ngumbuke
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 502
- 535
Ana manne tayari! Tuanze mazoezi ya kukuita jina ulilojichagulia? Au tusubiri EPL. Soka bana.......ni rahisi kulamba mataoishi.Nunez akifikisha goli 7 niiteni mbwa
Ana manne tayari! Tuanze mazoezi ya kukuita jina ulilojichagulia? Au tusubiri EPL. Soka bana.......ni rahisi kulamba mataoishi.Nunez akifikisha goli 7 niiteni mbwa
Anajua sana uyo dogo anatakiwa yy na Morton waende kwa mkopo championship kwa maendeleo yao kwasasa sizani kama wanapata nafasi sana ya kucheza dogo ana scanning y hatari anafanya mpira uwe mchezo rahisi kuuchezaKuna dogo Jana nilimuona anaitwa STEFAN BAJCETIC no 45 nadhan ,huyu dogo Yuko vizuri,anajiamin mno...NDIO ALIPOKONYA MPIRA NA KUMPA ELLIOT KUTENGENEZA GOLI LA NNE
Nazani twende na Elliot na calvanho na nunez kwa huu msimu wakiwa watoto wengi napo hasara tuKlopp aanze kuamini vijana. Apunguze mahaba
Kwaiyo hujui kama yule ni kipa namba tatuMlianza kusema Nunez hamna kitu,NI flop hakuna atakachofanya,
Leo mnasema hafikishi goli 15
Nasubiri kesho mtasema Nini?Ila tambua SINDANO NA UZI ZA KUSHONA HIYO MIDOMO ZIPO TAYARI![]()
Utalimia meno na bado 🤪🤪Kwaiyo hujui kama yule ni kipa namba tatu
Told that talk of #LFC bidding for Sporting’s Matheus Nunes is nonsense. Club’s stance unchanged regarding summer business. No plans to strengthen midfield further in this window.(James Pearce)Naona Sky tetesi kwamba Nunes wa Sporting Lisbon anatajwa kuhamia Liverpool dirisha hili... Ni suala la muda itajulikana.
YNWA
Morton anaenda Blackburn Rovers kwa mkopoAnajua sana uyo dogo anatakiwa yy na Morton waende kwa mkopo championship kwa maendeleo yao kwasasa sizani kama wanapata nafasi sana ya kucheza dogo ana scanning y hatari anafanya mpira uwe mchezo rahisi kuucheza
Nunez kakiwasha hapo ..katu pruvu wrong au ndio mambo ya preseason..Angalau sasa umetua mahala pako safi kabisa kwamba Lukaku mlipigwaaaaaaaaaa roho safi £97.3m hata Nunez hajafika hio bei na mshahara mnono kabisa mlilipa na sasa kasharudi Inter Milan na furaha kama zote.... Yule Mchina na Inter Milan alivyosikia mnatoa klabu rekodi ya £97.3m kwa Lukaku hakuamini macho wala masikio yake akasema bora aweze ku balance hesabu zake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣...
Kuhusu Salah kutofunga sio kweli sababu Mane kwenye assist kwenye EPL alikua nazo 2 na Uefa hakuna na assist yoyote hivyo uwe na maneno ya akiba ndugu kuhusu pale mbele sina shaka kabisaaa pataka sawa...
Naelewa adui mwombee njaa lakini hayo maombi yenu yatagonga mwamba kama msimu uliopita...
Muwe na utulivu jamaa yangu hii Liverpool inakuja kivingine kabisa tuna muda mfupi sana kuweka mambo sawa mazoezini kabla ya gemu ya Manchester City kombe la Community Shield lakini nina imani kila mmoja ataelewa majukumu yake vyema kuanza na ligi...
Chelsea mna nuksi kawakataa Raphinah na Lewandowski mtulie hivyo hivyo...
YNWA
Iv halaand ataiweza hii EPL kweli? Kama pre season tu anapuyanga.Goalkeeper wa lepzig ndio kawapa magoli ,mpira unapita mikono kabisa
Mzee baba hii id yako nawezaje kukuTag?🤣🤣🤣🤣Nazani twende na Elliot na calvanho na nunez kwa huu msimu wakiwa watoto wengi napo hasara tu
Kikubwa mlisema hafungi yeye kafunga kumfunga kipa gan ss haituhusu Tena kafunga 4 o'clockKwaiyo hujui kama yule ni kipa namba tatu
Kikubwa kafunga nne hayo mengine ss hayatuhusu kawaulize wao Leipzig kwann walimchezesha huyo kipaGoalkeeper wa lepzig ndio kawapa magoli ,mpira unapita mikono kabisa
Vipi matokeo ya Chelsea kwenye Pre Season...?Iv halaand ataiweza hii EPL kweli? Kama pre season tu anapuyanga.
Amecheza Lin pre seasonIv halaand ataiweza hii EPL kweli? Kama pre season tu anapuyanga.
,njoo umuone kesho anacheza na buyern ...😂😂😂😂😂😂😂😂Bhana EPL ngumu sana ndugu naamini kwa bidii yake na wachezaji wenzie kumletea mipira eneo la hatari ata shine tu.Nunez kakiwasha hapo ..katu pruvu wrong au ndio mambo ya preseason..