Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20220621_221000_com.android.chrome_edit_12379524126756.jpg


The Beast... Down to earth.

YNWA
 
Huyu ameniuma zaidi
Nampenda huyu kaka.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hakuna namna tukumbaliane na hali ilivyo sasa... na alikokwenda azidi kujituma na mafanikio kama alivyopata Liverpool na kule atapata zaidi.

FSG ni waoga wa kufilisika hawana jipya...

Nimesoma eti wanaona Salah ata perfom zaidi akiwa 30+ kuliko Mane yaaani kwamba Mane angepungua kiwango huku akichukua mshahara zaidi, najiuliza huo uwezo wa hicho kipimo hakikufanya kazi wakati wanampa Henderson mkataba yaaani kwa FSG maajabu hua hayaishi.

YNWA
 
Amin.

Anajua alikotoka huyu dogo na anajua anakokwenda.

Kama aliyanya hayo yote kwa mshahara wa FSG sasa kule BM anatafanya zaidi.

YNWA
Kutoa ni moyo na wala si utajiri.

Jamaa ana Moyo wa kutoa.

Mungu hupima uaminifu kwa vitu vidogo,,Usipokuwa mwaminifu kwa kidogo unachopata, huwezi kuwa mwaminifu katika kikubwa pia.

Jamaa ataenda kufanya zaidi na zaidi,maana tayari roho ya utoaji ipo moyoni mwake.

Na hii ndiyo dini safi,isiyo na taka mbele za Mwenyezi Mungu..kuwajali wahitaji,masikini,yatima na wote wanaohitaji msaada.

Bwana ambarikie na Kumlinda siku zote.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna namna tukumbaliane na hali ilivyo sasa... na alikokwenda azidi kujituma na mafanikio kama alivyopata Liverpool na kule atapata zaidi.

FSG ni waoga wa kufilisika hawana jipya...

Nimesoma eti wanaona Salah ata perfom zaidi akiwa 30+ kuliko Mane yaaani kwamba Mane angepungua kiwango huku akichukua mshahara zaidi, najiuliza huo uwezo wa hicho kipimo hakikufanya kazi wakati wanampa Henderson mkataba yaaani kwa FSG maajabu hua hayaishi.

YNWA
Natamani niwatukane,au basi!

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 

Hata mimi nikawa najiuliza mbona jamaa haoi

Mungu amjaalie apate mwanamke wa kufanana naye.
Jamaa yupo Humble mno,, mwanamke atakayempata then,atakuwa the luckiest woman duniani.

Huyu jamaa nampenda,kuna namna anafanana na kaka yangu kimuonekano.


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kwa kweli ni mnyenyekevu mno kwa vitendo tu inatosha... Wachezaji kadhaa waliohojiwa wanasema ni jamaa wa watu hana makuu ana heshimu wakubwa na wadogo..

YNWA
 
Kutoa ni moyo na wala si utajiri.

Jamaa ana Moyo wa kutoa.

Mungu hupima uaminifu kwa vitu vidogo,,Usipokuwa mwaminifu kwa kidogo unachopata, huwezi kuwa mwaminifu katika kikubwa pia.

Jamaa ataenda kufanya zaidi na zaidi,maana tayari roho ya utoaji ipo moyoni mwake.

Na hii ndiyo dini safi,isiyo na taka mbele za Mwenyezi Mungu..kuwajali wahitaji,masikini,yatima na wote wanaohitaji msaada.

Bwana ambarikie na Kumlinda siku zote.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kabisa.

Kwa kujituma kwake mafanikio atapata.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom