Kwahiyo mwanangu Hendo ht benchi hapaswi kukaa??Ki uhalisia Thiago ni Holding midfielder au attacking midfiefilde? Akiwa pale barcelona na Bayern munich alikuwa akicheza juu au chini?
Dogo Elliott msimu ulioisha alianza vizuri sema ile enjury ikaja kumtoa kwenye reli. Sasa nategeme kwa kiasi kikubwa kabisa atakuwa ni regular stater msimu huu. Huu msimu viungo wa kutegemewa kabisa ni Thiago, Fab, Elliott, na Keita. Watakao anzia benxhi ni jones, Calvalho, Ox na Mzee Milner kama kiraka.
Backline itakuwa ile ile. Robo, VvD Matip/Konate na TAA. bench wakakuwa Smikas, Gomez, Van Berg na Williams.
Attacker. Diaz, Jota/Nunez/Bobby na Salah. Hii timu ni ile ile. Mapungufu hapo ni Mane. Walioondoka wote walikuwa wanasugua bench. So Liverpool ni ile ile ya misimu miwili iliyopita. Hapa kinachotakiwa ni spirit tu kwa wachezaji. Mpaka hapo mpinzani wetu mkuu ni city.
Achia bango babu umeshikilia sana. Acha Muda utaamua.Nunez akifikisha goli 7 niiteni mbwa
Nimemsahau le captain😁😁😁😁Kwahiyo mwanangu Hendo ht benchi hapaswi kukaa??
Niliona hii habari nikasema yes give us another nunes.View attachment 2295236
Jibu la MF Liverpool ndio huyu dogo.
Come on Julian fanya jambo huyu mwamba atue mapema sana dirisha hili.
YNWA
Mwalimu mgeni hapo ndo anatafuta tim ya kutumia.Man u wao hata ikiwa friend match wanaingiza full mkoko, sijui dhumuni lao ni nini
alafu wakija hum ni kuiponda Liverpool
![]()
Nadhani ni kutengeneza ile winning mental kwa wachezaji. Maana hizi pre season wanashinda game zao zote. Wakitegemea kuamka na moto huo huo.Man u wao hata ikiwa friend match wanaingiza full mkoko, sijui dhumuni lao ni nini
alafu wakija hum ni kuiponda Liverpool
![]()
Watachosha wachezaji mapemaaa, ikiwezekana hata injury zitawahusu alafu league ikianza hawa ndio wakupiga goli 9 tena ili waamshwe kwanza wasiendelee kuota njozi nyevuNadhani ni kutengeneza ile winning mental kwa wachezaji. Maana hizi pre season wanashinda game zao zote. Wakitegemea kuamka na moto huo huo.



Yeah Julian ana network pana sana Ureno, Uhispania na Amerika ya Kusini na huko ndio kwenye wachezaji wanajielewq na kwa bei zenye ushirikiano...Niliona hii habari nikasema yes give us another nunes.
Ligi ya ureno kwa mbaaali inaanza kua new liverpool academy like southampton. Read one article kwamba Ward ana mawasiliano na uhusiano mzuri na vilabu vya huko, thats deals za huko hazichukui muda.
Best signing by Klopp ever....🗓 #Siku hii leo mwaka 2018, @Alissonbecker alisaini mkataba na Liverpool .
🔴 184 appearances
👐 84 clean sheets
⚽️ 1 goal
🎯 2 assists
🏆 Premier League 2019/20
🏆 Champions League 2019
🏆 FIFA Club World Cup 2019
🏆 UEFA Super Cup 2019
🏆 League Cup 2022
🏆 FA Cup 2022
What a signing 🤯
Kama ni kupigwa imeshatokea. Hata kama una kejeli au roho inakuuma. Jifunze kunyamaza. Ushauri wako au maandishi yako hayabadirishi kitu. Wacha maisha yaendelee
Tim yako Man u tulio itandika goli 9 imekushinda huko umekaa unajipitisha na kanga moko kwenye uzi wa wanaume utapandwa kama kuku mtetea, yaani mnashangilia hadi friendly match


shame on u.We need that guy, indeed. Klopp atateseka na atuumize sie mashabiki kwa kuwaamini keita, ox, jones, wakati keita na ox hao ni injury prone. Asione wataleta impact kubwa throught the season. One mid can change rythm totally, Refer Bruno alipotua united, he changed it.Yeah Julian ana network pana sana Ureno, Uhispania na Amerika ya Kusini na huko ndio kwenye wachezaji wanajielewq na kwa bei zenye ushirikiano...
Huyu dogo ana miaka 23 atakua mridhi mzuri sana wa Thiago pale nyuma akicheza dabo pivot na Fabinho ooh man bring himmmmm..
YNWA