Phil Foden amepata dakika za kutosha zaidi ya Jones.Hana mpango yule keshajiona anajua hajitumi muangalie Forden anavyo chakarika auzwe kabisa
Ndio maana ndugu zako wanataka mshahara wa maana wanajua kabisa hizi pesa zipooooo.Hee!
Ifike mahala waanze kutugawia mashabiki zao.
Phil Jones jamani.
Ifike mahala watugawie na mashabiki..siyo tunakauka tu koo Bure😂Ndio maana ndugu zako wanataka mshahara wa maana wanajua kabisa hizi pesa zipooooo.
YNWA
Huyu nafasi kaipoteza mwenyewe umesahau alikua hakosi mechi mpaka alivyo kuzunguuka na mpira hovyo.Phil Foden amepata dakika za kutosha zaidi ya Jones.
Kuuzwa hapana huyu apate mkopo mmoja na akirejea atakua sharp shooter nje ya 18 ambae kwa sas hatuna mchezaji kama huyo.
YNWA
sababu kaka wa kolo toureKuelekea tarehe 28 unadhani pale nyuma vvd acheze na nani tumfiche big benz na wenzie?
Captain Marvelous

ana record ya kutofungwa tukicheza mpk sas ningependa aanze though namkubali matipPale nyuma niKuelekea tarehe 28 unadhani pale nyuma vvd acheze na nani tumfiche big benz na wenzie?
Captain Marvelous
Hapana Mkuu huyu dogo hajawai kupewa nafasi kama Foden kingine ukumbuke Foden alikua understudy wa all time great David Silva na ndio maana Pep alivyoona ameiva kuaminika basi wakamwachia Silva na dogo hajawai rudi nyuma tena amekua bora kila msimu...Huyu nafasi kaipoteza mwenyewe umesahau alikua hakosi mechi mpaka alivyo kuzunguuka na mpira hovyo.
Kumbuka hata Eliot alisha aminiwa kabla hajaumia
Foden alijaribiwa akajituma asaivi ni tegemeo
😂😂😂😂😂😂Weee FSG utasubiri sanaaaa maana jiulize hao wachezaji wanaopaisha brand value ya klabu mpaka kufika £4b wanawabania mshahara wa maana na kukomaa na pea nuts.Ifike mahala watugawie na mashabiki..siyo tunakauka tu koo Bure😂
Sasa mbon
Mbappe ni aidha PSG asilimia 20, Real Madrid asilimia 70 na Liverpool ni asilimia 10 tu. Dogo mkwaja unaotajwa unatisha sana kwa mfano ile kukumbali kusaini tu Real Madrid wanampa £80m kama mkono wa asante kuwachagua wao, wakala wake hapo tegemea angalau £15m+ za kum convince awachague wao, ukija kwenye mshahara tetesi ni £450k kwa wiki na ma bonus ya ziada ya kutosha. Sasa ndugu kwa kweli hizo ndio namba zinazotajwa unadhani FSG wataonekana wapi hapo.Habari wana kops wenzangu,Hv hz tetesi za Mbappe kuwa anataka kuja Liverpool zimekaaje wakuu??
Kuna updates nimeipata kuwa amekubali kwa laki 5 kwa week na pia ile ada yake ya usajiri amekubali pay cut ili atue Liverpool maana anaamini Klopp ni kocha sahihi wa kuendeleza kipaji chake.
Pia naomba kujuzwa Updates za Fabinho,VVD.