Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mfumo wa mishahara wa FSG na Klopp unatuepusha na mtego mkubwa wa pesa. Muundo umeundwa kwa busara na ni mzuri kuliko watu wengi wanavyofikiria. Naunga mkono. Mtego unafanya kazi kama hii - Vilabu vingine vilifanya iwe kawaida kumlipa kila mchezaji kana kwamba ni Pele na Maradonna. Grealish huchukua 300k / wiki na kukaa kwenye benchi. milioni 45 kwa Kalvin Phillips kukaa bench karibu na Grealish. Neymar ananunua helikopta. Halafu Mbappe analipwa 960k/wiki. Na Bayern inampa Mane 390k/wiki kucheza kwenye ligi ambayo wameshinda mara 10 mfululizo. Ukifuata bei hizi na kuanza kulipa kwa viwango hivi, utaanguka kwenye balsa kubwa. Kwa sababu mwakani watalipa 400k/wiki kwa Declan Rice...na kisha 500k/wiki kwa Nkunku.
Hatimaye utakuwa mufilisi muda mrefu kabla salio lao la benki hata kuvuja jasho.

Barcelona na Man United ziliangukia kwenye mtego huu. Katika miaka 5, walitoka kuwa washindani wa UCL hadi Ligi ya Europa. Na wakati huo huo Sisi tulitoka Ligi ya Europa hadi kwa Washindani wa UCL kwa chini ya nusu ya bajeti yao. Tuamini tu mfumo wa Mishahara wa timu yetu hauna walakini wala matatizo. Mchezo wa Kandanda, nunua mchezaji mzuri na ufundishe kipaji chake kichanga kikuwe na acheze kwa bidii...hiyo ndiyo njia ya busara. Liverpool. 🚩
 
Mfumo wa mishahara wa FSG na Klopp unatuepusha na mtego mkubwa wa pesa. Muundo umeundwa kwa busara na ni mzuri kuliko watu wengi wanavyofikiria. Naunga mkono. Mtego unafanya kazi kama hii - Vilabu vingine vilifanya iwe kawaida kumlipa kila mchezaji kana kwamba ni Pele na Maradonna. Grealish huchukua 300k / wiki na kukaa kwenye benchi. milioni 45 kwa Kalvin Phillips kukaa bench karibu na Grealish. Neymar ananunua helikopta. Halafu Mbappe analipwa 960k/wiki. Na Bayern inampa Mane 390k/wiki kucheza kwenye ligi ambayo wameshinda mara 10 mfululizo. Ukifuata bei hizi na kuanza kulipa kwa viwango hivi, utaanguka kwenye balsa kubwa. Kwa sababu mwakani watalipa 400k/wiki kwa Declan Rice...na kisha 500k/wiki kwa Nkunku.
Hatimaye utakuwa mufilisi muda mrefu kabla salio lao la benki hata kuvuja jasho.

Barcelona na Man United ziliangukia kwenye mtego huu. Katika miaka 5, walitoka kuwa washindani wa UCL hadi Ligi ya Europa. Na wakati huo huo Sisi tulitoka Ligi ya Europa hadi kwa Washindani wa UCL kwa chini ya nusu ya bajeti yao. Tuamini tu mfumo wa Mishahara wa timu yetu hauna walakini wala matatizo. Mchezo wa Kandanda, nunua mchezaji mzuri na ufundishe kipaji chake kichanga kikuwe na acheze kwa bidii...hiyo ndiyo njia ya busara. Liverpool.
Maneno uliyoandika hapo juu ni ya mihemko na hakuna uhalisia kabisa eti ...

Kalvin Phillips million 45 kukaa bench ..pesa karibu na ya grealish ?

Unauhakika huyo Darwin wa Millon 80 mlionunua hawezi kukaa bench ?

Unasema liverpool hawatumii pesa ,wakati wapo wanaingia wenyewe kwenye huo mfumo wa kuspend tu....

Yaani kumyima mane mshahara mnasema mnabana matumizi wakati hizo hizo pesa mnawalipa kina Allison,VVD,ubaguzu ? Kama sio ubaguzi ni nini

Kiufupi hata hiyo Liverpool kwa Sasa anatumia pesa nyingi tu ,na mishahara mikubwa anawalipa wachezaji ,hao fsg hata wao washaona wakizubaa wanarudi miaka 30 mingine ya kustruggle...
 
Maneno uliyoandika hapo juu ni ya mihemko na hakuna uhalisia kabisa eti ...

Kalvin Phillips million 45 kukaa bench ..pesa karibu na ya grealish ?

Unauhakika huyo Darwin wa Millon 80 mlionunua hawezi kukaa bench ?

