Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kabla watu hawajaja kutema shit hapa ieleweke kwamba Jana tulicheza game nzur tu tukianza na kikosi B ambacho Kama kawaida kilikosa muunganiko kwenye backline na kiungo so tukaconcede hilo goli moja kipindi Cha kwanza

Kipindi Cha pili kilianza kwa sub ya milner akaingia Robertson na Nunez akampisha firmino then dakika ya 60 ukaingia full mziki yaan full mkoko(Salah,fabinho,Trent, Henderson, Diaz, Virgil,matip....)mpira ulipigwa wa kutosha tu kosakosa nyingi na itoshe kusema kikosi chetu Kiko imara na tukutane jmoc tunapoenda kumchapa City
 
IMG_4686.png
 
Kabla watu hawajaja kutema shit hapa ieleweke kwamba Jana tulicheza game nzur tu tukianza na kikosi B ambacho Kama kawaida kilikosa muunganiko kwenye backline na kiungo so tukaconcede hilo goli moja kipindi Cha kwanza

Kipindi Cha pili kilianza kwa sub ya milner akaingia Robertson na Nunez akampisha firmino then dakika ya 60 ukaingia full mziki yaan full mkoko(Salah,fabinho,Trent, Henderson, Diaz, Virgil,matip....)mpira ulipigwa wa kutosha tu kosakosa nyingi na itoshe kusema kikosi chetu Kiko imara na tukutane jmoc tunapoenda kumchapa City
Are you ready for another big loss?
 
Huyu allypipi kumbe mpinzani namuona analike tu kama ka kop kumbe ni wahuko upinzani.

Ndio utamu wa mpira mkikutana wastaarabu wa mpira.
Mkuu mpira sio vita lazima ujue maadui zako wana panga nini kila uzi lazima nichungulie nijue kinaendelea nini.

Kuhusu ku like mimi kila sehemu nayo soma lazima ni like kama kuacha alama kwamba hapa nishasoma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom