Hakuna namna tukumbaliane na hali ilivyo sasa... na alikokwenda azidi kujituma na mafanikio kama alivyopata Liverpool na kule atapata zaidi.
FSG ni waoga wa kufilisika hawana jipya...
Nimesoma eti wanaona Salah ata perfom zaidi akiwa 30+ kuliko Mane yaaani kwamba Mane angepungua kiwango huku akichukua mshahara zaidi, najiuliza huo uwezo wa hicho kipimo hakikufanya kazi wakati wanampa Henderson mkataba yaaani kwa FSG maajabu hua hayaishi.
YNWA



Mkuu mchezaji akishafikisha miaka 30 bei ndo uwaga izo ronaldo tu pale kwa paundi 5m. unachukua.Oya nyie
Yani thamani ya Mane ni 35m.
Au ndo kisa ni mu-Afrika.?
Au mm ndo sielewi.?
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Hahahaha...Itabidi nigeuke kuangalia vizuri kama ni penyewe.
Amefanya vema kwa muda alionao sio wa kupoteza muda kuifia timu wkt anajua katoka kwenye umasikini mkubwa,kwa muda huu alionao ni wa kuchuma kibunda cha kutosha toka kwa mabeberuHakuna namna tukumbaliane na hali ilivyo sasa... na alikokwenda azidi kujituma na mafanikio kama alivyopata Liverpool na kule atapata zaidi.
FSG ni waoga wa kufilisika hawana jipya...
Nimesoma eti wanaona Salah ata perfom zaidi akiwa 30+ kuliko Mane yaaani kwamba Mane angepungua kiwango huku akichukua mshahara zaidi, najiuliza huo uwezo wa hicho kipimo hakikufanya kazi wakati wanampa Henderson mkataba yaaani kwa FSG maajabu hua hayaishi.
YNWA
Acha kijana akakusanye kibunda cha kutosha muda unaendaJamaa washamba sana.
Ubagunzi wa kijinga sana.
Mungu atawalipa sawasawa na matendo yao.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Oya nyie
Yani thamani ya Mane ni 35m.
Au ndo kisa ni mu-Afrika.?
Au mm ndo sielewi.?
Bhanaaa pesa sabuni ya roho yaaani kwa kweli msimamo wangu upo pale pale mchezaji yeyote yule atakaepata ofa ya mshahara mnono akasepa hua sina hard feelings..Amefanya vema kwa muda alionao sio wa kupoteza muda kuifia timu wkt anajua katoka kwenye umasikini mkubwa,kwa muda huu alionao ni wa kuchuma kibunda cha kutosha toka kwa mabeberu
Money is beautiful,mwacheni akakusanye kibunda cha kutosha 💰💷💷💷💷💷