Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kichwa changu kinaniambia Liverpool mtawin EPL next season. Usajili wa Nunez & Luis Diaz ni mkubwa mno.
Shida kubwa kwetu ni uwepo wa mancity. Ni kama ilivyokuwa kwa Atletico Madrid. Walikuwa na timu nzuri sana, ila uwepo wa barcelona ya kina messi na iniesta ndio ikawa kikwazo kwao. Lakini kudos kwao. Ndani ya miaka 10 wakapata laliga 2 na kucheza ucl mara mbili.
Hicyo hicyo kwetu sisi. City ndio tatizo kubwa kwetu. Kwa misimu mitatu au minne tumepambana nao kwa jasho na damu. Tumepata premier leafue 1 na wamechukua mara mbili kwa tofauti ya pointi moja. Na ndani ya msimu tunapata points 90+ afu unakosa ubingwa. Nadhani tutaendelea kuteseka mpaka Guandiola atakapoondoka pale city.
 
Shida kubwa kwetu ni uwepo wa mancity. Ni kama ilivyokuwa kwa Atletico Madrid. Walikuwa na timu nzuri sana, ila uwepo wa barcelona ya kina messi na iniesta ndio ikawa kikwazo kwao. Lakini kudos kwao. Ndani ya miaka 10 wakapata laliga 2 na kucheza ucl mara mbili.
Hicyo hicyo kwetu sisi. City ndio tatizo kubwa kwetu. Kwa misimu mitatu au minne tumepambana nao kwa jasho na damu. Tumepata premier leafue 1 na wamechukua mara mbili kwa tofauti ya pointi moja. Na ndani ya msimu tunapata points 90+ afu unakosa ubingwa. Nadhani tutaendelea kuteseka mpaka Guandiola atakapoondoka pale city.
Sio kwamba Klopp anatutesa kung'ang`ania wachezaji badala waachie nafasi payroll ipungue ili waweze kusajili tena?

Pep hua hamng'ang'anini mchezaji endapo bei anayotaka inapatikana au hata kumwachia bure design ka Aguero, Silva, Toure, Kompany, Fernadhidho nk pamoja na umuhimu wao kikosini out put ilivyoshuka Pep hakua na kingine zaidi ya kuwaachie na kuleta wengine wanaoedana na kasi ya mfumo.. Pamoja na ubora wa Pep lakini tukumbaliane Manchester City ni timu inayojutuma sana uwanjani yaaani hua nadra sana uone wana break down au defence relapse sababu kuanzia mbele mpaka nyuma wana defend na kushambulia in tandem...

Klopp kukomaa na akina Henderson, Matip, Keita, Milner nk bila ku react mapema kunatugharimu sana pointi muhimu nwa hakuna namna Pep yupo mpaka 2025 tutakwenda nao hivyo hivyo...

YNWA
 
Wala hii siyo ya kutupa pressure kabisa!
Mkuu humu wanaojua mpira ni wachache na utawajua kwa comments zao.

Tusubiri league ianze ndio tutajua mbichi na mbivu hizi kelele za pre season kila msimu kuna team huwa zinakuja kuwatokea puani wanajikuta wanagombania top six wakati wenzao tulioonekana kuwa tutakuwa na msimu mbaya tukichukua vikombe vya maana.

Mtu anakuambia Nunez mbovu na amemuona kwa dakika chini ya 30 tu sasa huyo ni mtu anaejua soka au ni mshabiki maandazi tu mfata mkumbo?

Liverpool ya msimu huu itakuwa ya moto kuliko hata ya last season. Mark my words.
 
Sio kwamba Klopp anatutesa kung'ang`ania wachezaji badala waachie nafasi payroll ipungue ili waweze kusajili tena?

Pep hua hamng'ang'anini mchezaji endapo bei anayotaka inapatikana au hata kumwachia bure design ka Aguero, Silva, Toure, Kompany, Fernadhidho nk pamoja na umuhimu wao kikosini out put ilivyoshuka Pep hakua na kingine zaidi ya kuwaachie na kuleta wengine wanaoedana na kasi ya mfumo.. Pamoja na ubora wa Pep lakini tukumbaliane Manchester City ni timu inayojutuma sana uwanjani yaaani hua nadra sana uone wana break down au defence relapse sababu kuanzia mbele mpaka nyuma wana defend na kushambulia in tandem...

Klopp kukomaa na akina Henderson, Matip, Keita, Milner nk bila ku react mapema kunatugharimu sana pointi muhimu nwa hakuna namna Pep yupo mpaka 2025 tutakwenda nao hivyo hivyo...

YNWA
Captain
Sasa ina maana Klopp amuache Joel Matip beki bora wa kati msimu ulioisha?
Keita aliyekuwa na msimu mzuri ndani ya liverpool tangu asajiliwe?
Amuache El Capitano Hendo mwenye work rate ya kutosha kwenye kiungo cha liverpool. Mr Liverpool alicheza zaidi ya 78% ya mechi zote za msimu ulioisha.
Amuache Milner mchezaji anayejitolea ndani na nje ya uwanja and the fittest player. (Vipimo vya pre season) kwenye kambi ya liverpool kwa misimu 7 ?
 
Captain
Sasa ina maana Klopp amuache Joel Matip beki bora wa kati msimu ulioisha?
Keita aliyekuwa na msimu mzuri ndani ya liverpool tangu asajiliwe?
Amuache El Capitano Hendo mwenye work rate ya kutosha kwenye kiungo cha liverpool. Mr Liverpool alicheza zaidi ya 78% ya mechi zote za msimu ulioisha.
Amuache Milner mchezaji anayejitolea ndani na nje ya uwanja and the fittest player. (Vipimo vya pre season) kwenye kambi ya liverpool kwa misimu 7 ?
Hao hapo yupi anaweza pata namba kikosi cha Pep?

Nwa nimtazamu wangu we got so many over rated players delivering very little when its matters...

Usione Salah kukomaa kudai ule mshahara na Mane kusepa vile akiwa amemjuza Klopp tangu 2021 hataongeza mkataba.

Otherwise ndio waliopo hakuna namna.


YNWA
 
Laana ya kutomthamini Mane itatutafuna.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
🙋🙋😂🙋😂🙋😂Huyo sahau tu Miss Liverpool...

Why worry tuna Keita, Chamberlain, Jones, Milner 😃😃😃yaaani kaa mkao wa kula maana ni ushindi tu haha in Klopp voice tena alisema tu book kabisa hoteli Uefa fainali tunakwenda mazima..

YNWA
 
🙋🙋😂🙋😂🙋😂Huyo sahau tu Miss Liverpool...

Why worry tuna Keita, Chamberlain, Jones, Milner 😃😃😃yaaani kaa mkao wa kula maana ni ushindi tu haha in Klopp voice tena alisema tu book kabisa hoteli Uefa fainali tunakwenda mazima..

YNWA
Dah!
Yaani Mane anaondoka eti tunabaki na akina Keita🥺
 
Hao hapo yupi anaweza pata namba kikosi cha Pep?

Nwa nimtazamu wangu we got so many over rated players delivering very little when its matters...

Usione Salah kukomaa kudai ule mshahara na Mane kusepa vile akiwa amemjuza Klopp tangu 2021 hataongeza mkataba.

Otherwise ndio waliopo hakuna namna.


YNWA
LAKINI HAWA NDIO TUPO NAO NA WAMESHATULETEA MAKOMBE. ISHU YA LIVERPOOL TUNAIJUA NI POLICY ZA FSG WALAVTUSIWAZE TUENDELEE KUISAPOT TIMU YETU.
 
Nashangaa watu kulia Mane Mane Mane, wengi wangekua nafasi nafasi ya Klopp na wao wangevunja mkataba kisa Mane ameondoka.

Klopp is our biggest signing, Chelsea na Man u wana bajeti kubwa ila anaye mchallange City ni Liverpool si kwa ubora wa kikosi ila uwezo wa Klopp.

Pitia liverpoolfc.com kasome plan za Klopp na alichofaidika nacho kwa mechi moja ya pre-season bila kujali matokeo.
Tunamlaumu Germany nazi ila FSG Policy kwenye kuendesha klabu ndo shughuli.

In my opinion we need proper DM & CM, hata bila usajili wa any MF, I'm with J.K.N.
YNWA.
 
Nashangaa watu kulia Mane Mane Mane, wengi wangekua nafasi nafasi ya Klopp na wao wangevunja mkataba kisa Mane ameondoka.

Klopp is our biggest signing, Chelsea na Man u wana bajeti kubwa ila anaye mchallange City ni Liverpool si kwa ubora wa kikosi ila uwezo wa Klopp.

Pitia liverpoolfc.com kasome plan za Klopp na alichofaidika nacho kwa mechi moja ya pre-season bila kujali matokeo.
Tunamlaumu Germany nazi ila FSG Policy kwenye kuendesha klabu ndo shughuli.

In my opinion we need proper DM & CM, hata bila usajili wa any MF, I'm with J.K.N.
YNWA.
Mkuu mpira bhana wakati mwingine una tabirika kwa kuangalia nini kiliwakuta wenzetu au sisi kuachilia mchezaji/wachezaji tegemezi kama Mane nasema tegemezi kuanzia January 2021 mpaka ligi ndio alikua mchezaji bora pale mbele kwa magoli muhimu sana... Binadamu kua na wasiwasi na mambo kama haya ni kawaida hasa ukizingatia Mane ni kilaka alicheza Winga ya Kulia kabla hajaja Salah alivyokuja akamuachia akahamia kushoto na alivyosajiliwa Diaz ambae ni winga wa kushoto Mane akahamia false 9 bila noma wala nini na kazi kazi.. Hii sio jepesi kwani kote alikocheza Liverpool alipambana kadri awezavyo kwa ajili ya timu nadhani hii ndio inawapa wengi wasi wasi...

Wengine labda wanakumbuka haya...

Unakumbuka Makelele alivyotoka Real Madrid....

Unakumbuka Kante alivyotoka Leicester...

Unakumbuka Alonso alivyotoka Liverpool...

Unakumbuka Surez alivyotoka Liverpool....

Unakumbuka Torres alivyotoka Liverpool...

Unakumbuka Henry alivyotoka Arsenal..

Unakumbuka Viera alivyotoka Arsenal...

Unakumbuka Fergie alivyosepa zake Manchester United...

List is endless...

Usiwashangae sana wanaosikitika kuhusu Mane, tuna imani na Klopp na tuna imani na wachezaji wetu, ni wachache sana humu waliokua wanamjua Darwen Nunuez kabla ya ile mechi ya Champions League vs Benfica na hata pia Diaz ilikua hivyo hivyo na kwa sababu Klopp mara chache sana sokoni amechemk tuna imani nae anakotupeleka.

Mpaka sasa Klopp ni wachezaji wachache sana hawakufikia kiwango anachotaka hivyo tuwe na subira wataweka mambo sawa kwa kufanya mazoezi mpaka mfumo ueleweke.

YNWA
 
Nashangaa watu kulia Mane Mane Mane, wengi wangekua nafasi nafasi ya Klopp na wao wangevunja mkataba kisa Mane ameondoka.

Klopp is our biggest signing, Chelsea na Man u wana bajeti kubwa ila anaye mchallange City ni Liverpool si kwa ubora wa kikosi ila uwezo wa Klopp.

Pitia liverpoolfc.com kasome plan za Klopp na alichofaidika nacho kwa mechi moja ya pre-season bila kujali matokeo.
Tunamlaumu Germany nazi ila FSG Policy kwenye kuendesha klabu ndo shughuli.

In my opinion we need proper DM & CM, hata bila usajili wa any MF, I'm with J.K.N.
YNWA.
Wapuuzi tu..... mechi moja ya majaribio maneno yanawatoka Kama wamelishwa kanda.....mane alikuwa na umuhimu ila huwezi kuniambia Kuna kitu Cha utofauti Sana ambacho alikuwa anaofer ambacho Diaz hawez kutupa

Kuhusu Nunez analijua goli na ni mzuri kwenye kunyag'anya mipira pia so Mambo yatakuwa mazuri soon tu

Kuhusu dogo carvalho yule ni coutinho mtupu so maplastic fans inabid waendelee kulialia tu huku mtandaon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom