Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,365
- 21,743
Nunez walimuangalia game mbili tu za uefa ,wakaingia mkenge [emoji23]Nunez tumepgwa pale, lukaku mweupe.
Nunez walimuangalia game mbili tu za uefa ,wakaingia mkenge [emoji23]Nunez tumepgwa pale, lukaku mweupe.
Aisee sijaangalia hata clip moja ngoja nizisake ndugu...Mkuu Mimi siongei Sana nadhani umejionea mwenyewe clip zinazosambaa mitandaoni sahv khs game yenu na mliocheza nao leo[emoji1787]
Salah tangu atue Liverpool anapiga goli 20+ kila msimu EPL sasa unadhani huyu babu mtarajiwa ataweza kumzuia Salah...Ngojaa aje EPL uyo Salah atakiona Cha mtema kuni.
Eti Babu[emoji1787]Tuchel kaona kwa Lukaku tu mfumo haukumfaa je huyo babu muuza jezi itakua aje....
YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2291502
Cc OllaChuga Oc haya mambo ndio haya....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
YNWA
Dah kumbe analipwa parefu hivyo!View attachment 2291504
Soooooon to be Kops favourite boy....
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Huyu dogo ndio atakua mchezaji wa kwanza Liverpool kulipwa £500k kwa wiki ama ndio atakua mchezaji wa kwanza kutoka EPL kuuzwa Real Madrid kwa £180m...
Go boy hit em hard...
YNWA
Hapana halipwi hata nusu ya hio nimesema atakua mchezaji wa kwanza kuja lipwa hivyo kama akijituma vyema uwanjani mpaka inafika 2025 Salah anasepa basi huy7 dogo atakua tayari kashakua tegemezi kama alivyo Salah sasa.Dah kumbe analipwa parefu hivyo!
Sasa si bora wangemuongezea Mane [emoji19]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ngoja ligi ianze OllaChuga Oc aanze na mkwara humu anachukua ligi January 2023 😄😄😄🤣🤣🤣🤣...
Ronaldo ana 37 kwa mchezaji wa sasa ni babu huyu 😂😂😂😂...
Biashara ishaisha labda kama Klopp baada ya hizi gemu za pre season ataona hajaridhiswa anachokiona ataweza pengine kubadili msimamo na kingine pia Ox Chamberlain jana kaumia tena 🙆🏿🙆🏿🙆🏿hivyo pengine itamsukuma kufanya jambo sokoni...Liverpool ndio wamefunga usajiri nini Kama kawaida
Uza Kisha nunua😄😄
Walioingia
- Sadio Mane – Bayern Munich – £35.1m
- Takumi Minamino – Monaco – £15.4m
- Neco Williams – Nottingham Forest – £17m
- Fabio Carvalho – Fulham – £7.7m
- Darwin Nunez – Benfica – £85m(upfront fee of £64m )
- Calvin Ramsay – Aberdeen – £6.5m
Huyu anaenda kuwa legend wa city hata akistafu ataendelea kukaa viunga vya etihad anakula nusu mshahara mpaka mwisho wa Dunia ..[emoji23]
Uyo Salah bila Mane sawa Origi tu ..Izo goli 20 msimu atazisikia kwenye Bomba. Saivi Liverpool pale mbele sijui mutamsimamisha nani Tena hahaha ..front three yenu itakuwa na mabutu kibao, Mane hayupo, Salah atafloap ..yule firminho hamna kitu mule ..huyu Nunez tumepigwa mchana kweupe, Ni Lukaku mweupe. Sasa Nani wa kuwabeba? Mutaweza kubehave na title contender kweli? Mimi naona kabisa mutakuwa timu ya kawaida Sana pengine musiiweze kumaliza ligi nafasi za juu.Salah tangu atue Liverpool anapiga goli 20+ kila msimu EPL sasa unadhani huyu babu mtarajiwa ataweza kumzuia Salah...
Niseme tu pale K kama ataleta mpira wake wa Napoli basi pengo la kisiki Rudiger wala hamtakiona maana dogo anajua sana kusoma gemu kwa utulivu sana.. Kuna kipindi Klopp alimtupia macho lakini bei ikawa kikwazo kabla ya corona.
YNWA
Oh kumbe!Hapana halipwi hata nusu ya hio nimesema atakua mchezaji wa kwanza kuja lipwa hivyo kama akijituma vyema uwanjani mpaka inafika 2025 Salah anasepa basi huy7 dogo atakua tayari kashakua tegemezi kama alivyo Salah sasa.
Hahahaha kwa sasa Nunez analipwa kiduchu sana hata £160k kwa wiki hajafika labda kwa bonuses..
Mane na Origi ilibidi wasepe ili mshahara wao ndio utue kwa Salah.. FSG hawajawai kubahatisha haya mambo wanajua namna ya ku fix mambo wanavyotaka wao.
YNWA
Ollachuga ameanza vitisho mapema sana[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja ligi ianze OllaChuga Oc aanze na mkwara humu anachukua ligi January 2023 [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...
YNWA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ronaldo ana 37 kwa mchezaji wa sasa ni babu huyu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...
Imagine Silva babu, Ronaldo babu yaaani hawa Chelsea wangekua Bibi Kizee wa EPL..
YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji174]Uyo Salah bila Mane sawa Origi tu ..Izo goli 20 msimu atazisikia kwenye Bomba. Saivi Liverpool pale mbele sijui mutamsimamisha nani Tena hahaha ..front three yenu itakuwa na mabutu kibao, Mane hayupo, Salah atafloap ..yule firminho hamna kitu mule ..huyu Nunez tumepigwa mchana kweupe, Ni Lukaku mweupe. Sasa Nani wa kuwabeba? Mutaweza kubehave na title contender kweli? Mimi naona kabisa mutakuwa timu ya kawaida Sana pengine musiiweze kumaliza ligi nafasi za juu.
#CFC[emoji170][emoji170][emoji170]