Unasema liverpool hawatumii pesa ,wakati wapo wanaingia wenyewe kwenye huo mfumo wa kuspend tu....

Yaani kumyima mane mshahara mnasema mnabana matumizi wakati hizo hizo pesa mnawalipa kina Allison,VVD,ubaguzu ? Kama sio ubaguzi ni nini

Kiufupi hata hiyo Liverpool kwa Sasa anatumia pesa nyingi tu ,na mishahara mikubwa anawalipa wachezaji ,hao fsg hata wao washaona wakizubaa wanarudi miaka 30 mingine ya kustruggle...
City alistruggle miaka mingapi?
 
Mtu anamwambia mtu ameandika kwa mhemko bila kujiangalia yeye alivyohemka, hahahaha

Anasema ubaguzi wanasahau wao walichomtenda mwamba kutoka Ivory Coast, Sawa sisi wabaguzi atleast wanapata nafasi na wanakua wakubwa dunia inawatambua.

All in all we are big boys than them, as it stands.
Let Jurgen do Jurgen things to archieve Jurgen dreams for the The Reds.
 
Tough season ahead.
Tunahitaji
1. dm
2. cm
3. st
ambapo DM na CM ni maandalizi ya kuchukua no. za watu, coming years.
ST/CF tumpate kwa matumizi ya FA na Carabao cup ila mwenye uwezo wa kuingia 1st hata kwa dk 45 na kutoa mchango chanya.
I wonder why we didnt afford to get Bissuma kwa £35M. Ana attribute nzuri sana as modern midfielder anyway Klopp with his staff know well.

Vipi Klopp kama anapanga kumpa TAA another position ili C.Ramsay abaki kuchallange na Gomez kwenye RB?

What does klopp think toward next season?

Napata shauku na hii preseason.
Klopp atawaambia nini kuhusu wachezaji wake kudrop points nyingi Anfield?
a. draw vs brighton.
b. draw vs brentford.
c. draw vs city.
d. draw vs chelsea.
e. draw vs spurs.
Anawaza nini kuhusu TAA errors leads to goals?
vs spurs (at anfield)
vs villareal (2nd leg CL)
vs madrid (CL final)
Vipi kuhusu Keita & Ox (inury prone + inconsitency)? Milner and Hendo age?

Hata hivyo tunabaki kua wapenzi wa hii timu bila kujali matokeo.
Waiting for the pre season.
'YNWA'.
 
Kalvin Philips pale kuna watu wamepigwa waingereza ni waingereza tu
Kwanini wamepigwa? Kuna shida gani kuwa muingereza?

Je akiitwa Phillipinho na akachukua uraia wa Brazil itabadilisha uwezo wake?
 
Watu wa Liverpool siku hizi hamna kazi ndogo, mnahusishwa na majina makubwa tu Barella/Jude/ Nunez sio kina Milner tena.
 
Klopp anaendelea kujiuliza kwa Curtis Jones na Harvey Elliot, as kama AMF wake huku akisuburi maamuzi ya FSG kwa Salah na one/two marquee midfielder, huku akisuburi kuuzwa kwa ox na keita.
 
Klop na watu wake waende City pale wakabebe Raheem Sterling, huyu ni mbadala wa Mane na anafit kabisa kwenye mfumo wa Liverpool, umri wake miaka 27 yupo kwenye peak ya kiwangochake, haitaji kupewa muda wala kuzoea mazingira
 
Klop na watu wake waende City pale wakabebe Raheem Sterling, huyu ni mbadala wa Mane na anafit kabisa kwenye mfumo wa Liverpool, umri wake miaka 27 yupo kwenye peak ya kiwangochake, haitaji kupewa muda wala kuzoea mazingira
Hiv Raheem dau bei yake ngapi kwa sasa?
 
Salah
IMG_20220701_190606.jpg
 
Happy to see Egyptian king stays.
Fsg wamefunga macho na kutujali mashabiki. Kama Salah na Mane wangeondoka msimu huu hope next season tungehitaji 15 matches kushinda with 2+margin goals in all competition in a raw ili kuleta hofu kwa opponents.

Atleast a DM & CM then tusubiri 2022/2023,

Nimefurahi kwa Mo Salah kupata mkataba mpya kutumikia kops.
 
Happy to see Egyptian king stays.
Fsg wamefunga macho na kutujali mashabiki. Kama Salah na Mane wangeondoka msimu huu hope next season tungehitaji 15 matches kushinda with 2+margin goals in all competition in a raw ili kuleta hofu kwa opponents.

Atleast a DM & CM then tusubiri 2022/2023,

Nimefurahi kwa Mo Salah kupata mkataba mpya kutumikia kops.
Msimu ujao atapata injuries za mara Kwa mara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom