Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
YNWA
Hapana Carrol alikua one season wonder na Dalglish nii muumini wa kujenga kikosi kwa kutumia Great Britain au UK players hivyo alifeli kocha ndio maana FSG hawakua na namna zaidi ya kupumzisha...
Darwin Nunez ni generation talent yaaani next big thing from Uruguay..
Darwin =Surez+Cavani.
YNWA
Tumpe muda tuone.Uyo Darwin ni Lukas Perez tu hawana tofauti
Mane anafanya nianze kuangalia ligi ya ujerumani wallah .....ndio hivyo Liverpool ni timu yetu pendwa ila hili swala la Mane naona Kila mtu limemgusa ila poa tu maisha yanatakiwa yaendelee...Suala la Nane iacheni tu maana hata ukiijadili hakuna unachokipata ila ukweli MANE nimeumia sana kuondoka kwake
1) Mane ni shujaa haogopi kuhatarisha usalama wake timu ipate matokeo
2) Ile kadi nyekundu dhidi ya City mwamba hakustahili ila basi tu
3) Moyo wa Furaha na mpenda amani na utulivu mane ndoa mchezaji pekee pale LIVERPOOL ambaye hana chuki na wote anaweza kuchukia kwa mda ila ukimfurahisha mane ana moyo mweupe sana naona hiyo kazi walikuwa wanafanya Milner na Firmino na Klop walikuwa na mane kila mda
4) Mchezaji haswa yaani mane ni mpambanaji haswa kuliko yoyote pale LIVERPOOL hakuna atakayemfikia namfananisha na Captain Gerrad Sijui kama kuna siku kama alipewa hata kitambaa cha Unahodha ila Salah na Continho Tuliwabembeleza asee mwisho akatutema
5) Mazingira ya Kazi yake anastahili kupewa Mshahara Mkubwa kwakweli nyuma yake kuna Vingi ambavyo vinamtegemea Jamii yake Kule Senegal hakika anastahili mshahara mzuri sana
6)Tushukuru sana kwa upendo wake hakika mane kwa ile misimu ambayo tumekosa ubingwa kwa pointi moja alipambana sana
MANE MANE MANE MANE MANE
Sadio Mane![]()
Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho.Suala la Nane iacheni tu maana hata ukiijadili hakuna unachokipata ila ukweli MANE nimeumia sana kuondoka kwake
1) Mane ni shujaa haogopi kuhatarisha usalama wake timu ipate matokeo
2) Ile kadi nyekundu dhidi ya City mwamba hakustahili ila basi tu
3) Moyo wa Furaha na mpenda amani na utulivu mane ndoa mchezaji pekee pale LIVERPOOL ambaye hana chuki na wote anaweza kuchukia kwa mda ila ukimfurahisha mane ana moyo mweupe sana naona hiyo kazi walikuwa wanafanya Milner na Firmino na Klop walikuwa na mane kila mda
4) Mchezaji haswa yaani mane ni mpambanaji haswa kuliko yoyote pale LIVERPOOL hakuna atakayemfikia namfananisha na Captain Gerrad Sijui kama kuna siku kama alipewa hata kitambaa cha Unahodha ila Salah na Continho Tuliwabembeleza asee mwisho akatutema
5) Mazingira ya Kazi yake anastahili kupewa Mshahara Mkubwa kwakweli nyuma yake kuna Vingi ambavyo vinamtegemea Jamii yake Kule Senegal hakika anastahili mshahara mzuri sana
6)Tushukuru sana kwa upendo wake hakika mane kwa ile misimu ambayo tumekosa ubingwa kwa pointi moja alipambana sana
MANE MANE MANE MANE MANE
Sadio Mane![]()
Laana ya kutokumthamini Mane itatutafuna sana.Suala la Nane iacheni tu maana hata ukiijadili hakuna unachokipata ila ukweli MANE nimeumia sana kuondoka kwake
1) Mane ni shujaa haogopi kuhatarisha usalama wake timu ipate matokeo
2) Ile kadi nyekundu dhidi ya City mwamba hakustahili ila basi tu
3) Moyo wa Furaha na mpenda amani na utulivu mane ndoa mchezaji pekee pale LIVERPOOL ambaye hana chuki na wote anaweza kuchukia kwa mda ila ukimfurahisha mane ana moyo mweupe sana naona hiyo kazi walikuwa wanafanya Milner na Firmino na Klop walikuwa na mane kila mda
4) Mchezaji haswa yaani mane ni mpambanaji haswa kuliko yoyote pale LIVERPOOL hakuna atakayemfikia namfananisha na Captain Gerrad Sijui kama kuna siku kama alipewa hata kitambaa cha Unahodha ila Salah na Continho Tuliwabembeleza asee mwisho akatutema
5) Mazingira ya Kazi yake anastahili kupewa Mshahara Mkubwa kwakweli nyuma yake kuna Vingi ambavyo vinamtegemea Jamii yake Kule Senegal hakika anastahili mshahara mzuri sana
6)Tushukuru sana kwa upendo wake hakika mane kwa ile misimu ambayo tumekosa ubingwa kwa pointi moja alipambana sana
MANE MANE MANE MANE MANE
Sadio Mane![]()
Hakika anatufanya Kops wote Bavarians.Mane anafanya nianze kuangalia ligi ya ujerumani wallah .....ndio hivyo Liverpool ni timu yetu pendwa ila hili swala la Mane naona Kila mtu limemgusa ila poa tu maisha yanatakiwa yaendelee...
🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿Punguza hasira Miss Liverpool...Laana ya kutokumthamini Mane itatutafuna sana.
DahPunguza hasira Miss Liverpool...
Sie ni mashabiki tu wenye maamuzi wako zao hukooo Free World ndio wanasema nani abaki nani aodoke.
Mane kaodoka kwa heshima kubwa sana kuanzia kwa mashabiki na ma kocha, wapishi yaani wafanya kazi wote pale klabuni na wachezaji wenzie hakuna mwenye maneno ya kukashfu huyu dogo zaidi ya admiration kwa sababu alikua super professional na a humble boy hajawai kuweka maslahi yake binafsi zaidi ya maslahi ya Timu hata pale wakala wake alivyomjuza Bayern wana ofa nzuri sana kwake hakuonyesha kuyumba zaidi ya kujituma zaidi kuusaka ubingwa wa UCL na Epl.
In simple words... He is a LEGEND.
YNWA


Hakika Mane ametuheshimisha sana ila wale wamarekani wajinga sana wajifanya wachumi sana kumbe hata kwenye 30 bora ya matajiri wa dunia hawapo ni mauzauza we ngoja andoke Klop watajua hawajui kumpata mtu ambaye anakutumikia kwa moyo wake wote afu umchezee chezee hakika akiondoka hutompata tena Ndani ya Liverpool ni wachezaji wachache sana ambao wanaishi kwa furaha MANE , Firmino, Klop , Naby, Fabinho , wengine wote likitokea la kutokea wanasahau yote yaani tunaenda pabaya sana mafanikio kidogo tunaanza kuletea dharau watu muhimu?Laana ya kutokumthamini Mane itatutafuna sana.