Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Pale nyuma ni
Trent Matip VVD Robertson
Pale kati
Henderson Fabinho Thiago
Pale mbele
Salah Mane Diaz

Dogo Konate ana rekodi nzuri ya kutopoteza gemu mpaka sasa lakini hana msaada wowote wa kupiga pasi ndefu au kutembea na mpira kwenda na kujaribu kuanzisha mashambulizi hua naona kama bado ana uogo pengine kutokana na umri ama hana accuracy ya long pass.. Kwa timu kama Real Madrid tunahitaji ballers kila eneo na Matip pale defence ndio best baller....

But kwa Klopp usishangae akakomaa na Konate maana ana offer aerial threat kalk kuliko Matip.

YNWA
Mkuu me naona haina haja ya kuanza na Diaz ,tuanze na Bobby kama ilivyo ada, Diaz awekwe dakika kama ya 60 akute zile beki milenda za Madrid zimeshatepeta iwe ni mabio tu mpaka wasalimu amri.
 
Adjustments.jpg
 
Mkuu me naona haina haja ya kuanza na Diaz ,tuanze na Bobby kama ilivyo ada, Diaz awekwe dakika kama ya 60 akute zile beki milenda za Madrid zimeshatepeta iwe ni mabio tu mpaka wasalimu amri.
Hii gemu inabidi kuanza na Diaz awavuruge haswa pale nyuma mpaka walegee wasipate nafasi ma beki wao kwenda mbele.

Diaz kashaeleweka sasa kwamba ni tishio uwepo wake uwanjani ni silaha kuu kwetu.

Kingine fitness ya Salah hatujajua mpaka hio tarehe 28 kama atakua fit asilimia 100 hivyo Diaz anahitajika mapema sana.

Bobby ataingia dakika ya 85 kuja kuharibu kabisa mipango ya 🤭 🤭 🤭 🤭 😂hapo tunaongoza 2 1.

YNWA
 
Pale nyuma ni
Trent Matip VVD Robertson
Pale kati
Henderson Fabinho Thiago
Pale mbele
Salah Mane Diaz

Dogo Konate ana rekodi nzuri ya kutopoteza gemu mpaka sasa lakini hana msaada wowote wa kupiga pasi ndefu au kutembea na mpira kwenda na kujaribu kuanzisha mashambulizi hua naona kama bado ana uogo pengine kutokana na umri ama hana accuracy ya long pass.. Kwa timu kama Real Madrid tunahitaji ballers kila eneo na Matip pale defence ndio best baller....

But kwa Klopp usishangae akakomaa na Konate maana ana offer aerial threat kalk kuliko Matip.

YNWA
Matip huwa namkubali sana,japo haimaanishi kuwa kounate hajui..

Ila kwa final hii matip na vvd wanatufaa zaidi yaani kazi kazi mkuu siku hiyo mpaka benzema arushe ngumi kudadeki 🤣🤣
 
Hii gemu inabidi kuanza na Diaz awavuruge haswa pale nyuma mpaka walegee wasipate nafasi ma beki wao kwenda mbele.

Diaz kashaeleweka sasa kwamba ni tishio uwepo wake uwanjani ni silaha kuu kwetu.

Kingine fitness ya Salah hatujajua mpaka hio tarehe 28 kama atakua fit asilimia 100 hivyo Diaz anahitajika mapema sana.

Bobby ataingia dakika ya 85 kuja kuharibu kabisa mipango ya 🤭 🤭 🤭 🤭 😂hapo tunaongoza 2 1.

YNWA
I second that.
Yaani aanze mwanzo akichafue akimbize watu mpaka wstoke ulimi nje halafu ndio aingie boby kumaliza kazi, maana huyu Diaz ipo siku atakuja kuua mtu kwa kumkimbiza..
 
Matip huwa namkubali sana,japo haimaanishi kuwa kounate hajui..

Ila kwa final hii matip na vvd wanatufaa zaidi yaani kazi kazi mkuu siku hiyo mpaka benzema arushe ngumi kudadeki 🤣🤣
Konate bado anapata elimu kazi ya ziada ya kwa mabeki Liverpool hua pia kuanzisha mashambulizi pale hali ina ruhusu sasa kwa hilo huyu dogo bado kabisa na ni bora awe alivyo mpaka pale atakapojiamini.
Matip yeye ipo siku atapiga chenga mpaka kipa kwa kutembea na mpira maeneo ya hatari na hua kuna yafuatayo aidha atapata mpenyo wa pasi ama ataporwa mpira ama atapata faulo eneo ya hatari ndio maana Klopp amempa hicho kibali kucheza vile.
Kwa timu kama Real Madrid wenye MF iliyokamilika unahitaji ballers ku recycle mpira inapobidi. Hivyo kwa defence tuna Matip pale kati tuna Thiago na mbele ni Diaz.

YNWA
 
I second that.
Yaani aanze mwanzo akichafue akimbize watu mpaka wstoke ulimi nje halafu ndio aingie boby kumaliza kazi, maana huyu Diaz ipo siku atakuja kuua mtu kwa kumkimbiza..
Diaz kwa sasa ndio dangerous player pale mbele kwetu ni nightmare kwa mabeki maana hawajui nini atafanya ma muda gani yupo so unpredictable.... Huwezi kumuona Messi or Ronaldo at thier prime fainali wakianzia benchi hivyo huyu mwamba wa ma take on lazima aanze 1st 11 aidha afunge ama awatengenezee Mane na Salah wafunge...

YNWA
 
Konate bado anapata elimu kazi ya ziada ya kwa mabeki Liverpool hua pia kuanzisha mashambulizi pale hali ina ruhusu sasa kwa hilo huyu dogo bado kabisa na ni bora awe alivyo mpaka pale atakapojiamini.
Matip yeye ipo siku atapiga chenga mpaka kipa kwa kutembea na mpira maeneo ya hatari na hua kuna yafuatayo aidha atapata mpenyo wa pasi ama ataporwa mpira ama atapata faulo eneo ya hatari ndio maana Klopp amempa hicho kibali kucheza vile.
Kwa timu kama Real Madrid wenye MF iliyokamilika unahitaji ballers ku recycle mpira inapobidi. Hivyo kwa defence tuna Matip pale kati tuna Thiago na mbele ni Diaz.

YNWA
Imeisha hiyo mkuu wangu.
Hii game tunamaliza mizimu ya kwetu Nanjirinji inaniambia wazi usiku..

Thiago akiwa hayupo hali itakuwa mbaya sana pale kati,huyu ni mtu wetu muhimu sanaaaa..
Pia TAA na robo wakiwa kwenye ubora wao tunamaliza kazi mapema na hivi waziri ametangaza kuonesha mechi daraja la tanzanite pale ,tukishinda tunajitupa majini 😂😂
 
Huyu Dogo ni mjinga kweli! As professional footballer hakupaswa kuwa hivi.
Angejifunza kwa Pep Guardiola alivyowajibu Evra na Barbatov ni si kubwa unprofessional kiasi hiki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom