GwamahalaJR
JF-Expert Member
- Jul 18, 2019
- 414
- 769
Darwin Nunez keshatupia hatrick huko...
😆🤗😆🤗Wale wachambuzi uchwara wa kibongo edo kumwembe na shafii dauda waanze tena kupost ujinga wao huko 😆🤗😆Darwin Nunez keshatupia hatrick huko...
Usiwe na shaka mkuu NUNEZ na hako ka FABIO n watu haswaa we subiri uone kakaIla katika usajili ambao Klopp hajakosea nikwahuyu dogo Fabio Carvalho duh!![]()
Kabisa muda haujawa kudanganya ndugu ni suala la na kua na subira.Binafsi naamini pia atafanya vizuri tu, ukizingatia umri wake bado ni wa kujifunza na kurekebishika...!
Ulitumika mfumo gani?
Wale ni wapuuzi tu...hakuna kitu paleWale wachambuzi uchwara wa kibongo edo kumwembe na shafii dauda waanze tena kupost ujinga wao huko
![]()
Wale sijui hua wanachambua nini hataa
Kumbuka huyu bado ni kijana mbichi kabisa, after few seasons atakuwa ni moto wa kuotea mbali!Huyu Nunez hamna kitu suala la muda afikishi goli 15 huyu

Mlianza kusema Nunez hamna kitu,NI flop hakuna atakachofanya,Huyu Nunez hamna kitu suala la muda afikishi goli 15 huyu






Sijaangalia gemu zaidi ya highlights...Ulitumika mfumo gani?
Kwa Salah kupo salama kweli dah wasipangwe pamoja hawa labda kwa dharula tu
Naona Sky tetesi kwamba Nunes wa Sporting Lisbon anatajwa kuhamia Liverpool dirisha hili... Ni suala la muda itajulikana.Kati ya Jones na Elliot nampa Elliot nafasi kubwa kukiwasha...
Kuna timu itapigwa na Nunez na wasijue imekuaje.
Binafsi bado MF inahitaji atleast 2 new signings (DM & CM) then we will be ready, ninakubali kutokukubalia na FSG & KLOPP.
In Klopp i trust, in him we are safe.
YNWA