Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ligi imeshaisha tumepambana ila hatukufanikiwa kumzidi aliyebora kuliko sisi.

Man City ameshinda kwa uwezo na si bahati.

Tumpe Pongezi kwa kunyakua Ubingwa👏👏👏👏
Huo ndio ukweli...city were the team to beat this season...congrats to them. They showed character till the end
 
.
FB_IMG_1653239789347.jpg
 
Kuna ile Kauli iliyoasisiwa na Man United na badala yake ikaongezewa nguvu na Arsenal then Chelsea wakaiongezea Nguvu ya kuwa EPL imeanzishwa 1992 naona karibuni itapotea.

  • Man United waliianzisha kauli hii wakati Liverpool ana Makombe 18 ya Ligi huku wao wakiwa na Makombe machache, kutokana na hilo wakaona njia pekee ya kuwaziba mdomo Liverpool ni kuanza kuhesabu Makombe kuanzia mwaka 1992 ili Liverpool asiwe na kombe hata 1 wao wabaki na Makombe ya kuanzia 1992.
  • Na kuanzia mwaka 1997 Arsenal walipoanza tena kubeba Makombe wakaunga Mkono kauli ya Manchester United hivyo wao wakawa na Makombe 3 wakati Liverpool hana hata moja.
  • Kuanzia mwaka 2005 na Chelsea akaunga Mkono kauli ya Manchester United akafikisha Makombe 5 wakati Liverpool hana hata 1.
  • Ikumbukwe hao wote walianzisha hiyo kauli ili wamkomoe Liverpool tu na wao kujisifia.

Kwa bahati mbaya sasa Man City ameibuka na Tayari ameshabeba EPL 6 kumzidi Arsenal 3 na Chelsea 5. Hii inamaana Man City kwa hali anayokwenda nayo si muda mrefu ataifikia Rekodi ya Man United na kuipitia.
  • Ikumbukwe kuwa Man United alianzisha propaganda hiyo ili awe Bingwa anayeshika Rekodi ya kubeba EPL mara nyingi na sio Liverpool.
  • Sasa Man City akitimiza Makombe 13 ya EPL hapo Man United atakuja kubadili kauli yake ya kuwa EPL imeanzishwa mwaka 1992 na atasema Mpira haukuanza 1992 ili yahesabiwe Makombe yake yafike 20.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom