure striker.

Klopp anatengeneza mfu huo ili awe na options nyingi za mifumo kulingana na wachezaji alio nao....lakin all in all Nunez ni mchezaj mzuri.


Nafkil mda utaongea tusiwe kama mashabiki wa manyumbu na Chelsea ambao ni malimbukeni ....
 
Tumeanza kuwa Mashabiki wa hovyo sana Aisee,(tumeanza kuwa kama Mashabiki wa Manyumbu),mara nyingi tumekuwa watu waelewa sana ila sasa hivi tumeanza kuwa Mashabiki wa hovyo kuwahikutokea kisa tu tumerudi tu kwenye ubora wetu, hapo ni dhahili kuwa watu wanachuki binafsi mechi moja tu eti tumepigwa?.

Me naimani na Nunez 100%, sasa hivi tumekuwa kama wehu vile Mashabiki wa Liverpool ,Nunez atawaprove wrong tu.

Salah kunakipindi alicheza mechi 7 bila kufunga lakini bado tulimpenda lakini sasa kwa Nunez washabiki hovyo wa Liverpool watakuja kumlaumu,navyojua mimi Mashabiki wa Liverpool hatuko hivyo.


Wapinzani nashangaa kama tumepigwa sisi kuhusu Nunez sijui kwanini wanaumia?maana sisi hatujajisifia kama Nunez noma sana,sisi tumekuwa kimya tu wao ndio wanaongeA.

Hizo kelele zao zisije kutufanya sisi kujiona tumekosea wala kujiona timu ya kawaida,sasa hivi wapinzani wanaumia sana tunavyopata matokeo.

Sasa hivi tumeanza kuchukiwa sana na Mashabiki wa timu zingine zote.
Kweli kabisa brooo....

Ila mara nyingi wanao ponda sio real Liverpool fans...ujue ni wakutoka unyumbuni...au lek boyz wa chelz
 
Yaan mmeshafikia kumfananisha mane na Diaz, seriously?
Diaz bado anautoto mwingi, kila mda anataka apige chenga na ashoot kufunga.

Ila kw Nunez tumepgwa tukubali.
Kivipi kwenye mechi za majaribio? mpeni muda aelewane na timu na mfumo wa timu. Alikotoka walikuwa wanacheza counter attacking football hapa ni gegen press. Alivyo kuja Fabinho, Robbo walichukua muda sasa je
 
Maajabu shabiki wa Liverpool anamkosoa mchezaj wake mpya ambaye ndio kwanza anaongizwa kwenye mfumo kumbuka Nunez anatoka ligi tofaut bado hajaingia kwenye mfumo

Subirini ligi zianze ndio muanze kukosoa binafs namuona akijichukulia utawala wake ndan ya Liverpool Mondela kuwa mpole huna uvumilivu huwa nakuona hata timu ikitanguliwa kufungwa utalaumu na kutoa maneno yote nakumbuka mech ya nusu fainal uefa kule Spain tulivyoyanguliwa gol 2 ulionesha udhaifu mkubwa Sana kana kwamba umeanza kuishabikia timu jana


N swala la muda tu Nunez anakuja kutawala soka la uingereza
 
Maajabu shabiki wa Liverpool anamkosoa mchezaj wake mpya ambaye ndio kwanza anaongizwa kwenye mfumo kumbuka Nunez anatoka ligi tofaut bado hajaingia kwenye mfumo

Subirini ligi zianze ndio muanze kukosoa binafs namuona akijichukulia utawala wake ndan ya Liverpool Mondela kuwa mpole huna uvumilivu huwa nakuona hata timu ikitanguliwa kufungwa utalaumu na kutoa maneno yote nakumbuka mech ya nusu fainal uefa kule Spain tulivyoyanguliwa gol 2 ulionesha udhaifu mkubwa Sana kana kwamba umeanza kuishabikia timu jana


N swala la muda tu Nunez anakuja kutawala soka la uingereza
Nunez anatakiwa kuwa defender maana anajua kuzuia kuliko kufunga
 
Tumeanza kuwa Mashabiki wa hovyo sana Aisee,(tumeanza kuwa kama Mashabiki wa Manyumbu),mara nyingi tumekuwa watu waelewa sana ila sasa hivi tumeanza kuwa Mashabiki wa hovyo kuwahikutokea kisa tu tumerudi tu kwenye ubora wetu, hapo ni dhahili kuwa watu wanachuki binafsi mechi moja tu eti tumepigwa?.

Me naimani na Nunez 100%, sasa hivi tumekuwa kama wehu vile Mashabiki wa Liverpool ,Nunez atawaprove wrong tu.

Salah kunakipindi alicheza mechi 7 bila kufunga lakini bado tulimpenda lakini sasa kwa Nunez washabiki hovyo wa Liverpool watakuja kumlaumu,navyojua mimi Mashabiki wa Liverpool hatuko hivyo.


Wapinzani nashangaa kama tumepigwa sisi kuhusu Nunez sijui kwanini wanaumia?maana sisi hatujajisifia kama Nunez noma sana,sisi tumekuwa kimya tu wao ndio wanaongeA.

Hizo kelele zao zisije kutufanya sisi kujiona tumekosea wala kujiona timu ya kawaida,sasa hivi wapinzani wanaumia sana tunavyopata matokeo.

Sasa hivi tumeanza kuchukiwa sana na Mashabiki wa timu zingine zote.
Adui yako mwombee njaa ndio hawa wapinzani wetu walivyo ndugu... Tangu atue Klopp tupo ki ushindani kinoma yaaani hata majeruhi yakiwa kama msimu wa 2020 2021 bado tulitoka salama Big 4 tena kwa goli la karne la Allison vs The Baggies...

Hivyo hapana hakuna jipya wanaobeza usajili wa Darwin mapema hivi ndio hao hao walimdiss Fabinho kipindi hajaanza kucheza na kukamata namba pale kati. Klopp hua hakurupuki kwenye usajili ndio ana ma flop wachache sana kwenye kununua tangu ahamie Liverpool sababu usajili wake ni backed by data department na back ground check ya nguvu sana juu ya mchezaji husika.. Aliwai sema humu MosDef usajili wa Bissouma kuja Liverpool unaweza kukwama sababu dogo ana kashafa fulani fulani na ishu ambazo Klopp na Liverpool wanachukulia serious kwa ustawi wa klabu...
Ina maana kusajiliwa Liverpool kwa sababu tu ya talent haitoshi mbali na ukachero kuhusu tabia, attitude nk zinafanya package ya mchezaji kua kamili.. Zaidi anatazama mchezaji alie humble, anaejituma nk... Sasa sio kamba huku Nunez wamekurupika kisa tu Manchester United walimtaka au Real Madrid au Bayern Munich hapana ki ufupi dogo alikua profiled siku nyingi ilikua ni muda mwafaka sasa Klopp kuingia sokoni kumnasa ndio maana hata hamzungumzii kutofunga kwani anajua fika atakaaa sawa tu baada ya drills, mazoezi, kuelewa mfumo na majukumu yake kuu ni suala la muda tu huyu wengine watakataa maneno yao humu kwamba ilikua utani...

Kule Benfica walipenda kutumia sana 4 4 1 1 na kwa mafanikio makubwa sana waliweza kuwazima Ajax na Barcelona UCL na pia sisi pale Anfield walitupa changamoto sana japo tukitoka salama lakini tuliona namana walivyotuvuruga...

Sasa alivyosajiliwa Liverpool ni waumini wa 4 3 3 au 4 2 3 1 ambazo kule Benfica zilitumika nadra sana ni dhahiri hapo lazima apate sessions kadhaa aelewe vyema majukumu yake uwanjani na hilo nalo bado ni changamoto kwani dogo ana kingereza cha kuombea maji tu hivyo muda mwingi aidha Pep ama Thiago wanafanya kazi ya utafsri anachotakiwa na Klopp afanye..

Ki ufupi kama mnakumbuka pre season ya mwaka 2019 tulichezea vipigo na msimu ulivyoanza wa Ligi hatukupoa zaidi ya ushindi na mwisho wa Msimu haoooo ma bingwa wa EPL. Pre season ya 2019 July tulifungwo mechi 3,tukashinda mechi 3 na kutoa sare mechi 1 na hatukufungwo tena The Hornets walikuja kuvuruga spidi yetu ya kua immortal pale Uingereza... . Hivyo ukitazama matokeo ya pre season sio kwamba inakupa uhakika wa yajayo kwenye Ligi ndugu sio rahisi ki hivyo...

Kila mmoja na uhuru wa maoni kwa vile ni jukwaa huru hivyo tuwe na subira maana ligi ipo kama wiki kadhaa tu ianze...

Nina imani na Klopp...

Nina imani na wachezaji wake...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom